Profesa Muhongo huna credibility ya kuwashauri watanzania kuachana na mradi wa JNHPP na usidanganye watu kuwa Hydro power zimepitwa na wakati

Profesa Muhongo huna credibility ya kuwashauri watanzania kuachana na mradi wa JNHPP na usidanganye watu kuwa Hydro power zimepitwa na wakati

Kwa CV yake tu huyu Profesa, Uweledi wake, Uzoefu wake na Uwezo wake mkubwa wa Akili nakubaliana nae tena kwa 100% juu ya huu Mtazamo wake.

Ni Rais Mpumbavu tu pekee ndiyo hatotaka kufanya Kazi na Mtu very competent kama Profesa Muhongo ambaye hata Mataifa Makubwa na yaliyotuzidi kila Kitu hadi Akili walifanya nae Kazi na sasa wanamtumia pia kama Independent Consultant katika Masuala ya Madini na Jiolojia pia.

Majungu dhidi yake hayasaidii ni Upuuzi.
Hilo la kuwa na Cv ya juu ndio justification ya kuongea upuuzi na kutetea ufisadi? Lini HEP imepitwa na wakati?
 
Usisahau kumuuliza swali

Kinyerezi kuna mitambo ya umeme wa gas iliyojengwa wakati wa uwaziri wake, je imetupunguzia gharama kwa kiasi gani hadi sasa?
Gesi si walishaiuza kwa mabeberu zile dk za mwisho, kwenye mswaada uliopitishwa usiku usiku kule bungeni, kwa LAZIMA kubwa toka nyumba kuu! Yeye akiwa mmojawapo, sasa ni muda wa kuilazimisha kutumia gesi kuzalisha umeme ili nchi iwe mteja wa mabeberu kwa kununua gesi kwao ambayo ilikuwa yetu kabla hawajaiuza, kisha nchi itaendelea kununua mitambo na vipuri vya mashine za kutumia gesi kutoka kwao, wapiga filimbi wao wakipewa kagawiwo kao kwa kuwezesha biashara hiyo.

Hydro ni nafuu na reliable na hasa kwa kipindi hiki ambacho dunia inajaribu kuikimbia Nuclear.

Kihansi, Mtera, Kidatu na Bwawa la Mungu, zinachangia kiasi gani kwenye grid?

Muhongo = Muongo
 
Muhungo ni dalali tu,

Umeme wa maji ndio umeme nafuu na kwa kiasi kikubwa ndio tegemezi kwenye mataifa makubwa yote duniani.

Power station kubwa duniani ya umeme jua ni Megawatt 2500 tu...na imejengwa kwa gharama kubwa isiyoelezeka

Uranium 1gram inatoa 1 Megawatt licha ya uwezo mkubwa wa Uranium kutoa nishati kubwa kiasi hiki Mataifa makubwa hayazalishi umeme mwingi kwa Uranium badala yake wanawekeza sana kwenye Hydropower
 
Kwa CV yake tu huyu Profesa, Uweledi wake, Uzoefu wake na Uwezo wake mkubwa wa Akili nakubaliana nae tena kwa 100% juu ya huu Mtazamo wake.

Ni Rais Mpumbavu tu pekee ndiyo hatotaka kufanya Kazi na Mtu very competent kama Profesa Muhongo ambaye hata Mataifa Makubwa na yaliyotuzidi kila Kitu hadi Akili walifanya nae Kazi na sasa wanamtumia pia kama Independent Consultant katika Masuala ya Madini na Jiolojia pia.

Majungu dhidi yake hayasaidii ni Upuuzi.


Wewe humjui MUHONGO...
UNLESS uwe umelipwa kuja kumuombea cheo Kwa mama...

Muhongo anazungumzia private investors..
Na private power producers na profit..

Haya mambo yatasababisha Umeme upande mara 20

Muhongo ni mtu hatari sana na wa kuogopwa kama ukoma
 
Kwa CV yake tu huyu Profesa, Uweledi wake, Uzoefu wake na Uwezo wake mkubwa wa Akili nakubaliana nae tena kwa 100% juu ya huu Mtazamo wake.

