Profesa Muhongo huna credibility ya kuwashauri watanzania kuachana na mradi wa JNHPP na usidanganye watu kuwa Hydro power zimepitwa na wakati

Wrong examples. Nchi zote hizo zimetumia mabavu kulazimisha hiyo miradi. Profesa yuko sahihi.

Amandla...
Atuambie kwanini uwepo wa Kinyerezi plants haujapunguza maumizu yetu na yeye alikuwa waziri huko? Hatumwamini kwakuwa ana ndimi nyingi sana huyo
 
Anaesema Umeme wa Maji umepitwa na wakati atafute mataahira wa kuwaambia huo utahira

China week hii wameanza kujaza Maji kwenye bwawa linaloenda kuwa the second largest hydroelectric dam in their country!

Halafu atuambie umeme upi ni nafuu zaidi ya Umeme wa Maji kati ya
Gas
Nyuklia
Mafuta
Solar
Upepo
Joto ardhi

Ukisema mabadiliko ya Tabia nchi hii ni Janga la kidunia ambalo dunia nzima inakabiliana nalo polepole
Muhimu kwetu ni kutunza Mazingira na vyanzo vya Maji ili kunufaika na mradi huo kwa miaka mingi ijayo!
Wasilete kuturudisha utumwani kwenye siasa za udalali za IPTL ,Symbion ,Aggreko ,Richmond,nk
 
Wrong examples. Nchi zote hizo zimetumia mabavu kulazimisha hiyo miradi. Profesa yuko sahihi.

Amandla...
Atuambie kwanini uwepo wa Kinyerezi plants haujapunguza maumizu yetu na yeye alikuwa waziri huko? hatumwamini kwakuwa ana ndimi nyingi sana huyo
 
Ni ushenzi mkubwa kufyeka miti hekta milioni mbili kwa ajili ya mradi wa maji ambao ungeweza kutekelezwa kwingineko bila kuharibu Eneo la hifadhi ya dunia
Hivi hii feasibility study ya mwaka 70 ndo iliamuru miti mil. 2 ifyekwe, such an obsolete feasibility study....
 
They made a lot of money, nahisi wanataka kutufanya wapumbavu wa kudumu
 
Duniani kote mabwawa yanajengwa. China, Ethiopia, Uganda, Brazil etc. Hawa wanajiita wasomi ndiyo wamefanya hadi leo tupo kwenye umaskini. Si wakusikilizwa.
Si wakuwasikiliza tena!!
 
Anaitafuta nafasi ya Dr. Medad Kalemani
 
Alituambia hivyo kipindi Fulani akiwa waziri.. Alisema yeye anahitajika kila nchi dunia hii.. nilishangaa baada ya kutumbuliwa Amekua bench muda wote..hakuna ata Local NGO imetamani Huduma yake...samaki analinga akiwa ndani ya maji.
 
SSH ni dhaifu ndio maana kila mtu anajaribu kushawishi ujinga wake. Amefungalia mlango akitaka kuonyesha ana akili kumbe ameonyesha udhaifu wake.

Ameshakuwa Rais sasa, udhaifu wake ndio tutaishi nae. Wale wenye nguvu au wameshapita au watakuja baadae. Usiwe mwoga sana kuona mlango umefunguliwa, au wewe ni mnyang’anyi kama yule jamaa??
 
Hivi CV yake inaeleza alivyokataliwa na mke wake na siku hizi hajulikani anaishi wapi! Baada ya hayo ndo najua kwamba CV ni ya huko darasani. siyo kwenye miradi ya umeme wakati ulisomea jiolojia.
Ukisimuliwa jinsi hilo janamke lilivyomnyanyasa professor huwezi kutamani hata kuoa, bwege wewe...
 
Huyu Prof angelinda heshima yake angekaa kimya kama yupo msalani, kwa hili la umeme afyate mkia kabisa alituingiza matatizoni sana,
Makinikia yalimshinda
Escrow ilimshinda
Kinyerezi ilimshinda
Underground cabling ilimshinda
Leo anaibuka mithili ya nguchiro kutukana msasi
He is hopeless
 
Kuwekeza kwenye Umeme wa maji ni bahati nasibu.Kila siku tunaongelea mabadiliko ya tabia nchi.Kuna weza kuwa na mafuriko mwaka huu mwakani kukawa ukame kupita maelezo.Umeme wa uhakika ni gas ,makaa ya mawe ,nguvu ya nyuklia!
 
Atuambie kwanini uwepo wa Kinyerezi plants haujapunguza maumizu yetu na yeye alikuwa waziri huko? hatumwamini kwakuwa ana ndimi nyingi sana huyo
Hahahah nyie wote hamjui Tanzania mpaka sasa umeme tunaotumia yaani National grid asilimia 50 (50%) ni gesi asilia iliyobakia ndio uweke maji, upepo na vingine...na Kinyerezi 1 na 2 zikizimwa tunarudi kwenye giza kama ilivyokuwa before 2004, mimi naongea kama mtaalamu wa mafuta na gesi, quote me!
 
Yaani saizi kuna miluzi tele ya wasaka tonge, watabuni miradi mingi ili watengeneze ulaji tu hakuna lingine
 
Hujui kitu, nyamaza nyumbxxx wewe, LNG inayotakiwa kujengwa ni almost 30bn USD, mtajenga wenyewe kwa kodi ipi? Unaropoka tu hovyo hovyo, SSH ni gwini na hakuna attention to details at all, unafikiria kujenga LNG wakati hata kukusanya kodi hutaki ?
 
Nakazia hoja
 
Electricity in Tanzania is generated using gas; hydropower is also a significant source of power.Tanzania has a capacity of 1,601.84 megawatts (MW) as of April 2020, Natural Gas contributes 892.72MW, Hydroelectric Power contributes 573.70MW, while heavy oil and biomass make up of 88.80MW and 10.50MW, respectively. Quoted!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…