Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
MwenyeweCrap
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MwenyeweCrap
Chukua hii kwangu, usimjibu mtu anayetumia tusi kama hojaMwenyewe
Kweli aseeChukua hii kwangu, usimjibu mtu anayetumia tusi kama hoja
Tofautisha kuelewa na kuamini ndugu.Kama madudu yote ya makinikia na JPM, walivyotuaminisha kwamba tunawadai wazungu tilioni 400!, kumbe kanyaboya, bado unawaamini ccm, inabidi ukapimwe kichwa milembe.
Nani huyo ameakumbia kuwa mambo ya Muungano ni 22? Mkataba wa Muungano una mambo 11 tuKama siyo suala la Muungano, Mbarawa na Aisha wanafanya nini pale wizarani, kwenye Wizara isiyo ya Muungano?
Ebu orodhesha hapa mambo 22 ya Muungano.
Hizo zinaitwa ndoto za Ali NachaHabari za Moto moto kutoka huko ndaani ndani kabisa Ni kwamba mkataba utasitishwa ku save face na kuepusha uhujumu bandarini, na waliochukua rushwa hata Yule wa $2.5 m wanatakiwa kurudisha.
Huyu aliyekua mwalimu wa michongo sura yake ataiweka wapi baada ya kutetea UJINGA?
Kwanza huyu ni profesa wa nn? Usikute ni mganga wa kienyejiTuna wasomi wajinga sana. Najutia kufundishwa na huyu fala.
Naenda upya nikarudie digrii maana niliyo nayo nimepewa na mtu mjinga
Sent using Jamii Forums mobile app
Haswa.Maswali kama haya yanaonesha kabisa kuna mahali pana tatizo.
Hata huijui katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (JMT) wewe kwa sababu hamsomi ila mnapigia kelele kwa mambo ya kulishwa tu na big fish ya CCM..Hizo Bandari za zanzibar zikiachwa wapi? Wakati Bandari sio suala la muungano
Kama ni makubaliano ambayo hayakuonyesha maeneo mahususi Bunge limeridhia nini basi?Katika mahojiano kati ya Profesa Kitila Mkumbo na Mwandishi wa habari nimeweza kuelewa mambo yafuatayo:
Mosi, suala hili la mkataba wa Bandari kati ya Serikali ya Tanzania na Emirati ya Dubai linapitia katika hatua kadhaa na hatua iliyopo ni hatua ya makubaliano kati ya Serikali na Serikali "Intergovernmental agreement" hatua hii haijaonesha makubaliano mahususi juu ya maeneo mahususi.
Pili, Ipo hatua fuatizi ambayo ni makubaliano mahususi "consessional agreement" hatua hii ndiyo itakayobainisha makubaliano juu ya maeneo mahususi na ndiyo itakayoonesha kwa mawanda Serikali ya Tanzania itapata nini na Kampuni husika itapata nini.
Juu ya nukta hizo mbili kulingana na majibu ya Profesa alipokuwa akihojiwa ni kama upande wa upinzani unakimbilia kupinga kabla ya kukamilika kwa hatua zote muhimu za makubaliano.
Sasa mkitaka kuhakikisha kwamba hamjui. Waleteni waarabu bila kurekebisha ule mkataba.Hizo zinaitwa ndoto za Ali Nacha
Utawala wa sheriaSasa mkitaka kuhakikisha kwamba hamjui. Waleteni waarabu bila kurekebisha ule mkataba.
Leo kwa Mara ya kwanza nimeona mtuhumiwa katika kesi ya UHAINI amepewa dhamana.
Na bado mtakula matapishi yenu Sana.