Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,061
- 16,753
Dangote ndiye mwekezaji pekee mwenye uwezo mkubwa wa kujenga kiwanda kikubwa cha kuzalisha Sukari nchini lakini mambo yalivyo hivi sasa atapigwa vita na mamafia wabobezi wa kuagiza sukari kutoka nje - waagizaji hawa wa sukari wana mizizi na ushawishi mkubwa kwenye mission critical sectors nchini na hawajiwahi kushindwa kitu wakidhamilia na nawahakikishieni its a question of time kabla hawajapewa kibali kwa mara nyingine tena cha ku-import substandard na rebagged (huko Dubai) expired commodity/Sugar kutoka Brazil na India, pretending to import industrial sugar wanapewa rebate na Serikali halafu sukari inaiingizwa sokoni kama kawa kwa kukwepa kodi stahiki kwa kisingizio cha Industrial Sugar - wanahujumu viwanda vyetu visikuwe.Lakini kwa nini wasitafute muwekezaji anaeweza kuziba hilo pengo hata kwa kumpa tax holiday?
Afu wakajifunze Uganda,Malawi na Zambia
Big importers wa sukari wana generate matrillion of Tsh big time bila ya kuwekeza katika ujenzi wa viwanda vya Sukari - namkubusha Profesa kwamba kundi hili si lelemama litakujengea hoja nzito discretely halafu ujikute aidha anahamishiwa Wizara nyingine au anarudishwa kufundisha Chuo Kikuu. Kwa nini Profesa hajiulizi iweje hawa wafanya biashara wanakuwa na ujasiri wa kushikiza Bodi ya Sukari iwapatie vibali vya kuimport sukari, jeuri hii ya kukihuka maagizo ya the late Dr.Magufuli kupiga marufuku utoaji wa vibali - jeuri hii wafanya biashara hao wanaipata wapi? Binafsi naona kuna kitu wanajiamini si Bure. Mzalendo Prof.Mkenda weka uzalendo mbele historia ndiyo itakuhukumu huo ndio ushauri wangu - barikiwa sana.