Profesa Kitila Mkumbo: Wapinzani wanarukia hatua juu ya suala la mkataba wa Bandari

Profesa Kitila Mkumbo: Wapinzani wanarukia hatua juu ya suala la mkataba wa Bandari

Je bunge linaweza kujadili makubaliano, na kama ndiyo je bunge limeweka mapendekezo yoyote, ama tahadhari endapo serikali ikiingia mkataba huo?
Maelezo yake yanaeleweka vizuri kwa watu punguani.

Ni sawa na mtu anayekuambia kuwa hata kama katiba ni mbaya, subiria sheria zitakazotungwa ndio uone kama katiba ni mbaya au nzuri.

Ni ujinga wa hali ya juu kufikiria kuwa mikataba midogo itakuwa mizuri wakati mkataba mkuu ni wa hovyo. Mkataba mdogo ni lazima utii masharti ya jumla ya mkataba mkuu.
 
Maelezo yake yanaeleweka vizuri kwa watu punguani.

Ni sawa na mtu anayekuambia kuwa hata kama katiba ni mbaya, subiria sheria zitakazotungwa ndio uone kama katiba ni mbaya au nzuri.

Ni ujinga wa hali ya juu kufikiria kuwa mikataba midogo itakuwa mizuri wakati mkataba mkuu ni wa hovyo. Mkataba mdogo ni lazima utii masharti ya jumla ya mkataba mkuu.

Unaweza vile vile ukawa na katiba nzuri lakini utekelezaji wake ukawa vurugu tu kama huko nchi jirani, kila siku ni vurugu na maandamano! Kwa kifupi katiba siyo jibu la moja kwa moja la maendeleo ya nchi.
 
Katika mahojiano kati ya Profesa Kitila Mkumbo na Mwandishi wa habari nimeweza kuelewa mambo yafuatayo:

Mosi, suala hili la mkataba wa Bandari kati ya Serikali ya Tanzania na Emirati ya Dubai linapitia katika hatua kadhaa na hatua iliyopo ni hatua ya makubaliano kati ya Serikali na Serikali "Intergovernmental agreement" hatua hii haijaonesha makubaliano mahususi juu ya maeneo mahususi.

Pili, Ipo hatua fuatizi ambayo ni makubaliano mahususi "consessional agreement" hatua hii ndiyo itakayobainisha makubaliano juu ya maeneo mahususi na ndiyo itakayoonesha kwa mawanda Serikali ya Tanzania itapata nini na Kampuni husika itapata nini.

Juu ya nukta hizo mbili kulingana na majibu ya Profesa alipokuwa akihojiwa ni kama upande wa upinzani unakimbilia kupinga kabla ya kukamilika kwa hatua zote muhimu za makubaliano.
Kama madudu yote ya makinikia na JPM, walivyotuaminisha kwamba tunawadai wazungu tilioni 400!, kumbe kanyaboya, bado unawaamini ccm, inabidi ukapimwe kichwa milembe.
 
Katika mahojiano kati ya Profesa Kitila Mkumbo na Mwandishi wa habari nimeweza kuelewa mambo yafuatayo:

Mosi, suala hili la mkataba wa Bandari kati ya Serikali ya Tanzania na Emirati ya Dubai linapitia katika hatua kadhaa na hatua iliyopo ni hatua ya makubaliano kati ya Serikali na Serikali "Intergovernmental agreement" hatua hii haijaonesha makubaliano mahususi juu ya maeneo mahususi.

Pili, Ipo hatua fuatizi ambayo ni makubaliano mahususi "consessional agreement" hatua hii ndiyo itakayobainisha makubaliano juu ya maeneo mahususi na ndiyo itakayoonesha kwa mawanda Serikali ya Tanzania itapata nini na Kampuni husika itapata nini.

Juu ya nukta hizo mbili kulingana na majibu ya Profesa alipokuwa akihojiwa ni kama upande wa upinzani unakimbilia kupinga kabla ya kukamilika kwa hatua zote muhimu za makubaliano.
Fossils of the empire: We become what we are! | JamiiForums Fossils of the empire: We become what we are!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MM2 huyo.

Walitaka kumuweka Zitto uenyekiti wa CDM kwa akili hizi hizi
CHADEMA walifanya Jambo la maana. Maana waliposhindwa kumwaka Zitto wote wakarudi CCM na kumuacha Zitto pekee yake ACT.
 
"Hoja hapo ni Azimio lililopitishwa na Bunge ndiyo mhimili Mkuu makubaliano mengine yatapaswa kuakidi Azimio hilo".
Hayo mengine ya upumbavu na kuuficha sidhani kama yanaiongezea hoja yako nguvu zaidi ya kuonesha hisia tu.
Kwa hivyo kinachofutwa ni azimio la bunge au makubaliano yaliyopitishwa na bunge?. Maana naona kila siku tunachanganyana.
 
