Profesa Muhongo huna credibility ya kuwashauri watanzania kuachana na mradi wa JNHPP na usidanganye watu kuwa Hydro power zimepitwa na wakati

Profesa Muhongo huna credibility ya kuwashauri watanzania kuachana na mradi wa JNHPP na usidanganye watu kuwa Hydro power zimepitwa na wakati

Enzi ya gas yetu kuuzwa huyu si ndo alikuwa waziri wa nishati na madini?
Na aliwakatalia katakata wazawa akiwemo Mengi kushiriki kwenye uchimbaji wa gesi; nakumbuka waliunda kamouni ya swala lakini aliwawekea vigingi.

Nchi hii hakika tumelogwa.
 
Uwe na kiasi. Muhongo hakuwa na heshima kwa watu zamani, lakini huwa haropoki. Ni kweli umeme wa bei rahisi ni wa maji. Lakini ukweli zaidi ni kuwa nchi ziendazo kisasa mchango wa umeme wa maji ni mdogo mno. Jiandae kuushangaa ukweli huu: Kati ya umeme wote wa Russia, umeme wa maji ni 20%; China 18%; EU haizidi 10 ( France 10, Germany 3); USA 6.6; UK 2. Tafuta ukweli huu hata kwa google
Takwimu zinategemea na uwepo wa mito katika nchi husika. Brazil ni 65% maji
 
Hii umeiongea kwa Summary.

China sehemu kubwa ya umeme wake unatokana na Non Renewable sources hasa Makaa ya mawe...
Power plants kubwa ya coal ni Kama Megawatts 6000MW na hawa ndio wana largest power plants.

Kwenye Nuclear Japan ndio wana powerplants kubwa ila ni 7000MW ila dunia nzima inakumbuka ajali ya Fukushima

Kwenye Gas (ambayo sisi tunayo) ni Qatar hawa wanazalisha 8000MW

Solar India na China ndio wana zalisha umeme mwingi karibu 2500MW pekee

Wind wachina ndio wana power plants kubwa kama megawatts 7000

Kwenye Hydro China wana bwawa kubwa kabisa duniani 22,000 MW

Ukiangalia Wachina Waliwekeza Nguvu nyingi sana kwenye umeme wa maji alafu ndio wakaja huko kwingine...

Hebu jaribu kuangalia bwawa moja tu China linazalisha karibu mara tatu ya umeme wote unaotokana na gesi asilia wa Qatar...

Alafu mtu kama Professor anakuja kusema Umeme wa maji hauna Mashiko
Niwakati taifa liwe na sera inayofuatwa na kila Rais. Kikwete na Nduguye Muhongo walisema sera sasa ni umeme wa gas.
Magufuli na Ndugule Kalemani wakatukarudisha kwenye hydropower/maji.

Muhongo ambaye ni geologists alisema umeme wa maji umepitwa na wakati.

Magufuli akasema umeme wa maji ndio nafuu.

Naona dalili za Samia S kuja ni kona nyingine. Usishangae akaja na umeme wa nyukilia. Maana hata majirani zetu wameanza study ya umeme wa Nyukilia.

Nimeona huko dunia kila nchi inachanzo chake kikubwa cha umeme ikitegemea na geography na raslimali zake.

China wao makaa ya mawe ndo kubwa.

Maifa ya arabia wao ni mafuta.

Brazil wanamito mingi wao umeme wanapata kwa maji.

Tanzania je?
 
Badala ya kujibu hoja na kutoa ufafanuzi we unampamba mtu[emoji1][emoji1]
Nchi hii kuna watu wengi tu wamesoma jiologia huyo hana exceptional yeyote. Mtu anweza akawa msomi lakini kwa Tanzania ingekuwa heri zaidi kama asingezaliwa.
 
Professor Wa Kugandisha Gas Ikawa Kama Uji Ni Wa Kupuuzwa Tu Hasa Ukizingitia Ni Wale Wa Vyeti
 
Leo nimeshituka kusikia maneno ya Professor Muongo (Mtaalamu wa Nishati) akisema umeme wa Maji sasa Umepitwa na wakati na Uchumi ni Umeme wa Gesi.

Huenda ni kweli ujenzi wa Hydro Electric Power Plant ukawa na gharama mwanzoni na sio kila nchi / sehemu inaweza ikawa na HEP sababu lazima kuwe na viable infrastructure.

