Profesa Mkenda aapa kutotoa vibali vya kuagiza sukari

Profesa Mkenda aapa kutotoa vibali vya kuagiza sukari

ALIYEKUWA waziri wa Kilimo, Profesa Adolph Mkenda amesema suala la utoaji wa vibali vya kuagiza sukari nje ya nchi litaichafua sana Serikali kwani linalenga kuua viwanda vya ndani vya sukari, ajira za watanzania, ajira wa kulima wa miwa na kupotezea nchi mapato mengi.

Leo Mkenda ameondoka wizarani Bashe amefungulia vibali vya sukari kwa marafiki zake ambao sheria inawakataa kuingiza sukari lakini kwa kiburi akaamua kufanya hivyo kwa madai kuwa watu wenye uwezo wa kumuhoji ni wa 4 tu na yeye anajua ameshawawin hawawezi kumuhoji kwenye suala la vibali vya sukari hata kama anavunja sheria

Msikilize kwa makini Profesa Mkenda hapa chini..


View: https://youtu.be/HZdOsHAO5JU?si=3X1eZ1rcRa6Ivf3x


Sehemu ya maoni kuhusu Kauli ya Profesa Mkenda..........

killa9556

2 years ago
Hongera sana Waziri wa Kilimo kwa msimamo wako hiyo ni njia moja ya kuifanya Tanzania kuwa nchi ya Viwanda na sio ulanguzi.
https://accounts.google.com/ServiceLogin?service=youtube&uilel=3&passive=true&continue=https://www.youtube.com/signin?action_handle_signin=true&app=desktop&hl=en&next=%2Fwatch%3Fv%3DHZdOsHAO5JU&hl=en
https://accounts.google.com/ServiceLogin?service=youtube&uilel=3&passive=true&continue=https://www.youtube.com/signin?action_handle_signin=true&app=desktop&hl=en&next=%2Fwatch%3Fv%3DHZdOsHAO5JU&hl=en
@EdwardSMsiro
2 years ago
Mzalendo wa kweli "Nimekusoma Waziri wangu wa Kilimo"
https://accounts.google.com/ServiceLogin?service=youtube&uilel=3&passive=true&continue=https://www.youtube.com/signin?action_handle_signin=true&app=desktop&hl=en&next=%2Fwatch%3Fv%3DHZdOsHAO5JU&hl=en
https://accounts.google.com/ServiceLogin?service=youtube&uilel=3&passive=true&continue=https://www.youtube.com/signin?action_handle_signin=true&app=desktop&hl=en&next=%2Fwatch%3Fv%3DHZdOsHAO5JU&hl=en
@edgarmbehikya8150
2 years ago
Huyu ni great man. Sasa hivi hii wizara imempata mwenyewe
https://accounts.google.com/ServiceLogin?service=youtube&uilel=3&passive=true&continue=https://www.youtube.com/signin?action_handle_signin=true&app=desktop&hl=en&next=%2Fwatch%3Fv%3DHZdOsHAO5JU&hl=en

https://accounts.google.com/ServiceLogin?service=youtube&uilel=3&passive=true&continue=https://www.youtube.com/signin?action_handle_signin=true&app=desktop&hl=en&next=%2Fwatch%3Fv%3DHZdOsHAO5JU&hl=en


@andersonjoseph8458

2 years ago
Hivi mbona Tanzania yetu haina wazalendo kama huyu!! Nashangaa viongozi wengi hawana mzigo na nchi yao kupiga dili tuu Mungu baba yetu kutana na hawa watu



@tumsifumartine612

2 years ago
Hongera sana,Waziri mkenda kwa kuwa na msimamo na kuwa mzalendo,nyie ndio wasomi tunaowahitaji TANZANIA Mungu akulinde

Mkenda my the blood of Jesus be with you ...Proud of you Mkenda at least we have pp who are/were true to Tzn and our late president

@peterjanuary7972

2 years ago
Kila sehemu ni madiri tu! wapigaji wameegemea kila mahala jamni ninamuomba mungu asimame kutulinda wengi na viongozi wachache wenye ukweli na wenye kujari wananchi na nchi yao, na ingependeza wote viongozi wenye tamaa na mali na wenye kujari makundi ya watu wachache na kuwaache wakiangamia.. wananchi wengi tunamwomba mungu awaondoe kabisa kabisa wasiwepo nchi hii🇹🇿🇹🇿 na wasije tokea tena ndy maombi yangu kwa mungu!,
emoji_u1f64f.png
.

Ila Waziri we ni mzalendo tafadhali usiachie ngazi Kwani ndio wataornyezwa waking Januari wanaosaini mikataba mpaka kwa wahindi. Tafadhali shikilia hapohapo ma umweleweshe Mama labda alikuwa hajaambiwa undani wa jambo la sukari lilivyo TZ. Angesema sukari inunuliwe kwa kiasi fulani kulinda viwanda vyetu na baadaye isinunuliwe kabisa.

