Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini yeye akiwa CAG kaacha jambo gani chanyaProfessa ndie alifaa kupewa Uwaziri wa Fedha.
Shame on you!Sidhan kama anaelewa alichoongea, Assad is empty headed
Iko haja Sana mtu huyu kupewa uwazir wa fedha tutafika mbali mnooProfessa ndie alifaa kupewa Uwaziri wa Fedha.
Haya mawazo yako tumeyasikiaVitambulisho vya machinga alikuwa anawatozo kina nani?
Wale wakurugenzi waliokuwa wananunua ma V8 ya mil.450 kwa kisingizio cha kukusanya mapato nk walikuwa wanatumia pesa za nani?
Mwisho,mtu Gani wa kijijini ana acconts za benki?
Tozo zimekuwepo mwaka uliopita na hakuna makelele ila walipogusa tozo za banks Kwa nyie majizi msiotaka kulipa Kodi na kufaidi jasho la maskini ndio mumekuja na upuuzi wa Sasa..
Nasema hivi huyu Rais anawadekeza na atavuna anachopanda..
Hakuna mlalahoi hata mmja yuko jf au Twitter bali humu mna watu wenye uwezo wa kulipa tozo na wengi wao wako mjini ila kwa sababu mumezoea kunyonya watu wa Vijijini na Wala hawana mtetezi mnajiona wa maana..
Mwendazake angesema kabisa kwamba majizi wa mjini ndio hawataki Kulipa tozo Ili nyie wa Vijijini mpate huduma na wangemuunga mkono na tozo mungelipa hata Kwa bakora.
mzee baba upo dunia hii hii au upo kuzimu?Sidhan kama anaelewa alichoongea, Assad is empty headed
Well hatujamuona baada ya kulamba asli ya Tabora.Iko haja Sana mtu huyu kupewa uwazir wa fedha tutafika mbali mnoo
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app