FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Kajichokea huyo, alilobakiza ni uongo na ufataani tu., na yeye aonekane yumo.labda nayeye mhaini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kajichokea huyo, alilobakiza ni uongo na ufataani tu., na yeye aonekane yumo.labda nayeye mhaini.
Duu bado hajaogopa tu!Profesa Tibaijuka alipeleka sakata la bandari kidunia
View attachment 2717356
Mtu akimwaga ugali, wewe mwaga mboga - Lowasa.Ndo hoja zinavyojibiwa kwa charracter assassination?
Kuna tatizo kubwa kwenye huu mkataba kwa sababu serikali inatumia msuli kupambana na wakosoaji na hata nyie mnaooshi kwa bahasha za khaki mmeonesha namna ambavyo serikali isivyoweza kuwa na capacity ya kudadavua ama kujibu hoja za wanaopinga contents za mkataba huo mbovu
Kwa hivyo nani kamwaga ugali na kivipiMtu akimwaga ugali, wewe mwaga mboga - Lowasa.
Muulize Lowasaa.Kwa hivyo nani kamwaga ugali na kivipi
Tulipo ni kwasababu ya watu kama wewe!Sasa yeye kaongea hoja gani zaidi ya ujinga tu?
Inasikitisha sana, ikiwa huyo ndiyo msomi? Sishangai kwa watu kama huyo Tanzania kuwepo tulipo sasa.
Africa ndiyo kitovu au ghala la rasilmali pamoja na maliasili zote muhimu kwa ajili ya ustawi wa Dunia hii. Ni bara lililobarikiwa kuliko mabara mengine, tuseme hivyo. Kuna mzungu mmoja aliwahi sikika akisema, Africa is paradise!Profesa Tibaijuka alipeleka sakata la bandari kidunia
View attachment 2717356
Wewe jamaa vipi? Unajisikia kweli unavyosema na kuandika kutoka ndani ya moyo wako?Mkuu hivi huwa huna kazi ya kufanya? Kila muda lazima ukomment tena negative comments?
Watu kama kina Anna Tibaijuka, mpaka nashangaa, ikiwa huyo ndiye "profesa" wa chuo kikuu, hata English inamshinda kisawasawa, hao wanafunzi wakoje? Utumbo tu.Tulipo ni kwasababu ya watu kama wewe!
Love you mama Tibaijuka... Stay blessed dearProfesa Tibaijuka alipeleka sakata la bandari kidunia
View attachment 2717356
Serikali irejee sakata la escrow na waliopokea pesa wakiwa public servants wapate hakiProfesa Tibaijuka alipeleka sakata la bandari kidunia
View attachment 2717356
Hivi kuna mahali katika michango yako unakosa kuandika kanisa? Kweli nchi imeporomoka kwa muda mfupi. Samia umefanikiwa kuvunja vunja kabisa misingi ya utaifa letu. Machafuko yakija laana ikufuate kokote hata ukienda ujombani Oman,Huyo toka alipofinywa na Kikwete sakata la Ruge na Singa na Benki ya Kanisa, basi imekuwa nongwa, naona hajapata usingizi mnono siku nyingi sana.
Na sakata la bandari ndiyo limemuumiza kabisa, alikuwa na pesa zake nyingi kawekeza kwa mhaya mwenzake, Karamagi, aliyekuwa na shares TICTS.
Tunamfahamu huyo, hatupi shida.
Umeandika ujinga mtupu. Mwenzako anapinga kwa hoja we unaunga mkono kwa viroja! Tumia kichwa chako vemaHuyo toka alipofinywa na Kikwete sakata la Ruge na Singa na Benki ya Kanisa, basi imekuwa nongwa, naona hajapata usingizi mnono siku nyingi sana.
Na sakata la bandari ndiyo limemuumiza kabisa, alikuwa na pesa zake nyingi kawekeza kwa mhaya mwenzake, Karamagi, aliyekuwa na shares TICTS.
Tunamfahamu huyo, hatupi shida.
Wakati huo wakibeba magunia incharge alikuwa nani?huyo mwizi naye haoni aibu kunyanyua kinywa chake, anfikir tumesahau walivyobeba pesa kwa magunia kutoka Mkombozi bank. Akae kimya huyo fisadi
Akija kujibu hii hoja uniambie 😂Prof. Issa Shivji naye ana hisa Ticts?, Mzee Joseph Butibu naye ana hisa Tcts?, Mzee Joseph Sinde Warioba naye ana hisa TICTS?, Kadinali Pengo naye ana hisa TICTS?, Father Kitima naye ana hisa TICTS?, Dk. Nshala naye ana hisa?, Wakili Boniface Mwabukusi naye ana hisa?, Adam Malima naye ana hisa?, TLS, LHRC nao wana hisa?Askofu Mwamakula, Askofu Mwamalanga, Askofu Maxmilian Machumu Mwanamapinduzi wote wana HISA?
Mmh...Sina hakika kama ile lugha ni rafiki kwako ?Ukisikiliza mahojiano utaona kabisa ni kama mwandishi anadhani Tibaijuka hajui anachopinga? Anampiga maswali kama anashangaa kwa nini mnakataa huyu mwekezaji maana hata mambo anayoongea Tibaijuka yanaonekana kama hayana logic?
Acha kudeal na mambo personal .hiyo tabia huwa ya mange kimambi .Jibu hoja alizoweka mezani .hayo ya yy na ruge anzisha uzi wakoHuyo toka alipofinywa na Kikwete sakata la Ruge na Singa na Benki ya Kanisa, basi imekuwa nongwa, naona hajapata usingizi mnono siku nyingi sana.
Na sakata la bandari ndiyo limemuumiza kabisa, alikuwa na pesa zake nyingi kawekeza kwa mhaya mwenzake, Karamagi, aliyekuwa na shares TICTS.
Tunamfahamu huyo, hatupi shida.
Siku zote waandishi wanaojua kazi zao Ili kupata content nilazima wa ulize maswali ,sasa huyu jamaa kazoea waandishi njaa wa hapa home ko lazima impe shida 🤣🤣🤣umeongopa hapa mzee........huu ni uongo huyu muhaya ana hoja mpinge kwa hoja sio kumshushua anza na hapo timeles contract na piah kwanini watake kucontrol bandar zote za bahar na maziwa🤣😅😇....
Ushaanza zogo.Muulize Lowasaa.
Katiba si iandike uitakayo, ulikatazwa?
Unaandikia mate na wino upo. Ajabu.