badison
JF-Expert Member
- May 29, 2015
- 1,450
- 2,761
Mkuu mbona unamtisha mwamba! 😂😂angalia usije chafuka ww.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mbona unamtisha mwamba! 😂😂angalia usije chafuka ww.
Nyie si ndo wale wale kelele kibaoooo ila hakuna kitu, na huyu mama mnampigia kelele sababu amewazoesha, angekua magu hata kama angesaini mkataba wa kuuza watoto wako usingekuja kupiga kelele hapa.Unafikiria kizamani sana yaani Kijima!
Aangalie asije chafuka yy.Mkuu mbona unamtisha mwamba! 😂😂
Na wewe ni bepari? Unapenda siasa za kitajiri? Ila sio kudhulumu na kuiba ndio useme ni tajiri. That is crime!Shivji Mkomunisti huyo, anapenda siasa ya kimaskini.
Usipangie watu Cha kufanyaAcha uzwazwa mzee. Bora amani ya kijinga kuliko haki yenye fujo.
Watu million 60 huwezi kufanya decision ya kuwafurahisha wote.
Hujifunzi nchi zilizokimbilia kwenye machafuko sasa hvi zinaishije?
Narudia acha uzwazwa aisee.
Yaan mkataba ambao direct impact yake haimfikii hata mtoto wako ndio ufanye nchi iingie kwenye machafuko ambayo yataleta direct impact kwa watoto wako?, tumieni akili basi
Sawa sasa linganisha kipindi cha Jiwe na kipindi cha Maza wapi taifa linaingia hasara;?Mimi naeleweka, sijawahi kuungana na kundi la madhalinu wa sukuma gang
Hatuhitaji maamuzi ya kufurahisha watu 60m, tunahitaji maamuzi sahihi. Tulipofikia, machafuko tu ndio yatarejesha nchi hii kwenye mstari.Acha uzwazwa mzee. Bora amani ya kijinga kuliko haki yenye fujo.
Watu million 60 huwezi kufanya decision ya kuwafurahisha wote.
Hujifunzi nchi zilizokimbilia kwenye machafuko sasa hvi zinaishije?
Narudia acha uzwazwa aisee.
Yaan mkataba ambao direct impact yake haimfikii hata mtoto wako ndio ufanye nchi iingie kwenye machafuko ambayo yataleta direct impact kwa watoto wako?, tumieni akili basi
Wewe nae ni tahira,eti hauna direct impact unajua unachokiandika au unaandika ukiwa umelewa?Acha uzwazwa mzee. Bora amani ya kijinga kuliko haki yenye fujo.
Watu million 60 huwezi kufanya decision ya kuwafurahisha wote.
Hujifunzi nchi zilizokimbilia kwenye machafuko sasa hvi zinaishije?
Narudia acha uzwazwa aisee.
Yaan mkataba ambao direct impact yake haimfikii hata mtoto wako ndio ufanye nchi iingie kwenye machafuko ambayo yataleta direct impact kwa watoto wako?, tumieni akili basi
Utayajua saa hiyo yakitokea.We mkenya au mnyarwanda!?..machafuko yataisaidia vipi nchi!?..unayajua machafuko!?
Chini ya CCM hasa kipindi cha dhalimu sijawahi kuona nafuu.Sawa sasa linganisha kipindi cha Jiwe na kipindi cha Maza wapi taifa linaingia hasara;?
Be honest
Kuwa mkweli tu bro usimuone wivu marehemuChini ya CCM hasa kipindi cha dhalimu sijawahi kuona nafuu.
Tanzania kiongozi pekee alikuwa na uchungu na hii Nchi ni Nyerere tu,wengine wote Mwinyi,Kikwete,Makapa na Magufuli ni mafisadi na kipindi chao wote kumefanyika ufisadi wa kupindukia mwenye s.actor zote za uchumi.Sawa sasa linganisha kipindi cha Jiwe na kipindi cha Maza wapi taifa linaingia hasara;?
Be honest
Naona ushapewa fungu lako la bandari..ndio maana hajo nzito unajibu kiuwepesi kama mtu anayetoa ushuzi wa kuvimbiwa.Shivji ni professor wewe ni nani?choko wa zambarau weweShivji Mkomunisti huyo, anapenda siasa ya kimaskini.
Machafuko tu bro. Siku zote huwa nasema hapa bila kuumauma maneno.
Shivji Mkomunisti huyo, anapenda siasa ya kimaskini.
Halafu kuna Chalamila atakuja kupinga 😆😆😆😆Mkataba huu (wa bandari) unaegemea zaidi upande mmoja na pia hauna ukomo wa muda. Wajibu wote ni wajibu wa serikali ya Tanzania lakini haki zote ni haki za DP WORLD
Mkataba huu (wa uendelezaji wa bandari) ni mkataba kati ya nchi na nchi kuhusu uwekezaji, na mkataba unasema ni kuhusu ushirikiano wa kiuchumi lakini ukweli ni kwamba mkataba huu ni aina ya mikataba ya uwekezaji
Katika mkataba huu wa bandari kuna mambo mawili, jambo la kwanza, mkataba unahusu ushirikiano wa kiuchumi lakini sio ushirikiano wa kiujumla bali ni katika eneo la bandari za bahari na bandari za maziwa. Na jambo la pili ni kwamba mwekezaji ameshatambulika
Watu waliokuwa wanasema mkataba wa bandari ni wa miaka 100 hawakuwa wanamaanisha moja kwa moja ni miaka 100, walichomaanisha ni kuwa mkataba huu ni wa muda mrefu. Na ni kweli ni mkataba wa muda mrefu na utaisha pale ambapo mikataba yote ya miradi saba ya awamu ya kwanza itapokuwa imetekelezwa. Na kama kutakuwa na migongano au mifarakano, hadi itakapokuwa imetatuliwa.
Mkataba huu hauwezi kuvunjwa kwa sababu zozote zile hata kama tumevunja uhusiano wa kidiplomasia na U.A.E (Falme za Kiarabu)
Chanzo: Jambo Tv