Mwanasiada akiapa Ni Kama ushuzi tu. Ndani ya dakika mbili utakua umesahaulika.
Kwanza alishawahi kuapa mbele ya madhabahu kwamba atakaa na mke wake Hadi kifo kiwatenganishe. Je ndoa yake bado ipo?
Wanasiada Wana apa kwamba wstaitunza na kuihifadhi katiba na hawatatoa Siri za Baraza la mawaziri. Ni Mara ngapi katiba wameivuruga tukianzia na ndugu yai.
VIBALI vitatolewa na saini itakua Kama yake na sukari hata Sasa inaingizwa nyingi tu. Tena haitapitia porous borders Bali ktk bandari zetu.
He is still new in town.
Kwanza alishawahi kuapa mbele ya madhabahu kwamba atakaa na mke wake Hadi kifo kiwatenganishe. Je ndoa yake bado ipo?
Wanasiada Wana apa kwamba wstaitunza na kuihifadhi katiba na hawatatoa Siri za Baraza la mawaziri. Ni Mara ngapi katiba wameivuruga tukianzia na ndugu yai.
VIBALI vitatolewa na saini itakua Kama yake na sukari hata Sasa inaingizwa nyingi tu. Tena haitapitia porous borders Bali ktk bandari zetu.
He is still new in town.