Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuuzwa kwa waarabu ndio unafuu?Unauliza au unapigia jibu mstari?
Bora kujiiuza kwa "Waarabu" kuliko kujitembeza kwa Wazungu.Kujiuza kwa waarabu ndio utajiri?
Mbona wakati wa TICTS ya Mhindi alikuwa kimya?Tukiachana na ukominist wake,jibu hoja zake.
Sisi Chadema hatupendi Wakomunisti ndio walioiua Nchi hii.Tukiachana na ukominist wake,jibu hoja zake.
Nuksi tupu hao.madhalinu wa sukuma gang
Halafu yule bibi anadai kuwa eti ameziba masikioMkataba huu (wa bandari) unaegemea zaidi upande mmoja na pia hauna ukomo wa muda. Wajibu wote ni wajibu wa serikali ya Tanzania lakini haki zote ni haki za DP WORLD
View attachment 2671928
Mkataba huu (wa uendelezaji wa bandari) ni mkataba kati ya nchi na nchi kuhusu uwekezaji, na mkataba unasema ni kuhusu ushirikiano wa kiuchumi lakini ukweli ni kwamba mkataba huu ni aina ya mikataba ya uwekezaji
Katika mkataba huu wa bandari kuna mambo mawili, jambo la kwanza, mkataba unahusu ushirikiano wa kiuchumi lakini sio ushirikiano wa kiujumla bali ni katika eneo la bandari za bahari na bandari za maziwa. Na jambo la pili ni kwamba mwekezaji ameshatambulika
Watu waliokuwa wanasema mkataba wa bandari ni wa miaka 100 hawakuwa wanamaanisha moja kwa moja ni miaka 100, walichomaanisha ni kuwa mkataba huu ni wa muda mrefu. Na ni kweli ni mkataba wa muda mrefu na utaisha pale ambapo mikataba yote ya miradi saba ya awamu ya kwanza itapokuwa imetekelezwa. Na kama kutakuwa na migongano au mifarakano, hadi itakapokuwa imetatuliwa.
Mkataba huu hauwezi kuvunjwa kwa sababu zozote zile hata kama tumevunja uhusiano wa kidiplomasia na U.A.E (Falme za Kiarabu)
Chanzo: Jambo Tv
Walichosaini na kupitisha bungeni ni nini?Ila ule sio mkataba, bado hawajaingia mkataba baina ya TPA na DPW
Vyote amefanya mmojaBora kujiiuza kwa "Waarabu" kuliko kujitembeza kwa Wazungu.
Kafatilie wewe ndo mwenye shidaWalichosaini na kupitisha bungeni ni nini?
Nakuuliza wewe unaesema si mkataba, tetea hoja yako au piga kimyaKafatilie wewe ndo mwenye shida
Bandari ndo ishatoka hivyo, tafuteni hoja ingineNakuuliza wewe unaesema si mkataba, tetea hoja yako au piga kimya
Jibu hoja, au piga kimyaBandari ndo ishatoka hivyo, tafuteni hoja ingine
Usihalalishe Wizi wa Rasilimali za Tanganyika kwa logic za kijingaAcha uzwazwa mzee. Bora amani ya kijinga kuliko haki yenye fujo.
Watu million 60 huwezi kufanya decision ya kuwafurahisha wote.
Hujifunzi nchi zilizokimbilia kwenye machafuko sasa hvi zinaishije?
Narudia acha uzwazwa aisee.
Yaan mkataba ambao direct impact yake haimfikii hata mtoto wako ndio ufanye nchi iingie kwenye machafuko ambayo yataleta direct impact kwa watoto wako?, tumieni akili basi
Watanzania wanaopewa dhamana ya majadiliano na wageni lazima watuingize mkenge, wait wanavuta Chao,, msala Kwa raia wemaMkataba huu (wa bandari) unaegemea zaidi upande mmoja na pia hauna ukomo wa muda. Wajibu wote ni wajibu wa serikali ya Tanzania lakini haki zote ni haki za DP WORLD
View attachment 2671928
Mkataba huu (wa uendelezaji wa bandari) ni mkataba kati ya nchi na nchi kuhusu uwekezaji, na mkataba unasema ni kuhusu ushirikiano wa kiuchumi lakini ukweli ni kwamba mkataba huu ni aina ya mikataba ya uwekezaji
Katika mkataba huu wa bandari kuna mambo mawili, jambo la kwanza, mkataba unahusu ushirikiano wa kiuchumi lakini sio ushirikiano wa kiujumla bali ni katika eneo la bandari za bahari na bandari za maziwa. Na jambo la pili ni kwamba mwekezaji ameshatambulika
Watu waliokuwa wanasema mkataba wa bandari ni wa miaka 100 hawakuwa wanamaanisha moja kwa moja ni miaka 100, walichomaanisha ni kuwa mkataba huu ni wa muda mrefu. Na ni kweli ni mkataba wa muda mrefu na utaisha pale ambapo mikataba yote ya miradi saba ya awamu ya kwanza itapokuwa imetekelezwa. Na kama kutakuwa na migongano au mifarakano, hadi itakapokuwa imetatuliwa.
Mkataba huu hauwezi kuvunjwa kwa sababu zozote zile hata kama tumevunja uhusiano wa kidiplomasia na U.A.E (Falme za Kiarabu)
Chanzo: Jambo Tv
😬😬😬🤣 Duuh hi sio MCHEZO mkuu umeuliza kwa msisitizo wa hali ya juu taarifa zimfikie HANGAYA THE CHIEFKweli nimeamini huwezi mwelewesha shekh utamu wa nyama choma na bia. Hii serikali haielewi kuwa sisi watanzania ni maskini na sifa ya maskini ni kufatilia mali za urithi. Sasa nyie mnataka kuuza bandari alafu pesa mgawane nyie na vizazi vyenu vyote hapa duniani hata mkifa mna hamu ya kuwa reincarneted kwenye familia zenu ili muendelee kuwa matajiri ndiyo mana akifa mtu anazaliwa mtu kwenye familia zenu?