Profesa Mkenda aapa kutotoa vibali vya kuagiza sukari

Profesa Mkenda aapa kutotoa vibali vya kuagiza sukari

Sisi wakulima kwa korosho ni msimu wa 3 mfululizo hatujui pembejeo dukani inauzwa Bei gani? Wakulima wa mounga na mahindi walau Sasa tuna uhakika na Bei ya mazao yetu. Ni muda huu mbaazi na ufuta vimevuta vijana wengi huku kusini mwa Tanzania kuliko wakati wa mkenda. Sasa tunachanganyikiwa tunaposoma hata.
Narudi, Bashe ni binadamu lazima awe na mapungufu, lakini si kwa picha hii munayojenga.
 
Sisi wakulima kwa korosho ni msimu wa 3 mfululizo hatujui pembejeo dukani inauzwa Bei gani? Wakulima wa mounga na mahindi walau Sasa tuna uhakika na Bei ya mazao yetu. Ni muda huu mbaazi na ufuta vimevuta vijana wengi huku kusini mwa Tanzania kuliko wakati wa mkenda. Sasa tunachanganyikiwa tunaposoma hata.
Narudi, Bashe ni binadamu lazima awe na mapungufu, lakini si kwa picha hii munayojenga.
Nilimaanisha mpunga na sio kama ikivyoandikwa hapo
 
Mimi sijali sheria,nachosema ikiwa kila baada ya muda Fulani huficha sukari ili iadimike Bei zipande,Wacha viwanda vife
sheria inasema wakificha wapigwe faini ya milioni 500 muulize bashe amewapiga faini mara ngapi walioficha sukari?
 
ALIYEKUWA waziri wa Kilimo, Profesa Adolph Mkenda amesema suala la utoaji wa vibali vya kuagiza sukari nje ya nchi litaichafua sana Serikali kwani linalenga kuua viwanda vya ndani vya sukari, ajira za watanzania, ajira wa kulima wa miwa na kupotezea nchi mapato mengi.

Leo Mkenda ameondoka wizarani Bashe amefungulia vibali vya sukari kwa marafiki zake ambao sheria inawakataa kuingiza sukari lakini kwa kiburi akaamua kufanya hivyo kwa madai kuwa watu wenye uwezo wa kumuhoji ni wa 4 tu na yeye anajua ameshawawin hawawezi kumuhoji kwenye suala la vibali vya sukari hata kama anavunja sheria

Msikilize kwa makini Profesa Mkenda hapa chini..


View: https://youtu.be/HZdOsHAO5JU?si=3X1eZ1rcRa6Ivf3x


Sehemu ya maoni kuhusu Kauli ya Profesa Mkenda..........

killa9556

2 years ago
Hongera sana Waziri wa Kilimo kwa msimamo wako hiyo ni njia moja ya kuifanya Tanzania kuwa nchi ya Viwanda na sio ulanguzi.
https://accounts.google.com/ServiceLogin?service=youtube&uilel=3&passive=true&continue=https://www.youtube.com/signin?action_handle_signin=true&app=desktop&hl=en&next=%2Fwatch%3Fv%3DHZdOsHAO5JU&hl=en
https://accounts.google.com/ServiceLogin?service=youtube&uilel=3&passive=true&continue=https://www.youtube.com/signin?action_handle_signin=true&app=desktop&hl=en&next=%2Fwatch%3Fv%3DHZdOsHAO5JU&hl=en
@EdwardSMsiro
2 years ago
Mzalendo wa kweli "Nimekusoma Waziri wangu wa Kilimo"
https://accounts.google.com/ServiceLogin?service=youtube&uilel=3&passive=true&continue=https://www.youtube.com/signin?action_handle_signin=true&app=desktop&hl=en&next=%2Fwatch%3Fv%3DHZdOsHAO5JU&hl=en
https://accounts.google.com/ServiceLogin?service=youtube&uilel=3&passive=true&continue=https://www.youtube.com/signin?action_handle_signin=true&app=desktop&hl=en&next=%2Fwatch%3Fv%3DHZdOsHAO5JU&hl=en
@edgarmbehikya8150
2 years ago
Huyu ni great man. Sasa hivi hii wizara imempata mwenyewe
https://accounts.google.com/ServiceLogin?service=youtube&uilel=3&passive=true&continue=https://www.youtube.com/signin?action_handle_signin=true&app=desktop&hl=en&next=%2Fwatch%3Fv%3DHZdOsHAO5JU&hl=en

