Profesa Mussa Assad: Hasara za Tozo ni kubwa kuliko faida zake, Mawaziri ndio wakatwe kodi

sijui kwa nini Mungu haingilii kati hili swala aise ?
 
Haya mawazo yako tumeyasikia

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Serikali waamue jmn walau Prado New Model tu...na Fortuner mbona ni gari nzuri tu

Ama Ford SUV

Waachane na V8 na jamii hizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…