Profesa Safari: Halima na wenzie wanapaswa kukamatwa kwa kuidharau Mahakama


Ingawa huyu ni professor wa sheria, amejiongoza vibaya. Mdee na wenzake wamekiuka amri gani ya mahakama hata wastahili kukamatwa?

Even if mahakama ingekuwa imetoa amri kwamba Mdee na wenzake waondolewe Bungeni, hiyo amri bado ingehitaji kukaziwa na mahakama na kisha kutekelezwa na mamlaka zinazohusika, ambazo sio Mdee na wenzake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…