Profesa Nonga: Vifaranga 62,730 kutoka Ubelgiji vilivyokamatwa JNIA vyote vimefia Airport

Wakati fulani, rafiki yangu alikwama kuingiza vifaranga vya samaki kwa muda, sijui kama aliweza. Deep down, tusipolinda vya kwetu vilivyopo tutajalia. Ila kama ni breed mpya sawa ije, lakini kama breed hiyo ipo ndani ya nchi kwa nini tuingize toka nje? Tutasema vilivyopo havitoshi, ni sawa, sasa nani mwenye wajibu wa kutafuta njia ili vitoshe kama siyo sisi wenyewe? maswali ni mengi mno, bahati mbaya wa kujibu hayupo.
 
Imagine kule Arusha kuna mwekezaji aliteketeza vifaranga vya kuku mwezi Jana December kwa kukosa soko. Hizi paradox zikoje na zinamhusu nani
 
Tujifunze kufata utaratibu

Tujifunze kupanga mambo yetu vizuri kabla ya kuanza utekelezaji.

Tujifunze pia kujua "utamaduni" wa taasisi na vyombo vyetu vya maamuzi.

Haya yanaweza kutusaidia KUYOKUOATA HASARA zinazoweza kuepukika.
Huo utaratibu ndo shida unaweza chukua mwaka kukamilisha utaratibu. Nikupe mfano mdogo tu. Nimelipia umeme tangu mwaka 2021 November. Hadi Sasa sijafungiwa. 2023. Hapo utaratibu uko wapi Sasa?
 
Huo utaratibu ndo shida unaweza chukua mwaka kukamilisha utaratibu. Nikupe mfano mdogo tu. Nimelipia umeme tangu mwaka 2021 November. Hadi Sasa sijafungiwa. 2023. Hapo utaratibu uko wapi Sasa?
Time wastage because of UTARATIBU na ndiyo maana matajiri walio wengi ni wale wenye Elimu ndogo kwa sababu UTARATIBU kwao ni kupoteza muda ndiyo maana wametoboa maisha,huyo anayeng'ang'ania utaratibu akistaafu ni miaka miwili tu amefilisika na utaratibu wake unaisha anaanza kuomba hela kwa wale aliokuwa anawanyanyasa.
 
Huo utaratibu ndo shida unaweza chukua mwaka kukamilisha utaratibu. Nikupe mfano mdogo tu. Nimelipia umeme tangu mwaka 2021 November. Hadi Sasa sijafungiwa. 2023. Hapo utaratibu uko wapi Sasa?
Huko ndo kabisa, nakumbuka miaka ile ilizaliwa kampuni fulani, Vishoka Tanzania Ltd.
 

Mbona kwenye picha ni kama babu wa Bumbuli
 

Havikuwa vya walamba asali na bila shaka ilihitajuka rushwa iliyoshiba. Hii nchi ngumu sana kwamba ikibidi wacha hata vifaranga vife.
 
Kosa la maafisa wa airport nini? Mlitaka waruhusu vifaranga viingie bila vibali? Yani mijitu inatanguliza vifaranga bila hata vibali,,alafu muje muwalaumu maafisa
Wewe una akili timamu kweli?Hivi kulikuwa hakuna namna nyingine ya huduma wakati wakisubiria utaratibu?Kwa nini havikurudishwa vilikotoka kama viliingia bila utaratibu?Ni mwehu yupi anaweza safirisha vifaranga from Belgium to Tanzania kwa njia isiyo halali kwenye Viwanja vya Ndege na Bandari kuna sheria zinazofanana?Acheni ujinga wa kutetea maovu,vifaranga nao ni viumbe wa Mungu.
 
wewe huna akili, unatangulizaje kitu huna kibali cha kuingiza? huo si upumbavu... kama una huruma na vifaranga mbona unavila wakiwa wakubwa. Nyambaf! ungeenda kuwalisha basi airport
 
Kosa la maafisa wa airport nini? Mlitaka waruhusu vifaranga viingie bila vibali? Yani mijitu inatanguliza vifaranga bila hata vibali,,alafu muje muwalaumu maafisa
Ni ujinga mtupu unaofanywa na watumishi wa Serikali. Mpaka siku Serikali itakapoamua kila sehemu kuajiri the best best, ndiyo matatizo kama haya yataisha.

