Profesa Muhongo huna credibility ya kuwashauri watanzania kuachana na mradi wa JNHPP na usidanganye watu kuwa Hydro power zimepitwa na wakati

Profesa Muhongo huna credibility ya kuwashauri watanzania kuachana na mradi wa JNHPP na usidanganye watu kuwa Hydro power zimepitwa na wakati

Nakazi kidogo. Ni mtu wa ajabu sana anaweza kujenga mradi mkubwa kama ule kwa kutumia feasibility study ya miaka 50 iliyopita. Prof. Muhongo ni mtu smart aliyejikuta anafanya kazi kwenye nchi alizoita Trump jina lile.
NAwe pia nikuulize; Ni smart wapi? Anavaa vizuri, ananyoa vizuri, au kitu gani?
 
Kwa hiyo wewe profesa ulietetea wizi wa fedha za Escrow kwa nguvu nyingi mpaka ukatukana watu ni matumbili leo hii unapata wapi ujasiri wa kutuambia watanzania kuwa umeme maji unachelewa kuanza kuzaa faida na umepitwa na wakati?

Kwa hiyo huko Usa na China ambazo ni nchi zilizoendelea kwa kila namna wanapojenga Hydropower stations au kuendelea kutumia HEP kuzalisha umeme ni watu wasio na uelewa wa mambo?

Lini ilishawahi kutokea kupata nishati kama umeme ikawa ni fasheni ya kudai HEP imepitwa na wakati na sasa tutumie gas? Au unaleta dharau zako?

Hasira za wewe kufukuzwa uwaziri kisa tu ulishazoea kupiga madili makuwa hapo wizara ya nishati isiwe sababu ya kutuharibia mipango ya kukamilisha JNHPP. Kaaa kimya uendelee kutafuna posho za Escrow.


MUHONGO=MUONGO, just simple like that.
 
Hivi CV yake inaeleza alivyokataliwa na mke wake na siku hizi hajulikani anaishi wapi! Baada ya hayo ndo najua kwamba CV ni ya huko darasani. siyo kwenye miradi ya umeme wakati ulisomea jiolojia.

Mbona nawe pia Umeachika na husemi?
 
Hakika Magufuli alikuwa ngangari haswa hawa kima wote type za kina muhongo hatukuwahi kuwasikia wakishauri chochote
 
Duniani kote mabwawa yanajengwa. China, Ethiopia, Uganda, Brazil etc. Hawa wanajiita wasomi ndiyo wamefanya hadi leo tupo kwenye umaskini. Si wakusikilizwa.
Mkuu juzi kulikuwa na kikao gani vile kati ya Ethiopia na Egypt na kikavunjika? Kilihusu Ethiopia kujenga nini vile hadi Egypt kakasirika?
 
Kwa CV yake tu huyu Profesa, Uweledi wake, Uzoefu wake na Uwezo wake mkubwa wa Akili nakubaliana nae tena kwa 100% juu ya huu Mtazamo wake.

Ni Rais Mpumbavu tu pekee ndiyo hatotaka kufanya Kazi na Mtu very competent kama Profesa Muhongo ambaye hata Mataifa Makubwa na yaliyotuzidi kila Kitu hadi Akili walifanya nae Kazi na sasa wanamtumia pia kama Independent Consultant katika Masuala ya Madini na Jiolojia pia.

Majungu dhidi yake hayasaidii ni Upuuzi.
Siyo majungu hoja aliyo toa inashangaza sana - kuna jamaa hapa kamu hoji Prof swali zuri tu kwamba anataka kuileza Dunia kwamba Wachina waliojenga a five gorge project ya kuzalisha umeme wa kukidhi mahitaji ya Taifa lao kubwa lenye viwanda chungu nzima kwa nini wali prefer hydroelectric to gas or nuclear ,je Ethiopia na Uganda wote wamejenga DAMS kwenye mto wa Nile kwa lengo la kuzalisha umeme,kwa nini sisi tuwe tofauti.
 