https://accounts.google.com/ServiceLogin?service=youtube&uilel=3&passive=true&continue=https://www.youtube.com/signin?action_handle_signin=true&app=desktop&hl=en&next=%2Fwatch%3Fv%3DHZdOsHAO5JU&hl=en


@andersonjoseph8458

2 years ago
Hivi mbona Tanzania yetu haina wazalendo kama huyu!! Nashangaa viongozi wengi hawana mzigo na nchi yao kupiga dili tuu Mungu baba yetu kutana na hawa watu



@tumsifumartine612

2 years ago
Hongera sana,Waziri mkenda kwa kuwa na msimamo na kuwa mzalendo,nyie ndio wasomi tunaowahitaji TANZANIA Mungu akulinde

Mkenda my the blood of Jesus be with you ...Proud of you Mkenda at least we have pp who are/were true to Tzn and our late president

@peterjanuary7972

2 years ago
Kila sehemu ni madiri tu! wapigaji wameegemea kila mahala jamni ninamuomba mungu asimame kutulinda wengi na viongozi wachache wenye ukweli na wenye kujari wananchi na nchi yao, na ingependeza wote viongozi wenye tamaa na mali na wenye kujari makundi ya watu wachache na kuwaache wakiangamia.. wananchi wengi tunamwomba mungu awaondoe kabisa kabisa wasiwepo nchi hii🇹🇿🇹🇿 na wasije tokea tena ndy maombi yangu kwa mungu!,
emoji_u1f64f.png
.

Ila Waziri we ni mzalendo tafadhali usiachie ngazi Kwani ndio wataornyezwa waking Januari wanaosaini mikataba mpaka kwa wahindi. Tafadhali shikilia hapohapo ma umweleweshe Mama labda alikuwa hajaambiwa undani wa jambo la sukari lilivyo TZ. Angesema sukari inunuliwe kwa kiasi fulani kulinda viwanda vyetu na baadaye isinunuliwe kabisa.

@josephmahubemaro7406

2 years ago
Waziri mkendaMimi na kuunga mkono usitoe vibariKwel wewe ulipikwa na Marehemu JPMHakika mungu ata kulinda
2

Reply

Bashe mtoto wa mjini.

Mnahangaika bure.

Tuliwambia Katiba Mpya sasa mnalalamika nini.
 
sheria inasema wakificha wapigwe faini ya milioni 500 muulize bashe amewapiga faini mara ngapi walioficha sukari?
Asiwapige,Ila vibali vya kuagiza sukari vizidi kutolewa,anayetafuta ushahidi wa kuficha,akapoteze muda mahakamani
 
Tapeli la kisiasa Hilo.

Bungeni alitoa Kauli Gani?

Alikuwa waziri wa kilimo alifanya Nini?

Hatumtaki na aondoke zakeeee
 
Huyu si minister? Anaifahamu "doctrine of cabinet solidarity"?
Hayo aliyasema akiwa na wadhifa wa wizara hiyo kabla hajahamishwa.
Mrithi wake (Bashe) alipochukuwa wizara, akaona hayo ya mtangulizi wake ni takataka; yeye anafanya yake kama alivyofanya.

Lakini tujikumbushe kidogo: Mkenda aliambiwa "NONSENSE"kwa swala hilo hilo la sukari na kibibi mmmoja ambaye hata shule haijulikani alisoma wapi!
 
ALIYEKUWA waziri wa Kilimo, Profesa Adolph Mkenda amesema suala la utoaji wa vibali vya kuagiza sukari nje ya nchi litaichafua sana Serikali kwani linalenga kuua viwanda vya ndani vya sukari, ajira za watanzania, ajira wa kulima wa miwa na kupotezea nchi mapato mengi.

