ANAUPIGA MWINGI
JF-Expert Member
- Apr 14, 2022
- 389
- 757
Hii maada ni kubwa sana jaribu jukwaa la michezo kuna maada za kutetema kule ukashuke page 3Chawa pro-max
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii maada ni kubwa sana jaribu jukwaa la michezo kuna maada za kutetema kule ukashuke page 3Chawa pro-max
Wewe unajielewa? We ni mpuuzi kaka.wapuuzi wengine tuSidhan kama anaelewa alichoongea, Assad is empty headed
Utamkataa.Professa ndie alifaa kupewa Uwaziri wa Fedha.
Usisahau kua alikua CAG na pia sio mbunge.Professa ndie alifaa kupewa Uwaziri wa Fedha.
Huwa namwelewa sana huyu Profesa wa ukweli. Siyo yule Dr. wa mchongo wa uchumiAliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Tanzania (CAG), Profesa Mussa Assad amezungumzia suala la Tozo wakati akihojiwa katika kipindi cha Jahazi cha Clouds FM.
Profesa Mussa Assad amesema anaamini suala la Tozo lina hasara kubwa kuliko faida kwa Serikali.
Amesema “Kuna namna nyingine ya kupata fedha, mfano viongozi wanaotumia magari ya Serikali yenye gharama kubwa kwa shughuli za kiofisini na binafsi, hao ndio wanatakiwa kulipa kodi kwa kuwa wanapata faida ambazo si za kifedha.”
Ametoa mfano wanaotakiwa kukatwa kodi ni Mawaziri, Makatibu Wakuu, Wakurugenzi, wakuu wa mashirika ya Umma na kuwa kama wananunua magari iwe ya gharama ya chini kidogo ili nafuu iwe kwa Wananchi.
Mpumbavu huyo jamaa, ungempotezea tu, yeye ndio chawa sasa hivi anakuunga mkono tozo na siku serikali ikisitisha tozo atasifia na kudai serikali sikivu imesikia kilio cha wananchiHii maada ni kubwa sana jaribu jukwaa la michezo kuna maada za kutetema kule ukashuke page 3
Tatizo CCM mmesha logwa na huyu mnyiramba. Mchumi class one ya wizi. Hamuelewi. Subirini hadi awaletee tozo ya kulala na wake zenu ndipo mtajua hamjuiAssad ni chawa wa wananchi.
Wewe je!
Mwenge umepumbaza wooooteeeeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sijawahi kuona hata mara moja wazo la kusema mishahara ya mawaziri na wabunge ikatwe kodi halafu serikali ikasema italifanyia kazi hilo wazo, mara zote huwa linayeyuka kama barafu mchana wa jua kali.
Na ajabu zaidi, huwa hatokei mwanasiasa yeyote, kutoka upande wowote, anayekuwa tayari kuhakikisha analisimamia hilo wazo ili kuona linafanyiwa kazi na serikali, wote huwa kimya..
Hawa jamaa sio wenzetu, huwa tunadanganyika tu, sijui wanatumia madawa gani kutupumbaza.
Ntaliweka salaniProfessa ndie alifaa kupewa Uwaziri wa Fedha.
Ana hoja gani huyo. Anazeeka vibaya Sana.Kuna mijitu badala ya kujibu hoja zake, itakimbilia kumtukana na kumkejeli! Kisa tu ipo kwenye payroll ya Madelu.
Wewe mfia dini kwa kuwa ni ndugu yako katika Imani?Professa ndie alifaa kupewa Uwaziri wa Fedha.
Ma profesa wa majalalani Hawa ni rubbish,no one cares about them.Ngoja mla nguruwe aje The Sunk Cost Fallacy !!! Mshamba mkubwa