Profesa Mkenda aapa kutotoa vibali vya kuagiza sukari

Profesa Mkenda aapa kutotoa vibali vya kuagiza sukari

Kunaku

Kuna hawa wahindi koo zao zimegawana biashara za kuagiza bidhaa kutoka nje. Kuna wasukari, kuna wa ngano, kuna wa mchele. Watahujumu hatua zozote za uzalishaji wa ndani. Rais aanze kumtema badhe.
Hawa ndiyo CCM kindakinda wanatoa rushwa haswa
 
Kunaku

Kuna hawa wahindi koo zao zimegawana biashara za kuagiza bidhaa kutoka nje. Kuna wasukari, kuna wa ngano, kuna wa mchele. Watahujumu hatua zozote za uzalishaji wa ndani. Rais aanze kumtema bashe kushindwa kusimamia.
Huyo rais mwenyewe unamwonaje wewe?
 
Hawa ndiyo CCM kindakinda wanatoa rushwa haswa
Hawa wameteka chama baada ya magufuli kufa. Hawa kina samia nchimbi kinana ndio wasaliti wa ccm isiyoyumba kwenye misimamo yake ya haki na usawa. Wahindi na kila wapigaji ndio wenye ccm sasa. 2025 kuna kazi kukomboa ccm irudie wananchi ama sivyo itabidi wapenda haki na usawa kuhama.
 
Hawa wameteka chama baada ya magufuli kufa. Hawa kina samia nchimbi kinana ndio wasaliti wa ccm isiyoyumba kwenye misimamo yake ya haki na usawa. Wahindi na kila wapigaji ndio wenye ccm sasa. 2025 kuna kazi kukomboa ccm irudie wananchi ama sivyo itabidi wapenda haki na usawa kuhama.
Majangili yote yamerudi kwenye system na yamaikamata
 
Back
Top Bottom