Utaua watu kwa hasira😀😀😀Watu kama kina Anna Tibaijuka, mpaka nashangaa, ikiwa huyo ndiye "profesa" wa chuo kikuu, hata English inamshinda kisawasawa, hao wanafunzi wakoje? Utumbo tu.
"If such are priests, God bless the congregation."
cc Mama Amon
Hapa umenena. Anza basiKwanza huu muungano fake uvunjwe haraka
uenda ndivyo ilivyoMmh...Sina hakika kama ile lugha ni rafiki kwako ?
Hoja please. Siyo umbeyaHuyo toka alipofinywa na Kikwete sakata la Ruge na Singa na Benki ya Kanisa, basi imekuwa nongwa, naona hajapata usingizi mnono siku nyingi sana.
Na sakata la bandari ndiyo limemuumiza kabisa, alikuwa na pesa zake nyingi kawekeza kwa mhaya mwenzake, Karamagi, aliyekuwa na shares TICTS.
Tunamfahamu huyo, hatupi shida.
Kwanini tusiandamane?Prof. Issa Shivji naye ana hisa Ticts?, Mzee Joseph Butibu naye ana hisa Tcts?, Mzee Joseph Sinde Warioba naye ana hisa TICTS?, Kadinali Pengo naye ana hisa TICTS?, Father Kitima naye ana hisa TICTS?, Dk. Nshala naye ana hisa?, Wakili Boniface Mwabukusi naye ana hisa?, Adam Malima naye ana hisa?, TLS, LHRC nao wana hisa?Askofu Mwamakula, Askofu Mwamalanga, Askofu Maxmilian Machumu Mwanamapinduzi wote wana HISA?
UONGOWaislam wameanza tena kuuwa watu kule Kibiti
Na wewe umewekeza wapi au ni udini firstHuyo toka alipofinywa na Kikwete sakata la Ruge na Singa na Benki ya Kanisa, basi imekuwa nongwa, naona hajapata usingizi mnono siku nyingi sana.
Na sakata la bandari ndiyo limemuumiza kabisa, alikuwa na pesa zake nyingi kawekeza kwa mhaya mwenzake, Karamagi, aliyekuwa na shares TICTS.
Tunamfahamu huyo, hatupi shida.
Sasa nimeelewa maumiv yako yapo wapi! Btw ulidandia usilolijua that's why. Machoko ni msemo ambao still hauondoi ujinga wako wa kuparamia kujib bila tafakar!!Hivi vimisemo vya sijui kuchezea koki utalowa hua ni vimisemo vya machoko.
Hujitambui. Mtu anaongea fact kuusaidia wewe na kizazi chako.Huyo toka alipofinywa na Kikwete sakata la Ruge na Singa na Benki ya Kanisa, basi imekuwa nongwa, naona hajapata usingizi mnono siku nyingi sana.
Na sakata la bandari ndiyo limemuumiza kabisa, alikuwa na pesa zake nyingi kawekeza kwa mhaya mwenzake, Karamagi, aliyekuwa na shares TICTS.
Tunamfahamu huyo, hatupi shida.
Hamjitambui. Mtu anaongea reality na fact mnaanza ubadili msg. Shida ya watanzania ndio hii wanalalamika mtu akitokea kusaidia mnamgeuia. Shida elimu yetu ya ukaririshwa. Hamna uwezo wa ku think na ku evaluate risk managment.Prof. Issa Shivji naye ana hisa Ticts?, Mzee Joseph Butibu naye ana hisa Tcts?, Mzee Joseph Sinde Warioba naye ana hisa TICTS?, Kadinali Pengo naye ana hisa TICTS?, Father Kitima naye ana hisa TICTS?, Dk. Nshala naye ana hisa?, Wakili Boniface Mwabukusi naye ana hisa?, Adam Malima naye ana hisa?, TLS, LHRC nao wana hisa?Askofu Mwamakula, Askofu Mwamalanga, Askofu Maxmilian Machumu Mwanamapinduzi wote wana HISA?
Kwani kanisa ndo lilitoa??Leo unalikana kanisa? Anna Tibaijuka hakuwekewa mamilioni kwenye benki ya kanisa? Akasema vihela vya mboga tu hivyo, wamepewa shule? Umesahau au ulikuwa bado unajinyea kwenye nepi?
cc Mama Amon
Isaya 35:8Isaya: 35:8
Rubbish.Sasa nimeelewa maumiv yako yapo wapi! Btw ulidandia usilolijua that's why. Machoko ni msemo ambao still hauondoi ujinga wako wa kuparamia kujib bila tafakar!!
Anna Tibaijuka alikuwa na hhoja ipi zaidi ya umbea na uongo?Hoja please. Siyo umbeya
Sasa benki ile inaendeshwa na nani kama siyo kanisa?Kwani kanisa ndo lilitoa??
Nipe fact moja aliyoiongea?Hujitambui. Mtu anaongea fact kuusaidia wewe na kizazi chako.
Kama kwa neno "udini" unamaanishaa Uislam, naam, hilo ni "first" kuliko chochote.Na wewe umewekeza wapi au ni udini first
Acha utoto kaka Bams. SSH anahudhuria mikutano ya IMF na EU mara nyingi tu na kwenye kingereza yupo vizuri kuliko mtangulizi wake.Faizafoxyutakuwa unamwonea. Kwanza siamini kama atakuwa ameelewa hata alichokisema. Kama hoja tu za akina Mwambukusi wanazozitoa kwa Kiswahili huwa haelewi, ataelewa hizo zilizotolewa kwa Kiingereza?
Huyu Fisadi anapoteza muda wake tu jamaa yake Karamagi naona kamtosa.lProfesa Tibaijuka alipeleka sakata la bandari kidunia
View attachment 2717356
Kwanini unamshambulia Mtu badala ya hoja yake?? Huo ni umasikini wa fikra.Huyo toka alipofinywa na Kikwete sakata la Ruge na Singa na Benki ya Kanisa, basi imekuwa nongwa, naona hajapata usingizi mnono siku nyingi sana.
Na sakata la bandari ndiyo limemuumiza kabisa, alikuwa na pesa zake nyingi kawekeza kwa mhaya mwenzake, Karamagi, aliyekuwa na shares TICTS.
Tunamfahamu huyo, hatupi shida.