Hakuna ujanja katika sheria za kimataifa.
Upo ujanja bosslady.
Mikataba ya kihuni wanayotuletea ndo ujanja wenyewe.

Chifu Mangungo na wenzake waliingia mikataba ya kishenzi kwa sababu hawakuwa na exposure ya kufahamu contents za mikataba, lakini walipokuja kugundua wameingizwa chaka walichukua silaha kutetea ardhi yetu.

Leo Chifu Hangaya na wenzake ambao ni wasomi tukuka wametuingiza kwenye jaribu baya sana la.mkataba ambao contents zake ni dubious kinyama.


Umeona namna wasomi wanavyoweza kuligharimu Taifa?
 
Unaweza vile vile ukawa na katiba nzuri lakini utekelezaji wake ukawa vurugu tu kama huko nchi jirani, kila siku ni vurugu na maandamano! Kwa kifupi katiba siyo jibu la moja kwa moja la maendeleo ya nchi.
Ukiwa na katiba nzuri lakini sheria zikawa mbaya au katiba nzuri, sheria nzuri lakini utekelezaji mbaya, marekebisho yake ni rahisi sana.

Kama katiba ikiwa nzuri, sheria zikawa mbaya, ni process ya kupeleka tu mswada bungeni na kuifuta sheria iliyo mbaya au kuirekebisha.

Kama katiba ikiwa nzuri, sheria nzuri lakini utekelezaji ukawa mbaya, kinachotakiwa ni kuwaondoa au kuwafukuza wasimamizi wa sheria au kuwakamata na kuwashtaki wanaokiuka sheria.

Lakini huwezi kuwa na katiba mbaya halafu uwe na sheria nzuri kwa sababu sheria hazina uwezo wa kuwa juu ya katiba. Halikadhalika, hakuna HGA itakayokuwa juu ya IGA. Uzito wa IGA unaweza kuuona, IGA inapitishwa na bunge kwa kuwa ni mkataba mkuu. Vimikataba vidogo vya HGA vitapitishwa na watu wachache wakiwa wamejifungia, havitajadiliwa na umma na vitakuwa vya siri.
 
Hapa ndiyo ninapowashangaa wengi!..
Hoja hujibiwa kwa hoja tusichangie kwa jazba sana na tusitumie lugha Kali kama nguvu ya hoja zetu.

Tusiubeze usomi wa mtu yoyote ila turuhusu akili zetu kuwa wazi kujifunza au kukataa kwa hoja. Tukiweza kufanya mijadala inayoruhusu kufanya uchambuzi yakinifu "critical analysis" tutakuwa katika nafasi nzuri sana ya ujenzi wa hoja.

Hoja yoyote ile inaweza kuwa na udhaifu na uimara lakini udhaifu na uimara huo hubainishwa Kwa nguvu ya hoja nyingine na siyo vinginevyo. Uwezo wa kutawala hisia katika kupokea na kutoa hoja ni jambo muhimu sana ingawa wengi wetu (sijitoi) tuna udhaifu mkubwa eneo hilo
Na wewe nae unataka kuwa mpumbavu kama kitila?
Ikifikia kwenu ndo Mnataka mjibiwe hoja Kwa hoja wakati nyie mlishindwa kujibu hoja Kwa hoja kwenye Hilo ji makubaliano lenu la hovyo
 
Katika mahojiano kati ya Profesa Kitila Mkumbo na Mwandishi wa habari nimeweza kuelewa mambo yafuatayo:

Mosi, suala hili la mkataba wa Bandari kati ya Serikali ya Tanzania na Emirati ya Dubai linapitia katika hatua kadhaa na hatua iliyopo ni hatua ya makubaliano kati ya Serikali na Serikali "Intergovernmental agreement" hatua hii haijaonesha makubaliano mahususi juu ya maeneo mahususi.

Pili, Ipo hatua fuatizi ambayo ni makubaliano mahususi "consessional agreement" hatua hii ndiyo itakayobainisha makubaliano juu ya maeneo mahususi na ndiyo itakayoonesha kwa mawanda Serikali ya Tanzania itapata nini na Kampuni husika itapata nini.

Juu ya nukta hizo mbili kulingana na majibu ya Profesa alipokuwa akihojiwa ni kama upande wa upinzani unakimbilia kupinga kabla ya kukamilika kwa hatua zote muhimu za makubaliano.
Yeye ni mwanasiasa na mtu wa education kwa nini asiwaachie tu kwanza wanasheria?
 
Mmoja wa maprofesa vilaza kuwahi kutokea
Sema alipokuwa Chadema alikuwa Profesa mzuri na masomi mahiri! Jibuni hoja acheni ubagazaji. Sasa wewe usomi wako uko wapi kama unaacha hoja na kukimbilia mipasho!
 
