Najuta kuingia huu uzi wa huzuni kisha nikakutana na maboya kama haya dahMtaalam wa nuclear physics ya vitabuni tu. Maprofessor wa nuclear physics wapo Iran huko na North Korea. Hawa wa kwetu ni wa kutungia mitihani tu.
Amefundisha vijana wengi pale Mlimani na kuwarithisha maarifa yake kwa ajili ya vizazi vijavyo. Amefanya utafiti na kuandika mawazo yake katika majarida mbalimbali na vitabu ili viendelee kusomwa na wapenda maarifa. Hakuna mchango mkuu unaozidi huu. Apumzike salama prof [emoji1545][emoji1545][emoji1545]ukiondoa kuwa mwalimu wa chuo kikuu, jambo gani kubwa alilofanya marehemu katika fani hiyo ya nuclear physics ambalo limeacha alama kubwa kwa taifa la tanzania?
NB: RIP prof. msaki.
Huzuni inabaki palepale, lakini hiyo haiondoi ukweli kuwa wataalam wetu wa nuclear physics hawana applicability yoyote practically zaidi ya kuwa watu wa theory tu.Najuta kuingia huu uzi wa huzuni kisha nikakutana na maboya kama haya dah
RIP Le Professeur Physique NucléaireProf. Peter Msaki wa Nuclear physics amefariki dunia jana mchana.
Kwa wale waliopitia Physics department Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam wanamjua jinsi alivyokuwa nguli wa fani hiyo
Bageshi. Nuclear ni uwanja mpana sana na siyo kutengeneza mabomu peke yake. Ni uwanja unaogusa karibu nyanja zote kuanzia tiba, kilimo, teknolojia mbalimbali na hata uhifadhi wa vyakula. Ingekuwa ni kwa ajili ya mabomu peke yake basi wataalam wa fani hiyo wangekuwa tu kwenye nchi chache zenye uwezo wa kuunda hayo mabomu. Hapa umechemsha bageshi [emoji23][emoji23][emoji23]R.I.P. Tanzania hatujawahi hata tengeneza hata mabomu. Hatuna hata nuclear reactor moja. Too sad kumbe wataalam wa nuclear tunao. Sema hawaiaply.
Prof. Peter Msaki wa Nuclear physics amefariki dunia jana mchana.
Kwa wale waliopitia Physics department Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam wanamjua jinsi alivyokuwa nguli wa fani hiyo
Kama hujui jambo kaa kimya.We umekariri nyuklia no mabomu tu eti.Tanzania na nyuklia wapi na wapi, upotevu wa pesa na muda.
OhoooGabagambi,Msaki,Mbwete,Mbunda.......
Mwaka huu tu hiyo
Vijana wa chadema bure kabisa, mmekuwa ni utopolo kwa taifa. Wapumbavu kabisa nyieTanzania na nyuklia wapi na wapi, upotevu wa pesa na muda.
nyuklia ya kwenye vitabu mkuu, calculation za ajabu ajabu - mwisho wa siku pale UDASA Club kupata mbili tatu siku inapita.Tanzania na nyuklia wapi na wapi, upotevu wa pesa na muda.
Pole sana kiongozi. Uelewa wao mdogo sana.R.i.P professor Nguli. Mr. P.Msaki
Wasemehe Mangwini wote wasiojuha umuhimu wako na nuclear kwa Taifa🤔🤔🤔🤔
pole sana kun amanufaa gani ya hawa watu wa nyuklia nchii hii?
Kwani yesu ni mweupe? Tupe andikowe jamaa ndo unaaminigi yesu ni mweusi
Kusoma historian,kiswahili nk huongeza muda au sio mkuu.Ungejua watu waliosoma physics wanavyoiona dunia na ulimwengu wake usingekomenti pumba.hata kusoma physics ni kupoteza muda tu