Profesa Muhongo huna credibility ya kuwashauri watanzania kuachana na mradi wa JNHPP na usidanganye watu kuwa Hydro power zimepitwa na wakati

Profesa Muhongo huna credibility ya kuwashauri watanzania kuachana na mradi wa JNHPP na usidanganye watu kuwa Hydro power zimepitwa na wakati

Maccm mnavyopopoana sisi tuajionea burdani tosha, na huku dhalim hatunaye tena,raha tupu.
 
Uranium 1gram inatoa 1 Megawatt licha ya uwezo mkubwa wa Uranium kutoa nishati kubwa kiasi hiki Mataifa makubwa hayazalishi umeme mwingi kwa Uranium badala yake wanawekeza sana kwenye Hydropower
Naam Uranium ndio most efficient source of energy..., ila tatizo nchi nyingi hazitumii / hazipendi kutumia sababu ya wastes zinazobaki / sumu ni kazi sana kuzi-dispose.., kwahio kwa mazingira sio salama..., ila Hydro ndio mpango mzima....
 
Leo nimeshituka kusikia maneno ya Professor Muongo (Mtaalamu wa Nishati) akisema umeme wa Maji sasa Umepitwa na wakati na Uchumi ni Umeme wa Gesi.

Huenda ni kweli ujenzi wa Hydro Electric Power Plant ukawa na gharama mwanzoni na sio kila nchi / sehemu inaweza ikawa na HEP sababu lazima kuwe na viable infrastructure.

Ila ni ukweli usiopingika kwamba umeme wa maji ni renewable (yaani unaweza ukazalishwa tena na tena na tena) Gesi unless otherwise ni Biogas basi uchimbaji wa gesi sio renewable... Nisiwachoshe kuna hii article hapa chini kuhusu gharama ya renewables na umeme wa maji bado ni cheaper... as of 2017 nadhani hii 2021 hali haijabadilika sana

Prof Muhongo ni poyoyo!
Simkubali sana Magufuli kwa faulo alizo zifanya lakini kwa hili la umeme alilipatia vizuri.

Umeme siyo fashion.
Hoover Hydropower Dam ya Marekani iliyojengwa na kumalizika mwaka 1933 na mpaka leo linatoa umeme tena mdogo kidogo kuliko la Rufiji.
Hoover Dam 2080MW
La kwetu litakuwa 2115MW

Muhongo tunajua ana bifu na Magufuli asiliingize bifu kwenye umeme.
 
Leo nimeshituka kusikia maneno ya Professor Muongo (Mtaalamu wa Nishati) akisema umeme wa Maji sasa Umepitwa na wakati na Uchumi ni Umeme wa Gesi.

Huenda ni kweli ujenzi wa Hydro Electric Power Plant ukawa na gharama mwanzoni na sio kila nchi / sehemu inaweza ikawa na HEP sababu lazima kuwe na viable infrastructure.

Ila ni ukweli usiopingika kwamba umeme wa maji ni renewable (yaani unaweza ukazalishwa tena na tena na tena) Gesi unless otherwise ni Biogas basi uchimbaji wa gesi sio renewable... Nisiwachoshe kuna hii article hapa chini kuhusu gharama ya renewables na umeme wa maji bado ni cheaper... as of 2017 nadhani hii 2021 hali haijabadilika sana


Sio kweli. Umeme hauzalishwi kwa njia moja tu. Diversification ni muhimu.
Shida ya Prof amesema bila kuwa na back up ya anavyosema. Ametudanganya
 
Leo nimeshituka kusikia maneno ya Professor Muongo (Mtaalamu wa Nishati) akisema umeme wa Maji sasa Umepitwa na wakati na Uchumi ni Umeme wa Gesi.

Huenda ni kweli ujenzi wa Hydro Electric Power Plant ukawa na gharama mwanzoni na sio kila nchi / sehemu inaweza ikawa na HEP sababu lazima kuwe na viable infrastructure.

Ila ni ukweli usiopingika kwamba umeme wa maji ni renewable (yaani unaweza ukazalishwa tena na tena na tena) Gesi unless otherwise ni Biogas basi uchimbaji wa gesi sio renewable... Nisiwachoshe kuna hii article hapa chini kuhusu gharama ya renewables na umeme wa maji bado ni cheaper... as of 2017 nadhani hii 2021 hali haijabadilika sana

Sisi wananchi tumekubali mnaomtukana JPM mtukaneni hadi hasira zenu za kunyimwa upigaji ziishe, mkimaliza uzeni SGR, simamisheni JKNHP, bomoeni sekondary zilizojengwa, bomoeni hospital za Wilaya na mikoa zilizojengwa, futeni elimu bure wazi walipe, vunjeni masoko yaliyojengwa, bomoeni stand zilizojengwa, Vunjeni radar tano zilizojengwa ktk viwanja vya ndege. Mkimaliza futeni mikopo ya wanafunzi vyuoni vikuu. Baada ya hapo vunjeni mshikamano ndani ya ccm.Halafu leteni wawekezaji muwakodishe migodi yote
 
