Profesa Shivji: Mkataba wa Bandari unaegamia zaidi upande mmoja na hauna ukomo wa muda. Hauwezi kuvunjwa kwa sababu zozote zile

Hata uki plead non est factim huutengui.
You are right, kwa sababu hiyo siyo contract agreement.

Hapo unaweza kutumia "consensus ad idem". Ambayo ipo wazi kabisa ibara nzima ya 20.
Pia refer ibara ya 5:4
 
Tulia we dogo muumini wa dhalimu.
Tatizo lako ndio hilo. Msema kweli na mpinga ufisadi unamhusisha na hayati JPM. Ukiulizwa kuweka ushahidi juu ya udhalimu utaweka hapa
 
Tatizo lako ndio hilo. Msema kweli na mpinga ufisadi unamhusisha na hayati JPM. Ukiulizwa kuweka ushahidi juu ya udhalimu utaweka hapa
Wala sio wa kutafuta, ni vile serikali hii ya CCM ina utamaduni wa kulinda uovu wa viongozi wake.
 
Poteleambali kama wewe huwez tuache ss tuandamane Kwa ajir ya vizazi vijavyo sio vya Sasa maana ss tushajichanganya Tyr
 
Watakuwa walipewa chao mapema.
 
CCM Wanambiwa ni jiko la kupikia watu wa kujitoa ufahamu hawaelewi
 
Prof kasema mimi nani nisiunge mkono
Ccm ni majangili wa mchana na usiku wa nchi yetu
Wametoka migodini,mbuga za wanyama sasa wapo kwenye bandari
Ili mradi kipatikane chochote cha kuuza na wao waambulie mgao au kupewa hisa waendelee kuneemeka vizazi na vizazi, ngozi nyeusi ni nyani aliyechangamka anachojali ni ubinafsi tu.
 
Nchi za wenzetu msingi wa elimu yao ya juu sio kukariri na kuelewa theories, bali wanataka uwe na uwezo wa ku evaluate mazingira and applying that knowledge.

Kwa kuwasikiliza hawa wanasheria wa Tanzania na kwa uelewa wangu wa kawaida kabisa (very average) kuhusu maswala ya magement ya biashara, finance, project management and law of contract. Hitimisho langu ni hili.

1. Nina uhakika wa asilimia zaidi ya 90 Tanzania hakuna chuo kinachofundisha shahada ya business law.

2. (i) Nina uhakika wanafunzi wa masomo ya business management awasomi module ya ‘project management’

(ii) Nina uhakika wanafunzi wa sheria awafundishwi module the law of contract wala business law.

(iii) Similarly module za tort, contract na business law ni mandatory kwenye masomo ya biashara nchi za wenzetu, Tanzania awafundishwi.

Hapo ndio tatizo lilipo hawa watu wanaosoma huo mkataba wanatafsiri literally without the background understanding to envision what those terms mean business.

Mfano uwezi kujua muda wa mkataba kwenye concession/lease agreement bila ya kuelewa thamani ya uwekezaji wa project husika, thamani ya kiwango utakachokuwa unakusanya kurudisha hela yako plus intrest ili upate faida, thamani ya ziada ya muda kwenye FDI kama extra incentive ya kuwekeza hela yako. Mpaka ujue hayo kwanza ndio unaweza panga muda.

Mkataba kuwa governed na sheria za Tanzania, na kutafsiriwa kwa sheria za U.K.
sheria za nchi ni implied terms unless kuwe na clause inayo circumvent sheria husika na kwenye huo mkataba ni dispute resolution tu na utaratibu umeelezwa.

Mengine yote ni subject to Tanzania laws. Whereas sheria za U.K. zitatumika kutafsiri mkataba mahakamani kivipi. U.K. kuna precedents(case laws) za kutosha since 1870 zilizo tafsiri different tests of a contract agreement. Sidhani kama utasoma contract law popote duniani bila ya kutumia hizo precedents kwenye kutafsiri mkataba.

Shida sio mkataba, shida ni uelewa.

Ni busara kuanza kufundisha hizo module vyuoni na kuanzisha hiyo shahada ya business law; nina imani chances are 99.9 hayo mambo hayafundishwi ndio msingi wa tatizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…