Profesa Mussa Assad: Hasara za Tozo ni kubwa kuliko faida zake, Mawaziri ndio wakatwe kodi

Professa nimeulewa ila kiukweli viongozi wa Tanzania 90% ni wapumbavu sana, hawana akili ya kutengeneza kesho ya wananchi, ukiwatazama ni watu wazima ila wengi hawana akili timamu, Tanzania inaharibiwa na viongozi wapumbavu kama akina Mwigulu na makundi yote ya hovyo yaliyopo madarakani.
 
Alipokuwa mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali angeyasema hayo ya wasteful spending on executive perks and luxury kwenye ripoti zake kwa maandishi!

Anatafuta cheo tu, anakumbusha Ikulu kwamba yupo mtaani hana kazi.
 
Kuamini wanasiasa ni kujilisha upepo

Sio wa chama tawala au wapinzani wote wanafanana kwenye kupigania maslahi yao

Kumbuka kwenye lile sakata lao bungeni kuhusu sitting allowance n.k yaani ilikuwa ngumu kumjua mpinzani na mtawala.
 
Duh [emoji849][emoji848]
 
Wanatunyonya sana, yule anayepata kingi haguswi, lakini anayepata kidogo ndio mzigo wa kodi na tozo upo juu yake, kweli kupigania haya mambo lazima wananchi wenyewe tuamke.
 

Hawa jamaa sio wenzetu, huwa tunadanganyika tu, sijui wanatumia madawa gani kutupumbaza.
Madawa? Yaani nguvu ya Dola unaita Dawa?
Kama 'Dola' yaani vyombo wanvyohodhi vikawa vinatetea Wananchi zaidi na kukabiliana na Rushwa na mengineyo mengi basi hizo tozo tungejua zinafnya nini.

Madhara yake yanapatikana mitandaoni na Nyumbani kwa Mwananchi anayejitutumua kila siku kulisha familia yake.

Sijui kwa nini hakumaliza nakusema tu wanaohusika 'Wajiuzulu' kuwatoza tozo haitoshi.
 
we kibwengo unahisi huo ni upuuzi? Ulitaka ashabikir unyonyaji wa kishamba na kitapeli namna hio?
Big nonsense,Mwenye kuwanyoosha wavivu kama nyie tumbili wa Dar Mwendazake aliweza na angekuwepo tozo mungelipa..

Sasa tuna Rais anataka kufurahisha wapuuzi kama nyie at the expense of poor people in Villages..

Nasemaga mara nyingi SSH anawachekea na kuwadekeza,hata pale Waziri wa Fedha akitoa Takwimu huwa mnabisha ndio maana Mwigulu anabakia peke yake japo ni maamuzi ya Baraza la Mawaziri na sheria ya Bunge.
 
DOMOTOZO lazima mdomo umemdondoka.

Mh. Ndugai, tunaanza lini Kampeni?
tunamhitaji professor Mussa Assard 2025 mimi mwenyewe nitamfuta na team yangu kumshauri akachukue form , mzee wetu amesimamia ukweli miaka yote ya utumishi wake , tunahitaji watu kama hawa with unquestionable integrity>>>.
 
Duh ngoja tusubiri Madelu aanze kulipa tozo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…