Hawa "ma-propesa" wa majalalani hawajawahi kuwa na msaada kwa nchi hii zaidi ya kujidhalilisha kwa kujikomba!
Ni aimu na fedheha sana kwao!
 
Katika mahojiano kati ya Profesa Kitila Mkumbo na Mwandishi wa habari nimeweza kuelewa mambo yafuatayo:

Mosi, suala hili la mkataba wa Bandari kati ya Serikali ya Tanzania na Emirati ya Dubai linapitia katika hatua kadhaa na hatua iliyopo ni hatua ya makubaliano kati ya Serikali na Serikali "Intergovernmental agreement" hatua hii haijaonesha makubaliano mahususi juu ya maeneo mahususi.

Pili, Ipo hatua fuatizi ambayo ni makubaliano mahususi "consessional agreement" hatua hii ndiyo itakayobainisha makubaliano juu ya maeneo mahususi na ndiyo itakayoonesha kwa mawanda Serikali ya Tanzania itapata nini na Kampuni husika itapata nini.

Juu ya nukta hizo mbili kulingana na majibu ya Profesa alipokuwa akihojiwa ni kama upande wa upinzani unakimbilia kupinga kabla ya kukamilika kwa hatua zote muhimu za makubaliano.

Nilisha wahi kupost huku kuwa hili jambo la mkataba lina vinasaba vya ccm.
Kwa uelewa wangu viongozi wengi wa serikali na ccm wameshakaa na kukubaliana jambo juu ya mkataba, na ndiyo maana mambo yanayo hitaji ufafanuzi au maelezo ya wataalamu, au watu waliopewa dhamana katika idara fulani, badala ya wao kutoa maelezo/kujibu hoja, unakuta viongozi wa ccm au wa kiserikali ndo wanaotoa ufafanuzi.

Kwa sasa ni vigumu mujua ni nani msemaji wa taasisi/idara au chombo fulani chenye mamlaka juu ya hili jambo la mkataba.
 
Mbona wewe unaoekana ujinga ni asli ya ukoo wenu ndugu? kaa kimya acha wanaume wachangie mada!
Mchango wa kijinga ni lazima usemwe kuwa ni wa kijinga. Profesa Kitila mwenyewe alikuwa ni sawa na huyo mchangiaji lakini kule kule Dodoma akaelimishwa vizuri sana kifungu baada ya kifungu na Hamza Johari na leo uelewa wake ndio huo umekuwa mzuri.

Wengi wetu tunadhani mkataba uliopelekwa bungeni ndio kila kitu kwenye suala zima la uwekezaji wa DPW, ukweli ni kwamba kitakachoandikwa kwenye mikataba ya kibiashara kimo ndani ya maamuzi yetu.

IGA iliyokwenda bungeni ina kurasa 30, lakini project contracts zinaweza kuwa na kurasa mpaka 200, kule zinaandikwa hizo financials zote za kibiashara, yanaandikwa matakwa yote ya kibiashara tunayoyataka yawepo kwenye huu uwekezaji.
 
Katika mahojiano kati ya Profesa Kitila Mkumbo na Mwandishi wa habari nimeweza kuelewa mambo yafuatayo:

Mosi, suala hili la mkataba wa Bandari kati ya Serikali ya Tanzania na Emirati ya Dubai linapitia katika hatua kadhaa na hatua iliyopo ni hatua ya makubaliano kati ya Serikali na Serikali "Intergovernmental agreement" hatua hii haijaonesha makubaliano mahususi juu ya maeneo mahususi.

Pili, Ipo hatua fuatizi ambayo ni makubaliano mahususi "consessional agreement" hatua hii ndiyo itakayobainisha makubaliano juu ya maeneo mahususi na ndiyo itakayoonesha kwa mawanda Serikali ya Tanzania itapata nini na Kampuni husika itapata nini.

Juu ya nukta hizo mbili kulingana na majibu ya Profesa alipokuwa akihojiwa ni kama upande wa upinzani unakimbilia kupinga kabla ya kukamilika kwa hatua zote muhimu za makubaliano.
Kwa hiyu waziri anathibitisha kwamba waliokamatwa ni kwa sanabu ya kukosoa kwa hisia mkataba wa bandari na DP World?
Kama hivyo ndivyo kwanini yeye asishitakiwe kwa kufanya uhaini dhidi ya raia?
 
Yeye ni mwanasiasa na mtu wa education kwa nini asiwaachie tu kwanza wanasheria?
Tatizo ninaloliona hapa ni kuwa wataalamu wa mikataba na Sheria za mikataba ya aina hii sauti yao imemezwa na wasemaji wengi wanaopata nafasi ya kupaza sauti mbali sana.
 
Back
Top Bottom