@josephmahubemaro7406

2 years ago
Waziri mkendaMimi na kuunga mkono usitoe vibariKwel wewe ulipikwa na Marehemu JPMHakika mungu ata kulinda
2

Reply

Hivi hakuwa bungeni, mbona hakusimama kumuunga mkono mpina au hakupewa nafasi.
Wabunge wa Tanzanai huwa wanapitisha vitu bungeni na kuviunga mkono halafu wanatoka nje na kwenda kuvikandia.
 
Huyu si minister? Anaifahamu "doctrine of cabinet solidarity"?
 
ALIYEKUWA waziri wa Kilimo, Profesa Adolph Mkenda amesema suala la utoaji wa vibali vya kuagiza sukari nje ya nchi litaichafua sana Serikali kwani linalenga kuua viwanda vya ndani vya sukari, ajira za watanzania, ajira wa kulima wa miwa na kupotezea nchi mapato mengi.

Leo Mkenda ameondoka wizarani Bashe amefungulia vibali vya sukari kwa marafiki zake ambao sheria inawakataa kuingiza sukari lakini kwa kiburi akaamua kufanya hivyo kwa madai kuwa watu wenye uwezo wa kumuhoji ni wa 4 tu na yeye anajua ameshawawin hawawezi kumuhoji kwenye suala la vibali vya sukari hata kama anavunja sheria

Msikilize kwa makini Profesa Mkenda hapa chini..


View: https://youtu.be/HZdOsHAO5JU?si=3X1eZ1rcRa6Ivf3x


Sehemu ya maoni kuhusu Kauli ya Profesa Mkenda..........

killa9556

2 years ago
Hongera sana Waziri wa Kilimo kwa msimamo wako hiyo ni njia moja ya kuifanya Tanzania kuwa nchi ya Viwanda na sio ulanguzi.
https://accounts.google.com/ServiceLogin?service=youtube&uilel=3&passive=true&continue=https://www.youtube.com/signin?action_handle_signin=true&app=desktop&hl=en&next=%2Fwatch%3Fv%3DHZdOsHAO5JU&hl=en
https://accounts.google.com/ServiceLogin?service=youtube&uilel=3&passive=true&continue=https://www.youtube.com/signin?action_handle_signin=true&app=desktop&hl=en&next=%2Fwatch%3Fv%3DHZdOsHAO5JU&hl=en
@EdwardSMsiro
2 years ago
Mzalendo wa kweli "Nimekusoma Waziri wangu wa Kilimo"
https://accounts.google.com/ServiceLogin?service=youtube&uilel=3&passive=true&continue=https://www.youtube.com/signin?action_handle_signin=true&app=desktop&hl=en&next=%2Fwatch%3Fv%3DHZdOsHAO5JU&hl=en
https://accounts.google.com/ServiceLogin?service=youtube&uilel=3&passive=true&continue=https://www.youtube.com/signin?action_handle_signin=true&app=desktop&hl=en&next=%2Fwatch%3Fv%3DHZdOsHAO5JU&hl=en
@edgarmbehikya8150
2 years ago
Huyu ni great man. Sasa hivi hii wizara imempata mwenyewe
https://accounts.google.com/ServiceLogin?service=youtube&uilel=3&passive=true&continue=https://www.youtube.com/signin?action_handle_signin=true&app=desktop&hl=en&next=%2Fwatch%3Fv%3DHZdOsHAO5JU&hl=en

https://accounts.google.com/ServiceLogin?service=youtube&uilel=3&passive=true&continue=https://www.youtube.com/signin?action_handle_signin=true&app=desktop&hl=en&next=%2Fwatch%3Fv%3DHZdOsHAO5JU&hl=en


@andersonjoseph8458

2 years ago
Hivi mbona Tanzania yetu haina wazalendo kama huyu!! Nashangaa viongozi wengi hawana mzigo na nchi yao kupiga dili tuu Mungu baba yetu kutana na hawa watu



@tumsifumartine612

2 years ago
Hongera sana,Waziri mkenda kwa kuwa na msimamo na kuwa mzalendo,nyie ndio wasomi tunaowahitaji TANZANIA Mungu akulinde

Mkenda my the blood of Jesus be with you ...Proud of you Mkenda at least we have pp who are/were true to Tzn and our late president

@peterjanuary7972

2 years ago
Kila sehemu ni madiri tu! wapigaji wameegemea kila mahala jamni ninamuomba mungu asimame kutulinda wengi na viongozi wachache wenye ukweli na wenye kujari wananchi na nchi yao, na ingependeza wote viongozi wenye tamaa na mali na wenye kujari makundi ya watu wachache na kuwaache wakiangamia.. wananchi wengi tunamwomba mungu awaondoe kabisa kabisa wasiwepo nchi hii🇹🇿🇹🇿 na wasije tokea tena ndy maombi yangu kwa mungu!,
emoji_u1f64f.png
.

Ila Waziri we ni mzalendo tafadhali usiachie ngazi Kwani ndio wataornyezwa waking Januari wanaosaini mikataba mpaka kwa wahindi. Tafadhali shikilia hapohapo ma umweleweshe Mama labda alikuwa hajaambiwa undani wa jambo la sukari lilivyo TZ. Angesema sukari inunuliwe kwa kiasi fulani kulinda viwanda vyetu na baadaye isinunuliwe kabisa.

