Uchaguzi 2020 Profesa Kitila Mkumbo akimbia Singida, atangaza nia jimbo la Ubungo

Uchaguzi 2020 Profesa Kitila Mkumbo akimbia Singida, atangaza nia jimbo la Ubungo

in magufuli voice, haiwezekani IGP ukagombee ubunge ntakukata mapema, tatizo la vijana hawaridhiki umepewa cheo Fulani tosheka nacho...haina tofaut na katibu mkuu

Ukatibu mkuu dhamana,ubunge dhamana...
Kwani umeskia prof.mkumbo amekurupuka kwa kuufanya ukatibu wake mkuu hatimiliki?!!

By da way kwa wasomi wanaojitambua km hao ambao huko nyuma mfumo haukuwa unawateua Sana km sasa,wala HAWAJAJENGA KASUMBA YA VYEO...waliishaizoea ile Hali yao ya huko nyuma....

Ni bahati TU amepatikana mtu msomi mwenye maono ya KUWATEUA,mtu msomi ambaye labda ATAKAYEMFUATA hata akiwa mzalendo km JPM,hwenda akaturudisha kule "tulikokuzoea ambako wasomi wengi walikuwa nje ya teuzi".
 
Ukatibu mkuu dhamana,ubunge dhamana...
Kwani umeskia prof.mkumbo amekurupuka kwa kuufanya ukatibu wake mkuu hatimiliki?!!

By da way kwa wasomi wanaojitambua km hao ambao huko nyuma mfumo haukuwa unawateua Sana km sasa,wala HAWAJAJENGA KASUMBA YA VYEO...waliishaizoea ile Hali yao ya huko nyuma....

Ni bahati TU amepatikana mtu msomi mwenye maono ya KUWATEUA,mtu msomi ambaye labda ATAKAYEMFUATA hata akiwa mzalendo km JPM,hwenda akaturudisha kule "tulikokuzoea ambako wasomi wengi walikuwa nje ya teuzi".
Mm hayo yote ya wasomi sijasema Wala sijui mfumo, sisi tunanukuu kauli ya mwenyekiti hasa ambao wanavyeo vya uteuzi kuutaka ubunge
 
Acha kumlinganisha Lisu na mpuuzi kama Mkumbo.
Kitila namjua In and Out ni mchumia tumbo tu asiye na mbele wala nyuma
Unamjua IN and OUT?!!! ha ha ha kijiwe chako Cha ramli Kiko wapi nije,usiku vitoto vyangu vinapiga Sana kelele.
 
Mbunge wa Ubungo anayemaliza muda wake hakutosha. Ngoja tuone upinzani wanajipangaje kutetea jimbo. Kitila nae atapata upinzani mkubwa kupitishwa na chama kugombea hapo
 
Mbunge wa Ubungo anayemaliza muda wake hakutosha. Ngoja tuone upinzani wanajipangaje kutetea jimbo. Kitila nae atapata upinzani mkubwa kupitishwa na chama kugombea hapo
Mbunge wa ubungo KAPWAYA SANA...
 
Juzi kati kada mwenzie wa CCM Ndg. Makonda alimsifia Kubenea kwamba anafanya kazi nzuri sana pale Ubungo.
Kwi kwi kwi UMUONGO KM TUMBA MBICHI...na wakati Makonda ameweka wazi upenuni kupwaya kwa Mh.Kubenea..duuh kweli faru John ni balaa
 
Tunamshangaa Sana
Hakumsikia Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Anataka akawatumikie Watanzania katika ngazi nyinine na hiyo ni haki yake Kikatiba. Rais Magufuli hajazuia mtu kugombea nafasi yoyote mahali popote. MSITILIE KINYWANI MWAKE MANENO AMBAYO HAKUSEMA.
 
ubungo anapigwa mwereka asubuhi na mapema
 
Nimuonavyo Prof. Mkumbo ni mwanasiasa kamili. Japo kwa maoni yangu amefanya kazi nzuri kama KM WM, lakini bado huyu jamaa kule sikuona kama ni mahala pake. Huyu ni mwanasiasa, na mwanasiasa mahala pake ni kwenye ulingo wa siasa. Naona ushindani mkubwa jimbo la Ubungo, kila la heri Prof.
 
Back
Top Bottom