Ni Rais Mpumbavu tu pekee ndiyo hatotaka kufanya Kazi na Mtu very competent kama Profesa Muhongo ambaye hata Mataifa Makubwa na yaliyotuzidi kila Kitu hadi Akili walifanya nae Kazi na sasa wanamtumia pia kama Independent Consultant katika Masuala ya Madini na Jiolojia pia.

Majungu dhidi yake hayasaidii ni Upuuzi.
Muhongo na muheshimu sana kwa taaluma yake ila Huwezi ukachagua Chanzo chochote cha umeme zaidi ya maji kama lengo ni unafuu.

Hapa Muhongo anatumia uzaifu wa mama kuwa atapata wakati mgumu kuelewa haya mambo
 
Kwa CV yake tu huyu Profesa, Uweledi wake, Uzoefu wake na Uwezo wake mkubwa wa Akili nakubaliana nae tena kwa 100% juu ya huu Mtazamo wake.

Ni Rais Mpumbavu tu pekee ndiyo hatotaka kufanya Kazi na Mtu very competent kama Profesa Muhongo ambaye hata Mataifa Makubwa na yaliyotuzidi kila Kitu hadi Akili walifanya nae Kazi na sasa wanamtumia pia kama Independent Consultant katika Masuala ya Madini na Jiolojia pia.

Majungu dhidi yake hayasaidii ni Upuuzi.
Kuna mijitu imerukwa na akili, maana kusoma kote kule kimemfanya mjinga. Kazi lazima iendelee
 
Kwa CV yake tu huyu Profesa, Uweledi wake, Uzoefu wake na Uwezo wake mkubwa wa Akili nakubaliana nae tena kwa 100% juu ya huu Mtazamo wake.

Ni Rais Mpumbavu tu pekee ndiyo hatotaka kufanya Kazi na Mtu very competent kama Profesa Muhongo ambaye hata Mataifa Makubwa na yaliyotuzidi kila Kitu hadi Akili walifanya nae Kazi na sasa wanamtumia pia kama Independent Consultant katika Masuala ya Madini na Jiolojia pia.

Majungu dhidi yake hayasaidii ni Upuuzi.
Tusi-attack personalities wala tusiangalie ni nani kasema au ana ufahamu kiasi gani. Tuangalie faida na hasara na viability ya project husika (kama mvua hazitaacha kunyesha) umeme wa maji utavuna to infinity....

Gesi za kuchimba sio renewable kuna siku zitaisha / zitapungua..., Kwahio inabidi aje na points za ki-Professor na sio kauli za mitaani kwamba zimepitwa na wakati... Wakati how ? Gharama ? au nini ?

Bora wanaosema kwamba pale kuna species amabazo uhai wake utaangamia (environmental reasons) na sio economic (sababu in the long run this is the cheapest)
 
SSH ni dhaifu ndio maana majizi yote yapo busy kumshauri, ukiona mtu anakushauri ujinga kwa uhuru kabisa ujue anadharau uwezo wa akili. Tutegemee EPA, ESCROW , RICHMOND, IPTL na mengineyo mengi ndani ya hii miaka ya huyu mama.
Binafsi nina imani na mama na naamini Rais akifanikiwa Nchi imefanikiwa...Ila nilichoona watu wanaanza kumshauri sana kwa sababu anapokea ushauri
 
Wewe humjui MUHONGO...
UNLESS uwe umelipwa kuja kumuombea cheo Kwa mama...

Muhongo anazungumzia private investors..
Na private power producers na profit..

Haya mambo yatasababisha Umeme upande mara 20

Muhongo ni mtu hatari sana na wa kuogopwa kama ukoma
Hii ni dalili mafisadi wote hawamuogopi SSH, wote wanajaribu kumshauri ujinga tena waziwazi, hiyo ni dalili ya dharau ya uwezo wake, jana Ndugai kaja na ya bandari ya Bagamoyo, leo tunaambiwa umeme wa maji gharama, kesho tutasikia ujinga mwingine kutoka kwa dalali wa the so called “investors”.
 
Back
Top Bottom