Kuna watemdaji wa Serikali ambao ni wajinga kupindukia. Wanadhani Serikali kazi yake ni kuumiza wananchi. Wanashindwa kuelewa kuwa Serikali inatakiwa kuwa mwezeshaji.

Hao maofisa wa Serikali walitakiwa kujiuliza wafanye nini ili muingizaji vifaranga asiingie hasara lakini pia nchi iwe salama.

Wangeweza kuruhusu vifaranga kuingia wakapelrkwa shambani kwake kwa ysimamizi maalum. Na huko wawekwe karantini, na walindwe kwa gharama ya mwingizaji. Wapimwe kwa gharama ya mwingizaji. Wakionekana hawana tatizo, aendelee na ufugaji, lakini apigwe faini.

Lakini kwa upande mwingine ilitakiwa kuangalia kama aliomba kibali cha kuingiza, aliomba lini, kwa nini watoa vibali hawakutoa vibali. Na kama walishindwa kutoa vibali kwa sababu ya uzembe au kutengeneza mazingira ya rushwa, basi hao maofisa wa wizara ya kilimo, wafukuzwe kazi na kupoteza stahiki zao zote.
 
wewe huna akili, unatangulizaje kitu huna kibali cha kuingiza? huo si upumbavu... kama una huruma na vifaranga mbona unavila wakiwa wakubwa. Nyambaf! ungeenda kuwalisha basi airport
Wewe ni mmojawapo wa wapumbavu wenye vikwazo visivyo na tija tunapoongelea hayo hatuongei eti kwa sababu hatuna utaratibu bali kuna visheria vya hovyo hovyo hasa Wizara ya Kilimo.
 
yani wabongo mnajifanyaga mnajua mambo kwasababu ya Hindsight. Nchi ina sheria na maofisa lazima wafuate sheria. Hivi ingekua Marekani au nchi nyingine inayojielewa hao vifaranga wangechomwa kitambo, kwanza hao waBelgiji wasingehata thubutu kuwaweka kwenye ndege kabla vibali havijarudi
 
Ubarikiwe sana kwa ufafanuzi mzuri,Plan B inahitajika kwenye kazi yoyote inapotekea kuna mkwamo.
 
Wewe ni mmojawapo wa wapumbavu wenye vikwazo visivyo na tija tunapoongelea hayo hatuongei eti kwa sababu hatuna utaratibu bali kuna visheria vya hovyo hovyo hasa Wizara ya Kilimo.
na ww unajifanya unajua kwasababu yameshatokea.. Unatumaje vifaranga kwenye ndege bila kibali chochote, hiyo si dharau. Na huwezi jua pengine ndio kawaida yao, wanaingia bila vibali airport watu wanapiga rushwa maisha yaendelee, ni bahati unakuta siku hiyo kuna ki-system kilitumwa kichunguze kikakutana na huo ujinga
 
Kosa la maafisa wa airport nini? Mlitaka waruhusu vifaranga viingie bila vibali? Yani mijitu inatanguliza vifaranga bila hata vibali,,alafu muje muwalaumu maafisa
ndicho cha kushangaza na vingepita vikaja leta madhara ungesikia tena maofisa wa hovyo waondolewe.Tararatibu zipo wazi na siyo Tanzania tu na nje ya Tanzania huwezi ingiza bidhaa za nyama bila vibali hata kama ni nyama choma.Tumeshasikia sana mafua ya ndege sasa mlitaka mtu ajiletee tu vifaranga bila pewa kibali?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…