Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Kama ulisoma Sayansi hutapata taabu Hapa dunianiRubbish
hilo ni bayana kabisa,Ndugu zangu Watanzania,View attachment 3081545
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ana practice wapi huyo tapeli?Kama ulisoma Sayansi hutapata taabu Hapa duniani
Mtu kama Kigwangalla hawezi kufa njaa.😂😂😂
Profesa Kitila Mkumbo,kwenu ni singida. Sikiliza habari hiiNdugu zangu Watanzania,View attachment 3081545
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Utashangaa ma CHADEMA yanapinga maana yana wivu sana.hilo ni bayana kabisa,
na pamoja na hilo,
Dr.Samia Suluhu Hassan ndie aliechochea moto wa maana sana duniani, Dr.Tilia Akson, spika wa bunge makini sana wa bunge letu tukufu la Tanzania, na akawa ndie Rais wa shirikisho la mabunge duniani
Ninyi mtu akieleza ukweli mnasema ni chawaInaumiza kuona kina Lucas ni machawa ila inaumiza mara milioni zaidi kuona profesa mzima ni chawa
Mwambie Mkumbo aache upunguani!Ndugu zangu Watanzania,View attachment 3081545
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
wapinge tu lakini wakae wakijua bayana tena waziwazi ccm itashinda kwa kishindo uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu bila mbambamaba yoyote, wapende, wasipende ukweli huo,Utashangaa ma CHADEMA yanapinga maana yana wivu sana.
Ndugu zangu Watanzania,View attachment 3081545
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
AsanteNdugu zangu Watanzania,View attachment 3081545
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
AseeTayari kumekucha
Yakija majanga napo sifieni basi
Na kifo chake ni mafaniko ya Samia? Muache unafiki na uchawaNdugu zangu Watanzania,View attachment 3081545
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.