Leo Mkenda ameondoka wizarani Bashe amefungulia vibali vya sukari kwa marafiki zake ambao sheria inawakataa kuingiza sukari lakini kwa kiburi akaamua kufanya hivyo kwa madai kuwa watu wenye uwezo wa kumuhoji ni wa 4 tu na yeye anajua ameshawawin hawawezi kumuhoji kwenye suala la vibali vya sukari hata kama anavunja sheria

Msikilize kwa makini Profesa Mkenda hapa chini..


View: https://youtu.be/HZdOsHAO5JU?si=3X1eZ1rcRa6Ivf3x


Sehemu ya maoni kuhusu Kauli ya Profesa Mkenda..........

killa9556

2 years ago
Hongera sana Waziri wa Kilimo kwa msimamo wako hiyo ni njia moja ya kuifanya Tanzania kuwa nchi ya Viwanda na sio ulanguzi.
https://accounts.google.com/ServiceLogin?service=youtube&uilel=3&passive=true&continue=https://www.youtube.com/signin?action_handle_signin=true&app=desktop&hl=en&next=%2Fwatch%3Fv%3DHZdOsHAO5JU&hl=en
https://accounts.google.com/ServiceLogin?service=youtube&uilel=3&passive=true&continue=https://www.youtube.com/signin?action_handle_signin=true&app=desktop&hl=en&next=%2Fwatch%3Fv%3DHZdOsHAO5JU&hl=en
@EdwardSMsiro
2 years ago
Mzalendo wa kweli "Nimekusoma Waziri wangu wa Kilimo"
https://accounts.google.com/ServiceLogin?service=youtube&uilel=3&passive=true&continue=https://www.youtube.com/signin?action_handle_signin=true&app=desktop&hl=en&next=%2Fwatch%3Fv%3DHZdOsHAO5JU&hl=en
https://accounts.google.com/ServiceLogin?service=youtube&uilel=3&passive=true&continue=https://www.youtube.com/signin?action_handle_signin=true&app=desktop&hl=en&next=%2Fwatch%3Fv%3DHZdOsHAO5JU&hl=en
@edgarmbehikya8150
2 years ago
Huyu ni great man. Sasa hivi hii wizara imempata mwenyewe
https://accounts.google.com/ServiceLogin?service=youtube&uilel=3&passive=true&continue=https://www.youtube.com/signin?action_handle_signin=true&app=desktop&hl=en&next=%2Fwatch%3Fv%3DHZdOsHAO5JU&hl=en

https://accounts.google.com/ServiceLogin?service=youtube&uilel=3&passive=true&continue=https://www.youtube.com/signin?action_handle_signin=true&app=desktop&hl=en&next=%2Fwatch%3Fv%3DHZdOsHAO5JU&hl=en


@andersonjoseph8458

2 years ago
Hivi mbona Tanzania yetu haina wazalendo kama huyu!! Nashangaa viongozi wengi hawana mzigo na nchi yao kupiga dili tuu Mungu baba yetu kutana na hawa watu



@tumsifumartine612

2 years ago
Hongera sana,Waziri mkenda kwa kuwa na msimamo na kuwa mzalendo,nyie ndio wasomi tunaowahitaji TANZANIA Mungu akulinde

Mkenda my the blood of Jesus be with you ...Proud of you Mkenda at least we have pp who are/were true to Tzn and our late president

@peterjanuary7972

2 years ago
Kila sehemu ni madiri tu! wapigaji wameegemea kila mahala jamni ninamuomba mungu asimame kutulinda wengi na viongozi wachache wenye ukweli na wenye kujari wananchi na nchi yao, na ingependeza wote viongozi wenye tamaa na mali na wenye kujari makundi ya watu wachache na kuwaache wakiangamia.. wananchi wengi tunamwomba mungu awaondoe kabisa kabisa wasiwepo nchi hii🇹🇿🇹🇿 na wasije tokea tena ndy maombi yangu kwa mungu!,
emoji_u1f64f.png
.

