Na aliwakatalia katakata wazawa akiwemo Mengi kushiriki kwenye uchimbaji wa gesi; nakumbuka waliunda kamouni ya swala lakini aliwawekea vigingi.Enzi ya gas yetu kuuzwa huyu si ndo alikuwa waziri wa nishati na madini?
Nchi hii hakika tumelogwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na aliwakatalia katakata wazawa akiwemo Mengi kushiriki kwenye uchimbaji wa gesi; nakumbuka waliunda kamouni ya swala lakini aliwawekea vigingi.Enzi ya gas yetu kuuzwa huyu si ndo alikuwa waziri wa nishati na madini?
Takwimu zinategemea na uwepo wa mito katika nchi husika. Brazil ni 65% majiUwe na kiasi. Muhongo hakuwa na heshima kwa watu zamani, lakini huwa haropoki. Ni kweli umeme wa bei rahisi ni wa maji. Lakini ukweli zaidi ni kuwa nchi ziendazo kisasa mchango wa umeme wa maji ni mdogo mno. Jiandae kuushangaa ukweli huu: Kati ya umeme wote wa Russia, umeme wa maji ni 20%; China 18%; EU haizidi 10 ( France 10, Germany 3); USA 6.6; UK 2. Tafuta ukweli huu hata kwa google
Niwakati taifa liwe na sera inayofuatwa na kila Rais. Kikwete na Nduguye Muhongo walisema sera sasa ni umeme wa gas.Hii umeiongea kwa Summary.
China sehemu kubwa ya umeme wake unatokana na Non Renewable sources hasa Makaa ya mawe...
Power plants kubwa ya coal ni Kama Megawatts 6000MW na hawa ndio wana largest power plants.
Kwenye Nuclear Japan ndio wana powerplants kubwa ila ni 7000MW ila dunia nzima inakumbuka ajali ya Fukushima
Kwenye Gas (ambayo sisi tunayo) ni Qatar hawa wanazalisha 8000MW
Solar India na China ndio wana zalisha umeme mwingi karibu 2500MW pekee
Wind wachina ndio wana power plants kubwa kama megawatts 7000
Kwenye Hydro China wana bwawa kubwa kabisa duniani 22,000 MW
Ukiangalia Wachina Waliwekeza Nguvu nyingi sana kwenye umeme wa maji alafu ndio wakaja huko kwingine...
Hebu jaribu kuangalia bwawa moja tu China linazalisha karibu mara tatu ya umeme wote unaotokana na gesi asilia wa Qatar...
Alafu mtu kama Professor anakuja kusema Umeme wa maji hauna Mashiko
Tatizo lako ni mtu wa kukurupuka, unadhani Source ya mto rufiji ilivyo ni wakati wa kufikiria maji kupungua?Tufikirie na mabadiliko ya mazingira na hali ya hewa pia
Nchi hii kuna watu wengi tu wamesoma jiologia huyo hana exceptional yeyote. Mtu anweza akawa msomi lakini kwa Tanzania ingekuwa heri zaidi kama asingezaliwa.Badala ya kujibu hoja na kutoa ufafanuzi we unampamba mtu[emoji1][emoji1]
MkuuLeo nimeshituka kusikia maneno ya Professor Muongo (Mtaalamu wa Nishati) akisema umeme wa Maji sasa Umepitwa na wakati na Uchumi ni Umeme wa Gesi.
Huenda ni kweli ujenzi wa Hydro Electric Power Plant ukawa na gharama mwanzoni na sio kila nchi / sehemu inaweza ikawa na HEP sababu lazima kuwe na viable infrastructure.
Ila ni ukweli usiopingika kwamba umeme wa maji ni renewable (yaani unaweza ukazalishwa tena na tena na tena) Gesi unless otherwise ni Biogas basi uchimbaji wa gesi sio renewable... Nisiwachoshe kuna hii article hapa chini kuhusu gharama ya renewables na umeme wa maji bado ni cheaper... as of 2017 nadhani hii 2021 hali haijabadilika sana
![]()
Hydropower remains the lowest-cost source of electricity globally - Factor This™
At US$0.05/kWh, hydroelectricity remains the lowest-cost source of electricity worldwide, according to a recent report by the International Renewable Energy Agency, entitled Renewable Power Generation Costs in 2017.www.hydroreview.com
Lengo la 2025 ni 6000MW tukifika ndio tuanze na Energy mix zingineNiwakati taifa liwe na sera inayofuatwa na kila Rais. Kikwete na Nduguye Muhongo walisema sera sasa ni umeme wa gas.
