Profesa Shivji: Mkataba wa Bandari unaegamia zaidi upande mmoja na hauna ukomo wa muda. Hauwezi kuvunjwa kwa sababu zozote zile

Unafikiria kizamani sana yaani Kijima!
Nyie si ndo wale wale kelele kibaoooo ila hakuna kitu, na huyu mama mnampigia kelele sababu amewazoesha, angekua magu hata kama angesaini mkataba wa kuuza watoto wako usingekuja kupiga kelele hapa.

Mbona hamkuandamana sasa?

Mimi sishabikii chcht hapa, point ni hayo machafuko mnayowaza mkianzisha tunawazima nyinyi kwanza mkafanye machafuko kwa lucifer huko
 
Inawezekana kabisa timu yetu iliyohusika ikiwa pamoja na kocha mkuu na meneja wake hawakuwa na uelewa wa lugha iliyotumika kwenye terms za mkataba huu. Kifupi ni Magungo wa zama zetu maana Kuna terms ikiwemo hiyo ya kutokuvunja mkataba kwa namna yoyote iwayo ile, hata mtoto wa darasa la 5C angeshituka vinginevyo wanaosema bandari imeuzwa kwa wajomba Wana hoja ya msingi na wasikilizwe.
 
Nguzo yetu imara imeangukaa (inauma),
Shujaa wetu shupavu mbona amelalaa, aaah!!
Amefanya makubwa, yakuigwa ya mfano
Magu tunakulilia, twatamani urudi kidogoo,
Mungu kwanini umeruhusu mwamba wetu aende?
Tumebaki na ukiwa nafsi zimejawa kiiza....

Tutakukumbuka kwa mengi uliyoyafanya baba,
Tumebaki wakiwa ila umetuachia kilaza, Tanzania sio salama tena, Magufuli lala salama, mwendo umeumalizaa

Umetuachia kilaza,
Ngorongoro imeuzwaaa,
Tanzania yako baba bandari zimeuzwaa, baba nendaa.
 
Usipangie watu Cha kufanya
 
Hatuhitaji maamuzi ya kufurahisha watu 60m, tunahitaji maamuzi sahihi. Tulipofikia, machafuko tu ndio yatarejesha nchi hii kwenye mstari.
 
Wewe nae ni tahira,eti hauna direct impact unajua unachokiandika au unaandika ukiwa umelewa?
 
Sawa sasa linganisha kipindi cha Jiwe na kipindi cha Maza wapi taifa linaingia hasara;?
Be honest
Tanzania kiongozi pekee alikuwa na uchungu na hii Nchi ni Nyerere tu,wengine wote Mwinyi,Kikwete,Makapa na Magufuli ni mafisadi na kipindi chao wote kumefanyika ufisadi wa kupindukia mwenye s.actor zote za uchumi.

Ingawa Nyerere alikuwa mroho wa madaraka.
 
Halafu kuna Chalamila atakuja kupinga πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…