Hivi Ethiopia na Misri ule mgogoro umeisha

Gesi tunayo Maji nayo bwelelee sasa nikuangali gharama za ujenzi na enviromental impact ya ya hiyo miradi miwili
Mgogoro huo hauwezi kuisha..., Nile ni lifeline ya Taifa la Misri, kuzuia maji / kuyapunguza yasifike huko ni kama kuwauwa..., Busara ingetumika Ethiopia kutafuta other sources ama sivyo Mgogoro huu una-potential ya kuendelea vizazi na vizazi
 
Kwa hiyo wewe profesa ulietetea wizi wa fedha za Escrow kwa nguvu nyingi mpaka ukatukana watu ni matumbili leo hii unapata wapi ujasiri wa kutuambia watanzania kuwa umeme maji unachelewa kuanza kuzaa faida na umepitwa na wakati?

Kwa hiyo huko Usa na China ambazo ni nchi zilizoendelea kwa kila namna wanapojenga Hydropower stations au kuendelea kutumia HEP kuzalisha umeme ni watu wasio na uelewa wa mambo?

Lini ilishawahi kutokea kupata nishati kama umeme ikawa ni fasheni ya kudai HEP imepitwa na wakati na sasa tutumie gas? Au unaleta dharau zako?

Hasira za wewe kufukuzwa uwaziri kisa tu ulishazoea kupiga madili makuwa hapo wizara ya nishati isiwe sababu ya kutuharibia mipango ya kukamilisha JNHPP. Kaaa kimya uendelee kutafuna posho za Escrow.
Lisukuma lenzangu linapayuka hovyo hovyo! Hujamwelewa professor alichomaanisha!
 
Prof Muhongo ni poyoyo!
Simkubali sana Magufuli kwa faulo alizo zifanya lakini kwa hili la umeme alilipatia vizuri.

Umeme siyo fashion.
Hydropower Dam ya Marekani iliyojengwa na kumalizika mwaka 1933 na mpaka leo linatoa umeme tena mdogo kidogo kuliko la Rufiji.
Hoover Dam 2080MW
La kwetu litakuwa 2115MW

Muhongo tunajua ana bifu na Magufuli asiliingize bifu kwenye umeme.

Prof anadanganya. Thermal plants including gas ones, are known for being expensive in maintaining them.
Hydro power plants initial cost is massive. Running cost is very cost effective.
Prof Muhongo au Prof Muongo? Muda utaongea
 
Sisi wananchi tumekubali mnaomtukana JPM mtukaneni hadi hasira zenu za kunyimwa upigaji ziishe, mkimaliza uzeni SGR, simamisheni JKNHP, bomoeni sekondary zilizojengwa, bomoeni hospital za Wilaya na mikoa zilizojengwa, furniture elimu bure, vunjeni masoko yaliyoengwa, bomoeni stand zilizojengwa, Vunjeni radar tano zilizojengwa ktk viwanja vya ndege. Mkimaliza futeni mikopo ya wanafunzi vyuoni vikuu. Baada ya hapo vunjeni mshikamano ndani ya ccm.Halafu leteni wawekezaji muwakodishe migodi yote
Tuvunje vitu tulivyojenga kwa kodi zetu ? Wewe jamaa wa wapi JPM alitoa percent ngapi kwenye mshahara wake kujenga hivi vitu ?

Tatizo la kutokushauriana na kuweka vitu wazi huenda ndio vinatufikisha hapa..., Huyu anajenga hiki, huyu akija anasema hakina tija..., huyu anapeleka miradi kibao kwao, sababu tu eti atazikwa huko... (Hakuna Miradi ya Mtu..., Kuna Miradi ya Watanzania)
 
Muhongo analeta mbwembwe na kujifanya anajua kila kitu ili mama ampe wizara
Aende kufanya udalali kama zamani...

Ni dalali mkubwa sana wa private investors..

Anazungumzia faida wakati wenzie tunazungumzia huduma

Huyu jamaa anamdalalia mtu auze gas power plant. Escrow hela zimeshakata
 
Kwa CV yake tu huyu Profesa, Uweledi wake, Uzoefu wake na Uwezo wake mkubwa wa Akili nakubaliana nae tena kwa 100% juu ya huu Mtazamo wake.

Ni Rais Mpumbavu tu pekee ndiyo hatotaka kufanya Kazi na Mtu very competent kama Profesa Muhongo ambaye hata Mataifa Makubwa na yaliyotuzidi kila Kitu hadi Akili walifanya nae Kazi na sasa wanamtumia pia kama Independent Consultant katika Masuala ya Madini na Jiolojia pia.

Majungu dhidi yake hayasaidii ni Upuuzi.
Nchi gani inafanya kazi na mhongo kama independent consultant? Labda Somalia ama South Sudan.

Muhongo ni msomi wa makaratasi tu hana kitu anachokijua.
 
Back
Top Bottom