Ila Waziri we ni mzalendo tafadhali usiachie ngazi Kwani ndio wataornyezwa waking Januari wanaosaini mikataba mpaka kwa wahindi. Tafadhali shikilia hapohapo ma umweleweshe Mama labda alikuwa hajaambiwa undani wa jambo la sukari lilivyo TZ. Angesema sukari inunuliwe kwa kiasi fulani kulinda viwanda vyetu na baadaye isinunuliwe kabisa.

@josephmahubemaro7406

2 years ago
Waziri mkendaMimi na kuunga mkono usitoe vibariKwel wewe ulipikwa na Marehemu JPMHakika mungu ata kulinda
2

Reply

Iangalieni vizuri hiyo clip. Hakuna uhusiano kati ya sauti na picha. Hapa wahuni wa mtandao wamewqpiga kanyaboya.

Ni kweli Mkenda alikuwa ni waziri wa kilimo kwenye Serikali ya Magufuli mwaka 2019 na hayo maneno aliyasema. Lakini hakuyasema kwenye mkutano huo.

Hii clip inamharibia tu jina lake Prof Mkenda
 
Kama viwanda vya ndani huficha sukari ili kupaisha Bei,Wacha vife,mashamba yao tulime mpunga
Kila unapo
ALIYEKUWA waziri wa Kilimo, Profesa Adolph Mkenda amesema suala la utoaji wa vibali vya kuagiza sukari nje ya nchi litaichafua sana Serikali kwani linalenga kuua viwanda vya ndani vya sukari, ajira za watanzania, ajira wa kulima wa miwa na kupotezea nchi mapato mengi.
Umefanya vizuri kuitafuta taarifa hii toka huko uliko itoa, lakini unaharibu kujaribu kupindisha habari yenyewe.
Haya uliyoweka hapa si maneno aliyosema Prof. Mkenda baada ya kutokea haya ya Bashe. Haya yalisemwa kabla ya Bashe.
 
ALIYEKUWA waziri wa Kilimo, Profesa Adolph Mkenda amesema suala la utoaji wa vibali vya kuagiza sukari nje ya nchi litaichafua sana Serikali kwani linalenga kuua viwanda vya ndani vya sukari, ajira za watanzania, ajira wa kulima wa miwa na kupotezea nchi mapato mengi.

Leo Mkenda ameondoka wizarani Bashe amefungulia vibali vya sukari kwa marafiki zake ambao sheria inawakataa kuingiza sukari lakini kwa kiburi akaamua kufanya hivyo kwa madai kuwa watu wenye uwezo wa kumuhoji ni wa 4 tu na yeye anajua ameshawawin hawawezi kumuhoji kwenye suala la vibali vya sukari hata kama anavunja sheria

Msikilize kwa makini Profesa Mkenda hapa chini..


View: https://youtu.be/HZdOsHAO5JU?si=3X1eZ1rcRa6Ivf3x


Sehemu ya maoni kuhusu Kauli ya Profesa Mkenda..........

killa9556

2 years ago
Hongera sana Waziri wa Kilimo kwa msimamo wako hiyo ni njia moja ya kuifanya Tanzania kuwa nchi ya Viwanda na sio ulanguzi.
https://accounts.google.com/ServiceLogin?service=youtube&uilel=3&passive=true&continue=https://www.youtube.com/signin?action_handle_signin=true&app=desktop&hl=en&next=%2Fwatch%3Fv%3DHZdOsHAO5JU&hl=en
https://accounts.google.com/ServiceLogin?service=youtube&uilel=3&passive=true&continue=https://www.youtube.com/signin?action_handle_signin=true&app=desktop&hl=en&next=%2Fwatch%3Fv%3DHZdOsHAO5JU&hl=en
@EdwardSMsiro
2 years ago
Mzalendo wa kweli "Nimekusoma Waziri wangu wa Kilimo"
https://accounts.google.com/ServiceLogin?service=youtube&uilel=3&passive=true&continue=https://www.youtube.com/signin?action_handle_signin=true&app=desktop&hl=en&next=%2Fwatch%3Fv%3DHZdOsHAO5JU&hl=en
https://accounts.google.com/ServiceLogin?service=youtube&uilel=3&passive=true&continue=https://www.youtube.com/signin?action_handle_signin=true&app=desktop&hl=en&next=%2Fwatch%3Fv%3DHZdOsHAO5JU&hl=en
@edgarmbehikya8150
2 years ago
Huyu ni great man. Sasa hivi hii wizara imempata mwenyewe
https://accounts.google.com/ServiceLogin?service=youtube&uilel=3&passive=true&continue=https://www.youtube.com/signin?action_handle_signin=true&app=desktop&hl=en&next=%2Fwatch%3Fv%3DHZdOsHAO5JU&hl=en

