Profesa Ndalichako aongoza viongozi na wananchi wa Dodoma kutoa heshima za mwisho kwa marehemu John Kijazi

Profesa Ndalichako aongoza viongozi na wananchi wa Dodoma kutoa heshima za mwisho kwa marehemu John Kijazi

Sijui katiba inasemaje; kwa hali hii, succession sijui itakuwaje.
 
Viongozi wa serikali na wananchi wa Dodoma wanatoa heshima za mwisho kumuaga marehemu John Kijazi chuo kikuu UDOM.

Prof Ndalichako ambaye ni waziri wa elimu ndio anaongoza watumishi na wananchi katika tukio hili.
Dr Kijazi rip atazikwa siku ya Jumamosi huko Korogwe Tanga.

Tukio hili liko mubashara TBC

Maendeleo hayana vyama!
Mke wa Eng. John Kijazi Naye amelazwa Muhimbili. Hataweza kumuaga mumewe. Tatizo la kupumua linasumbua sana
 
Poleni watanzania wenzangu
Pole kwa rais John Pombe Magufuli kwa kumpoteza msaidizi wake
Sio rahisi kwake Mungu aendelee kutupa imani, tuchukue tahadhari na kumwomba sana yeye
 
Viongozi wa serikali na wananchi wa Dodoma wanatoa heshima za mwisho kumuaga marehemu John Kijazi chuo kikuu UDOM.

Prof Ndalichako ambaye ni waziri wa elimu ndio anaongoza watumishi na wananchi katika tukio hili.
Dr Kijazi rip atazikwa siku ya Jumamosi huko Korogwe Tanga.

Tukio hili liko mubashara TBC

Maendeleo hayana vyama!
Vipi mbona kwenye orodha hiyo hakuna chairman?
 
Back
Top Bottom