Magufuli na Ndugule Kalemani wakatukarudisha kwenye hydropower/maji.
Muhongo ambaye ni geologists alisema umeme wa maji umepitwa na wakati.
Magufuli akasema umeme wa maji ndio nafuu.
Naona dalili za Samia S kuja ni kona nyingine. Usishangae akaja na umeme wa nyukilia. Maana hata majirani zetu wameanza study ya umeme wa Nyukilia.
Nimeona huko dunia kila nchi inachanzo chake kikubwa cha umeme ikitegemea na geography na raslimali zake.
China wao makaa ya mawe ndo kubwa.
Maifa ya arabia wao ni mafuta.
Brazil wanamito mingi wao umeme wanapata kwa maji.
Tanzania je?
Elimu ya kuiletea nchi yake majanga?Muhongo njoo usikie mtu asiye na "Elimu" anavyokusema vibaya huku. Njoo umkomeshe kama ulibyomkomesha yule Tumbili.
Kwa hiyo hydro electric power umepitwa na wakati???Kwa CV yake tu huyu Profesa, Uweledi wake, Uzoefu wake na Uwezo wake mkubwa wa Akili nakubaliana nae tena kwa 100% juu ya huu Mtazamo wake.
Ni Rais Mpumbavu tu pekee ndiyo hatotaka kufanya Kazi na Mtu very competent kama Profesa Muhongo ambaye hata Mataifa Makubwa na yaliyotuzidi kila Kitu hadi Akili walifanya nae Kazi na sasa wanamtumia pia kama Independent Consultant katika Masuala ya Madini na Jiolojia pia.
Majungu dhidi yake hayasaidii ni Upuuzi.
Ulimsikiloza vizuri? Amesema Kuwepo na energy mix hao US na China wana hydro lakini wana wind turbines, Geothermal, Coal, Gesi, n.k. na ndio alichoshauri.Kwa hiyo wewe profesa ulietetea wizi wa fedha za Escrow kwa nguvu nyingi mpaka ukatukana watu ni matumbili leo hii unapata wapi ujasiri wa kutuambia watanzania kuwa umeme maji unachelewa kuanza kuzaa faida na umepitwa na wakati?
Kwa hiyo huko Usa na China ambazo ni nchi zilizoendelea kwa kila namna wanapojenga Hydropower stations au kuendelea kutumia HEP kuzalisha umeme ni watu wasio na uelewa wa mambo?
Lini ilishawahi kutokea kupata nishati kama umeme ikawa ni fasheni ya kudai HEP imepitwa na wakati na sasa tutumie gas? Au unaleta dharau zako?
Hasira za wewe kufukuzwa uwaziri kisa tu ulishazoea kupiga madili makuwa hapo wizara ya nishati isiwe sababu ya kutuharibia mipango ya kukamilisha JNHPP. Kaaa kimya uendelee kutafuna posho za Escrow.
Angehukumiwa kesi ya escrow ikiisha.Kwa hiyo wewe profesa ulietetea wizi wa fedha za Escrow kwa nguvu nyingi mpaka ukatukana watu ni matumbili leo hii unapata wapi ujasiri wa kutuambia watanzania kuwa umeme maji unachelewa kuanza kuzaa faida na umepitwa na wakati?
Kwa hiyo huko Usa na China ambazo ni nchi zilizoendelea kwa kila namna wanapojenga Hydropower stations au kuendelea kutumia HEP kuzalisha umeme ni watu wasio na uelewa wa mambo?
Lini ilishawahi kutokea kupata nishati kama umeme ikawa ni fasheni ya kudai HEP imepitwa na wakati na sasa tutumie gas? Au unaleta dharau zako?