Ethiopia wanajenga bwawa kubwa la umeme hadi wanagombana na Misri kuhusu mto Nile .kweli huyu Ni profesa Muhongo /big lier
 
Ukweli utabaki kuwa ukweli "UMEME WA MAJI UMEPITWA NA WAKATI" Ikumbukwe ni mara ngapi Mtera, Nyumba ya Mungu... zimeshindwa kuzalisha umeme kutokana na majanga mbalimbali ya kimazingira kama sio mvua kuzidi basi matope nk. Mtu akiambiwa na mtaalamu akaona utaalamu ule ni ujinga mwisho wa siku lazima alipe gharama zake. Akiliccm haijawahi kukubaliana na vitu vyenye akili..m
 
Ameshapitisha vibali vya kazi vitolewa kama karanga, ameshaonesha yupo tayari mkataba wowote kwenye LNG Lindi, kwenye Hellium gas, unataka kuona nini kuwa ameshawishiwa ujinga na kukubali ?
Kwahiyo mlitaka mpaka wasukuma mujue kichimba gesi ndio muanze michakato ya LNG?? Mlikuwa mna mpango wa kujinehemesha tu sukumas sio?

Mama kasema kwenye LNG tuanze na pia tuangalie maslahi yetu. Kama hakuna Investor tuanze wenyewe kwa pesa zetu kama tulivyoanza kwenye SGR..

Nyie wapumbavu mbona hamuongelei ATCL ilikuwa inapiga hasara na huyo shujaa wenu akawa anatangaza hadharani eti inapata faida? The guy was a complete selfish thief, ndio maana alijaza wezi wenzake waibe kimya kimya na kulazimisha ATCL ianze safari za kwenda Chato Airport kitu ambacho afisa masoko wa ATCL kakiri huyo ruti ni hasara tu hakuna biashara
 
Dunia nzima inaenda kwenye nuclear, gas na solar. Sisi bado tumegomea kwenye maji
Dunia nzima haina maji ya kuzalisha umeme...., Nuclear disposing ya wastes ni tatizo, gas sio renewable na solar inahitaji storage (ambayo bado is not up to standard)
 
Ni ushenzi mkubwa kufyeka miti hekta milioni mbili kwa ajili ya mradi wa maji ambao ungeweza kutekelezwa kwingineko bila kuharibu Eneo la hifadhi ya dunia
 
Mzee unafeli kumuita Muhongo mtaalam wa Nishati huyo ni Geoligist, ambae hajui hata umeme, Iko ivi dunia inapambana kurudi kwenye renewable sources kama jua au maji mana running cost ni kidogo sana compare izo non renewable source, Hata polution ni very less regardless kuwepo na high initial cost, Muhongo ni wakupuuza wakati gesi inachibwa mtwara alisema mgao wa umeme utakuwa historia
 
Mkuu

Unamfahamu nyoka aina ya 'KOBOKO'? hata nyoka aina ya Kobra, Kifutu au Chatu wanamgwaya ile mbaya maana anauwezo wa kuua viumbe hai zaidi ya ishirini na tano kwa mfululizo bila kukata sumu yake. Wakigundua yupo karibu wanajificha kwenye mashimo ya vichuguu nk.

Majini na majoka yote yaliyokuwa kifungoni ndani ya chupa na kutupwa baharini, leo mvuvi mmoja huyo kavua samaki na takataka zingine zikiwemo chupa zenye vizibo akaja nazo pwani akazitupa kwenye matumbawe ufukweni, mara anashangaa kuona moshi unafuka kutokea humo huku ukitoa sauti za lawama aliyetufungia humu atatukoma, hivyo ndivyo inavyotokea sasa.

Wajuaji wote unaowafahamu waliufyata mkia enzi za hayati, baada ya kupita wanajitokeza hadharani kumlaani, kumlaumu na kumhukumu aisye na uwezo wa kujitetea. Kiongozi mnafiki, mwoga na laghai wa jinsi hii hafai kuaminiwa kwa chochote. Historia za utendaji wao wa kazi zinawasuta
Umetumia vizuri fasihi.