Ila ni ukweli usiopingika kwamba umeme wa maji ni renewable (yaani unaweza ukazalishwa tena na tena na tena) Gesi unless otherwise ni Biogas basi uchimbaji wa gesi sio renewable... Nisiwachoshe kuna hii article hapa chini kuhusu gharama ya renewables na umeme wa maji bado ni cheaper... as of 2017 nadhani hii 2021 hali haijabadilika sana

Mkuu

Unamfahamu nyoka aina ya 'KOBOKO'? hata nyoka aina ya Kobra, Kifutu au Chatu wanamgwaya ile mbaya maana anauwezo wa kuua viumbe hai zaidi ya ishirini na tano kwa mfululizo bila kukata sumu yake. Wakigundua yupo karibu wanajificha kwenye mashimo ya vichuguu nk.

Majini na majoka yote yaliyokuwa kifungoni ndani ya chupa na kutupwa baharini, leo mvuvi mmoja huyo kavua samaki na takataka zingine zikiwemo chupa zenye vizibo akaja nazo pwani akazitupa kwenye matumbawe ufukweni, mara anashangaa kuona moshi unafuka kutokea humo huku ukitoa sauti za lawama aliyetufungia humu atatukoma, hivyo ndivyo inavyotokea sasa.

Wajuaji wote unaowafahamu waliufyata mkia enzi za hayati, baada ya kupita wanajitokeza hadharani kumlaani, kumlaumu na kumhukumu aisye na uwezo wa kujitetea. Kiongozi mnafiki, mwoga na laghai wa jinsi hii hafai kuaminiwa kwa chochote. Historia za utendaji wao wa kazi zinawasuta
 
Niwakati taifa liwe na sera inayofuatwa na kila Rais. Kikwete na Nduguye Muhongo walisema sera sasa ni umeme wa gas.
Magufuli na Ndugule Kalemani wakatukarudisha kwenye hydropower/maji.

Muhongo ambaye ni geologists alisema umeme wa maji umepitwa na wakati.

Magufuli akasema umeme wa maji ndio nafuu.

Naona dalili za Samia S kuja ni kona nyingine. Usishangae akaja na umeme wa nyukilia. Maana hata majirani zetu wameanza study ya umeme wa Nyukilia.

Nimeona huko dunia kila nchi inachanzo chake kikubwa cha umeme ikitegemea na geography na raslimali zake.

China wao makaa ya mawe ndo kubwa.

Maifa ya arabia wao ni mafuta.

Brazil wanamito mingi wao umeme wanapata kwa maji.

Tanzania je?
Lengo la 2025 ni 6000MW tukifika ndio tuanze na Energy mix zingine
 
Binafsi members wa chama tawala nawaona kama mashetani mie nimekata tamaa
 
Kwa CV yake tu huyu Profesa, Uweledi wake, Uzoefu wake na Uwezo wake mkubwa wa Akili nakubaliana nae tena kwa 100% juu ya huu Mtazamo wake.

Ni Rais Mpumbavu tu pekee ndiyo hatotaka kufanya Kazi na Mtu very competent kama Profesa Muhongo ambaye hata Mataifa Makubwa na yaliyotuzidi kila Kitu hadi Akili walifanya nae Kazi na sasa wanamtumia pia kama Independent Consultant katika Masuala ya Madini na Jiolojia pia.

Majungu dhidi yake hayasaidii ni Upuuzi.
Kwa hiyo hydro electric power umepitwa na wakati???
 
Kwa hiyo wewe profesa ulietetea wizi wa fedha za Escrow kwa nguvu nyingi mpaka ukatukana watu ni matumbili leo hii unapata wapi ujasiri wa kutuambia watanzania kuwa umeme maji unachelewa kuanza kuzaa faida na umepitwa na wakati?

Kwa hiyo huko Usa na China ambazo ni nchi zilizoendelea kwa kila namna wanapojenga Hydropower stations au kuendelea kutumia HEP kuzalisha umeme ni watu wasio na uelewa wa mambo?

Lini ilishawahi kutokea kupata nishati kama umeme ikawa ni fasheni ya kudai HEP imepitwa na wakati na sasa tutumie gas? Au unaleta dharau zako?

Hasira za wewe kufukuzwa uwaziri kisa tu ulishazoea kupiga madili makuwa hapo wizara ya nishati isiwe sababu ya kutuharibia mipango ya kukamilisha JNHPP. Kaaa kimya uendelee kutafuna posho za Escrow.
Ulimsikiloza vizuri? Amesema Kuwepo na energy mix hao US na China wana hydro lakini wana wind turbines, Geothermal, Coal, Gesi, n.k. na ndio alichoshauri.
 
Kwa hiyo wewe profesa ulietetea wizi wa fedha za Escrow kwa nguvu nyingi mpaka ukatukana watu ni matumbili leo hii unapata wapi ujasiri wa kutuambia watanzania kuwa umeme maji unachelewa kuanza kuzaa faida na umepitwa na wakati?