@josephmahubemaro7406

2 years ago
Waziri mkendaMimi na kuunga mkono usitoe vibariKwel wewe ulipikwa na Marehemu JPMHakika mungu ata kulinda
2

Reply

Mnhuuhh..kuna muda unafiki UNAFIKI unauma nyinyi ..
WAcha tuoneee!??
 
ALIYEKUWA waziri wa Kilimo, Profesa Adolph Mkenda amesema suala la utoaji wa vibali vya kuagiza sukari nje ya nchi litaichafua sana Serikali kwani linalenga kuua viwanda vya ndani vya sukari, ajira za watanzania, ajira wa kulima wa miwa na kupotezea nchi mapato mengi.

Leo Mkenda ameondoka wizarani Bashe amefungulia vibali vya sukari kwa marafiki zake ambao sheria inawakataa kuingiza sukari lakini kwa kiburi akaamua kufanya hivyo kwa madai kuwa watu wenye uwezo wa kumuhoji ni wa 4 tu na yeye anajua ameshawawin hawawezi kumuhoji kwenye suala la vibali vya sukari hata kama anavunja sheria
Walipeleka majungu akaondolewa
 
Huyu si minister? Anaifahamu "doctrine of cabinet solidarity"?
Ukiwa mcha MUNGU huwezi kuwa na solidarity na wezi, mataeli na Wala rushwa.
Ni Bora ukose hiyo ministerial appointment lakini conscience yako iwe huru na kesho uingie mbinguni.
Bashe ameikosesha serikali Kodi zaidi ya nusu trilioni, halafu anaangalia tu.
Eti cabinet solidarity.
Wewe ule rushwa ya mabilioni halaffu niwe na solidarity na wewe?
 
Mmeanza kupata akili hata hiyo Sukari yenyewe haijawahi kuwa adimu wahuni wanatengeneza hilo swala haiwezekani Eswatin wachome sukari iliyozidi muda wa matumizi karibu tani za kutosha harafu eti Tanzania kila msimu ni adimu tuu..acheni uongo wenu hapo Uganda na Zambia sukari ni kama unga wa Sembe haujawahi kuwa adimu..
 
Mbona hii ni video ya Siku nyingi munawekaje hapa Kama evidence ya sakata la sukari la juzi. Lakini so Hawa Hawa tulikuwa tunawabeza kutokuwa na msimamo na walikuwa wananongwa kumridhisha bosi wao wa wakati huo? Sasa je hamuoni hata hizi kauli zaie zilikuwa Zina mridhisha bosi yule, na hasa ukicheki kwenye Lile sakata bosi anahusishwa na kupewa maekari ya ardhi na Hawa wazalishaji wa ndani. Nawapenda wazalishaji wa ndani, Ila kutumia video ya muda mrefu Kama ushahidi wa tukio la Leo ni upotoshaji wa makusudi, na vipi haliwezi kuwa kosa kisheria? Lakini wewe mpotoshaji huoni Kama unatupa wakati mgumu kukuamini na kuamini dhamira yako?
 
Mbona hii ni video ya Siku nyingi munawekaje hapa Kama evidence ya sakata la sukari la juzi. Lakini so Hawa Hawa tulikuwa tunawabeza kutokuwa na msimamo na walikuwa wananongwa kumridhisha bosi wao wa wakati huo? Sasa je hamuoni hata hizi kauli zaie zilikuwa Zina mridhisha bosi yule, na hasa ukicheki kwenye Lile sakata bosi anahusishwa na kupewa maekari ya ardhi na Hawa wazalishaji wa ndani. Nawapenda wazalishaji wa ndani, Ila kutumia video ya muda mrefu Kama ushahidi wa tukio la Leo ni upotoshaji wa makusudi, na vipi haliwezi kuwa kosa kisheria? Lakini wewe mpotoshaji huoni Kama unatupa wakati mgumu kukuamini na kuamini dhamira yako?
nadhani wameweka ili kuonyesha kwamba, serikali imeondoa watu wazuri kilimo, wakaweka wasiofaa kama huyo anayegombana na mpina.
 
Kilo moja ya sukari brazil bei ya leo wananunua shilingi 520 za kitanzania, hivo wahuni wanatupiga pesa ndefu sana
 
nadhani wameweka ili kuonyesha kwamba, serikali imeondoa watu wazuri kilimo, wakaweka wasiofaa kama huyo anayegombana na mpina.
Kwa kipimo kipi Cha uzuri wa mkenda, kwa kuua zao la mahindi kwa kuzuia wafanyabiashara wa nje kuja kununua? Kuua mounts kwa kuzuia wateja wasije kununua? Mkenda hakufanya lolote kwenye kilimo, Bora hata Bashe anajaribu, anaweza kuwa na mapungufu yake, lakini so kwa picha hii inayojaribu kujengwa kwake.
 
Back
Top Bottom