https://accounts.google.com/ServiceLogin?service=youtube&uilel=3&passive=true&continue=https://www.youtube.com/signin?action_handle_signin=true&app=desktop&hl=en&next=%2Fwatch%3Fv%3DHZdOsHAO5JU&hl=en


@andersonjoseph8458

2 years ago
Hivi mbona Tanzania yetu haina wazalendo kama huyu!! Nashangaa viongozi wengi hawana mzigo na nchi yao kupiga dili tuu Mungu baba yetu kutana na hawa watu



@tumsifumartine612

2 years ago
Hongera sana,Waziri mkenda kwa kuwa na msimamo na kuwa mzalendo,nyie ndio wasomi tunaowahitaji TANZANIA Mungu akulinde

Mkenda my the blood of Jesus be with you ...Proud of you Mkenda at least we have pp who are/were true to Tzn and our late president

@peterjanuary7972

2 years ago
Kila sehemu ni madiri tu! wapigaji wameegemea kila mahala jamni ninamuomba mungu asimame kutulinda wengi na viongozi wachache wenye ukweli na wenye kujari wananchi na nchi yao, na ingependeza wote viongozi wenye tamaa na mali na wenye kujari makundi ya watu wachache na kuwaache wakiangamia.. wananchi wengi tunamwomba mungu awaondoe kabisa kabisa wasiwepo nchi hii🇹🇿🇹🇿 na wasije tokea tena ndy maombi yangu kwa mungu!,
emoji_u1f64f.png
.

Ila Waziri we ni mzalendo tafadhali usiachie ngazi Kwani ndio wataornyezwa waking Januari wanaosaini mikataba mpaka kwa wahindi. Tafadhali shikilia hapohapo ma umweleweshe Mama labda alikuwa hajaambiwa undani wa jambo la sukari lilivyo TZ. Angesema sukari inunuliwe kwa kiasi fulani kulinda viwanda vyetu na baadaye isinunuliwe kabisa.

@josephmahubemaro7406

2 years ago
Waziri mkendaMimi na kuunga mkono usitoe vibariKwel wewe ulipikwa na Marehemu JPMHakika mungu ata kulinda
2

Repl

Kuna hawa wahindi koo zao zimegawana biashara za kuagiza bidhaa kutoka nje. Kuna wasukari, kuna wa ngano, kuna wa mchele. Watahujumu hatua zozote za uzalishaji wa ndani. Rais aanze kumtema bashe kushindwa kusimamia.
 
ALIYEKUWA waziri wa Kilimo, Profesa Adolph Mkenda amesema suala la utoaji wa vibali vya kuagiza sukari nje ya nchi litaichafua sana Serikali kwani linalenga kuua viwanda vya ndani vya sukari, ajira za watanzania, ajira wa kulima wa miwa na kupotezea nchi mapato mengi.

Leo Mkenda ameondoka wizarani Bashe amefungulia vibali vya sukari kwa marafiki zake ambao sheria inawakataa kuingiza sukari lakini kwa kiburi akaamua kufanya hivyo kwa madai kuwa watu wenye uwezo wa kumuhoji ni wa 4 tu na yeye anajua ameshawawin hawawezi kumuhoji kwenye suala la vibali vya sukari hata kama anavunja sheria

Msikilize kwa makini Profesa Mkenda hapa chini..