Hasira za wewe kufukuzwa uwaziri kisa tu ulishazoea kupiga madili makuwa hapo wizara ya nishati isiwe sababu ya kutuharibia mipango ya kukamilisha JNHPP. Kaaa kimya uendelee kutafuna posho za Escrow.
Sasa unataka kumlinganisha Rais na mambo ya kijinga ya akina wewe na Jiwe?SSH ni dhaifu ndio maana kila mtu anajaribu kushawishi ujinga wake. Amefungalia mlango akitaka kuonyesha ana akili kumbe ameonyesha udhaifu wake.
Ethiopia nao wanajenga bwawa nao wamepitwa na wakati kwa mujibu wa MuhongoKwa hiyo wewe profesa ulietetea wizi wa fedha za Escrow kwa nguvu nyingi mpaka ukatukana watu ni matumbili leo hii unapata wapi ujasiri wa kutuambia watanzania kuwa umeme maji unachelewa kuanza kuzaa faida na umepitwa na wakati?
Kwa hiyo huko Usa na China ambazo ni nchi zilizoendelea kwa kila namna wanapojenga Hydropower stations au kuendelea kutumia HEP kuzalisha umeme ni watu wasio na uelewa wa mambo?
Lini ilishawahi kutokea kupata nishati kama umeme ikawa ni fasheni ya kudai HEP imepitwa na wakati na sasa tutumie gas? Au unaleta dharau zako?
Hasira za wewe kufukuzwa uwaziri kisa tu ulishazoea kupiga madili makuwa hapo wizara ya nishati isiwe sababu ya kutuharibia mipango ya kukamilisha JNHPP. Kaaa kimya uendelee kutafuna posho za Escrow.
Nakazi kidogo. Ni mtu wa ajabu sana anaweza kujenga mradi mkubwa kama ule kwa kutumia feasibility study ya miaka 50 iliyopita. Prof. Muhongo ni mtu smart aliyejikuta anafanya kazi kwenye nchi alizoita Trump jina lile.Kwa CV yake tu huyu Profesa, Uweledi wake, Uzoefu wake na Uwezo wake mkubwa wa Akili nakubaliana nae tena kwa 100% juu ya huu Mtazamo wake.
Ni Rais Mpumbavu tu pekee ndiyo hatotaka kufanya Kazi na Mtu very competent kama Profesa Muhongo ambaye hata Mataifa Makubwa na yaliyotuzidi kila Kitu hadi Akili walifanya nae Kazi na sasa wanamtumia pia kama Independent Consultant katika Masuala ya Madini na Jiolojia pia.
Majungu dhidi yake hayasaidii ni Upuuzi.
Mama ni Rais wa watu wote hata wajinga na wapumbavu wote ni wake ana wajibu wa kuwasikiliza kwani pamoja na changamoto zao wanacho Cha kuchangia kwani Mungu siyo kuna kitu amewapa.Watu wameona anapokea kila ujinga, hana msimamo ndio maana kila mtu anaropoka chochote, wanaamini wana uwezo wa kumsukuma tu kwa kelele za nje.
Magufuli alitegemea atakuwa Rais... Wasukuma mnazingua sana aiseeHana vision, tunaelewa hakujiandaa wala kutegemea kuwa Rais, basi atulie kabla ya kuanza kuropoka ropoka.
Hivi CV yake inaeleza alivyokataliwa na mke wake na siku hizi hajulikani anaishi wapi! Baada ya hayo ndo najua kwamba CV ni ya huko darasani. siyo kwenye miradi ya umeme wakati ulisomea jiolojia.Kwa CV yake tu huyu Profesa, Uweledi wake, Uzoefu wake na Uwezo wake mkubwa wa Akili nakubaliana nae tena kwa 100% juu ya huu Mtazamo wake.
Ni Rais Mpumbavu tu pekee ndiyo hatotaka kufanya Kazi na Mtu very competent kama Profesa Muhongo ambaye hata Mataifa Makubwa na yaliyotuzidi kila Kitu hadi Akili walifanya nae Kazi na sasa wanamtumia pia kama Independent Consultant katika Masuala ya Madini na Jiolojia pia.
Majungu dhidi yake hayasaidii ni Upuuzi.