Kwa hiyo huko Usa na China ambazo ni nchi zilizoendelea kwa kila namna wanapojenga Hydropower stations au kuendelea kutumia HEP kuzalisha umeme ni watu wasio na uelewa wa mambo?

Lini ilishawahi kutokea kupata nishati kama umeme ikawa ni fasheni ya kudai HEP imepitwa na wakati na sasa tutumie gas? Au unaleta dharau zako?

Hasira za wewe kufukuzwa uwaziri kisa tu ulishazoea kupiga madili makuwa hapo wizara ya nishati isiwe sababu ya kutuharibia mipango ya kukamilisha JNHPP. Kaaa kimya uendelee kutafuna posho za Escrow.
Angehukumiwa kesi ya escrow ikiisha.
 
SSH ni dhaifu ndio maana kila mtu anajaribu kushawishi ujinga wake. Amefungalia mlango akitaka kuonyesha ana akili kumbe ameonyesha udhaifu wake.
Sasa unataka kumlinganisha Rais na mambo ya kijinga ya akina wewe na Jiwe?
 
Kwa hiyo wewe profesa ulietetea wizi wa fedha za Escrow kwa nguvu nyingi mpaka ukatukana watu ni matumbili leo hii unapata wapi ujasiri wa kutuambia watanzania kuwa umeme maji unachelewa kuanza kuzaa faida na umepitwa na wakati?

Kwa hiyo huko Usa na China ambazo ni nchi zilizoendelea kwa kila namna wanapojenga Hydropower stations au kuendelea kutumia HEP kuzalisha umeme ni watu wasio na uelewa wa mambo?

Lini ilishawahi kutokea kupata nishati kama umeme ikawa ni fasheni ya kudai HEP imepitwa na wakati na sasa tutumie gas? Au unaleta dharau zako?

Hasira za wewe kufukuzwa uwaziri kisa tu ulishazoea kupiga madili makuwa hapo wizara ya nishati isiwe sababu ya kutuharibia mipango ya kukamilisha JNHPP. Kaaa kimya uendelee kutafuna posho za Escrow.
Ethiopia nao wanajenga bwawa nao wamepitwa na wakati kwa mujibu wa Muhongo
 
Kwa CV yake tu huyu Profesa, Uweledi wake, Uzoefu wake na Uwezo wake mkubwa wa Akili nakubaliana nae tena kwa 100% juu ya huu Mtazamo wake.

Ni Rais Mpumbavu tu pekee ndiyo hatotaka kufanya Kazi na Mtu very competent kama Profesa Muhongo ambaye hata Mataifa Makubwa na yaliyotuzidi kila Kitu hadi Akili walifanya nae Kazi na sasa wanamtumia pia kama Independent Consultant katika Masuala ya Madini na Jiolojia pia.

Majungu dhidi yake hayasaidii ni Upuuzi.
Nakazi kidogo. Ni mtu wa ajabu sana anaweza kujenga mradi mkubwa kama ule kwa kutumia feasibility study ya miaka 50 iliyopita. Prof. Muhongo ni mtu smart aliyejikuta anafanya kazi kwenye nchi alizoita Trump jina lile.
 
Watu wameona anapokea kila ujinga, hana msimamo ndio maana kila mtu anaropoka chochote, wanaamini wana uwezo wa kumsukuma tu kwa kelele za nje.
Mama ni Rais wa watu wote hata wajinga na wapumbavu wote ni wake ana wajibu wa kuwasikiliza kwani pamoja na changamoto zao wanacho Cha kuchangia kwani Mungu siyo kuna kitu amewapa.
 
Kwa CV yake tu huyu Profesa, Uweledi wake, Uzoefu wake na Uwezo wake mkubwa wa Akili nakubaliana nae tena kwa 100% juu ya huu Mtazamo wake.

Ni Rais Mpumbavu tu pekee ndiyo hatotaka kufanya Kazi na Mtu very competent kama Profesa Muhongo ambaye hata Mataifa Makubwa na yaliyotuzidi kila Kitu hadi Akili walifanya nae Kazi na sasa wanamtumia pia kama Independent Consultant katika Masuala ya Madini na Jiolojia pia.

Majungu dhidi yake hayasaidii ni Upuuzi.
Hivi CV yake inaeleza alivyokataliwa na mke wake na siku hizi hajulikani anaishi wapi! Baada ya hayo ndo najua kwamba CV ni ya huko darasani. siyo kwenye miradi ya umeme wakati ulisomea jiolojia.
 
Back
Top Bottom