View: https://youtu.be/HZdOsHAO5JU?si=3X1eZ1rcRa6Ivf3x


Sehemu ya maoni kuhusu Kauli ya Profesa Mkenda..........

killa9556

2 years ago
Hongera sana Waziri wa Kilimo kwa msimamo wako hiyo ni njia moja ya kuifanya Tanzania kuwa nchi ya Viwanda na sio ulanguzi.
https://accounts.google.com/ServiceLogin?service=youtube&uilel=3&passive=true&continue=https://www.youtube.com/signin?action_handle_signin=true&app=desktop&hl=en&next=%2Fwatch%3Fv%3DHZdOsHAO5JU&hl=en
https://accounts.google.com/ServiceLogin?service=youtube&uilel=3&passive=true&continue=https://www.youtube.com/signin?action_handle_signin=true&app=desktop&hl=en&next=%2Fwatch%3Fv%3DHZdOsHAO5JU&hl=en
@EdwardSMsiro
2 years ago
Mzalendo wa kweli "Nimekusoma Waziri wangu wa Kilimo"
https://accounts.google.com/ServiceLogin?service=youtube&uilel=3&passive=true&continue=https://www.youtube.com/signin?action_handle_signin=true&app=desktop&hl=en&next=%2Fwatch%3Fv%3DHZdOsHAO5JU&hl=en
https://accounts.google.com/ServiceLogin?service=youtube&uilel=3&passive=true&continue=https://www.youtube.com/signin?action_handle_signin=true&app=desktop&hl=en&next=%2Fwatch%3Fv%3DHZdOsHAO5JU&hl=en
@edgarmbehikya8150
2 years ago
Huyu ni great man. Sasa hivi hii wizara imempata mwenyewe
https://accounts.google.com/ServiceLogin?service=youtube&uilel=3&passive=true&continue=https://www.youtube.com/signin?action_handle_signin=true&app=desktop&hl=en&next=%2Fwatch%3Fv%3DHZdOsHAO5JU&hl=en

https://accounts.google.com/ServiceLogin?service=youtube&uilel=3&passive=true&continue=https://www.youtube.com/signin?action_handle_signin=true&app=desktop&hl=en&next=%2Fwatch%3Fv%3DHZdOsHAO5JU&hl=en


@andersonjoseph8458

2 years ago
Hivi mbona Tanzania yetu haina wazalendo kama huyu!! Nashangaa viongozi wengi hawana mzigo na nchi yao kupiga dili tuu Mungu baba yetu kutana na hawa watu



@tumsifumartine612

2 years ago
Hongera sana,Waziri mkenda kwa kuwa na msimamo na kuwa mzalendo,nyie ndio wasomi tunaowahitaji TANZANIA Mungu akulinde

Mkenda my the blood of Jesus be with you ...Proud of you Mkenda at least we have pp who are/were true to Tzn and our late president

@peterjanuary7972

2 years ago
Kila sehemu ni madiri tu! wapigaji wameegemea kila mahala jamni ninamuomba mungu asimame kutulinda wengi na viongozi wachache wenye ukweli na wenye kujari wananchi na nchi yao, na ingependeza wote viongozi wenye tamaa na mali na wenye kujari makundi ya watu wachache na kuwaache wakiangamia.. wananchi wengi tunamwomba mungu awaondoe kabisa kabisa wasiwepo nchi hii🇹🇿🇹🇿 na wasije tokea tena ndy maombi yangu kwa mungu!,
emoji_u1f64f.png
.

Ila Waziri we ni mzalendo tafadhali usiachie ngazi Kwani ndio wataornyezwa waking Januari wanaosaini mikataba mpaka kwa wahindi. Tafadhali shikilia hapohapo ma umweleweshe Mama labda alikuwa hajaambiwa undani wa jambo la sukari lilivyo TZ. Angesema sukari inunuliwe kwa kiasi fulani kulinda viwanda vyetu na baadaye isinunuliwe kabisa.

@josephmahubemaro7406

2 years ago
Waziri mkendaMimi na kuunga mkono usitoe vibariKwel wewe ulipikwa na Marehemu JPMHakika mungu ata kulinda
2

Reply

Msomali ametoa rushwa haswa
 
Bahati mbaya tuna bunge fake linakubali kuhongwa haliwezi hata kuchunguza mambo ya msingi kama haya
 
Back
Top Bottom