Mimi katika nyuzi zangu kadhaa nimekuwa nasema kuwa watanzania tumegawanyika kambi mbili tu bila kujali vyama vyetu, nazo ni:
1. Majizi, mafisadi na mashabiki wao.
2. Wazalendo wanaopinga wizi na ufisadi.
Jinsi mtu anavyochangia unaweza kujua mlengo wake ni upi ndio maana unashangaa ntu anashindwaje kuona smple fact! Wanaweza kuwa watu wawili mmoja ana elimu ya chuo kikuu mwingine darasa la saba lakini huyo wa chuo kikuu unashangaa jinsi alivyo bogus kuliko wa darasa la saba.
 
Kwa hiyo wewe profesa ulietetea wizi wa fedha za Escrow kwa nguvu nyingi mpaka ukatukana watu ni matumbili leo hii unapata wapi ujasiri wa kutuambia watanzania kuwa umeme maji unachelewa kuanza kuzaa faida na umepitwa na wakati?

Kwa hiyo huko Usa na China ambazo ni nchi zilizoendelea kwa kila namna wanapojenga Hydropower stations au kuendelea kutumia HEP kuzalisha umeme ni watu wasio na uelewa wa mambo?

Lini ilishawahi kutokea kupata nishati kama umeme ikawa ni fasheni ya kudai HEP imepitwa na wakati na sasa tutumie gas? Au unaleta dharau zako?

Hasira za wewe kufukuzwa uwaziri kisa tu ulishazoea kupiga madili makuwa hapo wizara ya nishati isiwe sababu ya kutuharibia mipango ya kukamilisha JNHPP. Kaaa kimya uendelee kutafuna posho za Escrow.
Nimeisikiliza hotuba yote ya Muhongo leo. Hakuna popote aliposhauri kuwa mradi wa bwawa la umeme la Nyerere haufai au uachwe. Na watu wengi humu wamerukia kumlaumu hata bila kujua alichosema. Amesema kuwa umeme wa maji kwa ujumla wake hautabiriki kwa sababu ya kutegemea mvua na kuathiriwa na shughuli zingine za binadamu. Kinachotakiwa ni kuendeleza vyanzo vyote vya umeme, ikiwemo gasi asilia ambayo inaonekana kutelekezwa. Rudi ukamsikilize tena.
 
Mbona nawe pia Umeachika na husemi?
KWa hiyo wote sisi ni hovyo na Muhongo wako au? Usirudie kusifu dume zima bila sababu. MWenzio analilia bila kujua alale wapi, wewe unasifu kichwa chake.
 
Hivi Ethiopia na Misri ule mgogoro umeisha

Gesi tunayo Maji nayo bwelelee sasa nikuangali gharama za ujenzi na enviromental impact ya ya hiyo miradi miwili
Misri wanataka kutuma midege ya jeshi kuja kuokoa maji yao! Kwa kubomoa bwawa!
Ila Misri imebaki maneno tu!!
 
Tanzania inahitaji wasomi wenye damu changa sasa, hawa wenzangu na mimi waliozaliwa miaka ya 50 mpaka 60 waondoke tu madarakani na wasiuone mlango wa jengo la watunga sheria tena, leo tumemsikia mtu anaeitwa Ndugai na ushauri alioutoa kwa wabunge... Lakini hata kabla hatujatafakari mtazamo wa Spika tunapata dozi nyingine ya Profesa mmoja wa kizamani wa madini!!....Kwamba umeme wa gesi ndio mpango mzima kwa sasa, nadhani anatoa msisitizo tu kwani aliishasema.

Hivi Kinyerezi si kuna mitambo ya kuzalisha umeme kwa gesi? Atuambie sasa ni kwa nini kila siku umeme unakatika hasa maeneo yanayopata umeme kupitia Kinyerezi.😳 Nashauri vijana wa sasa waliosoma na hata wasiosoma wajitokeze kuchukuwa nafasi za utumishi Serikalini ili hawa wazee waliojichokea kama mimi wakafungue miradi yao binafsi au wakatumie muda wao mwingi kulea wajukuu.... Aibu!!.
 
Back
Top Bottom