Profesa Tibaijuka alipeleka Sakata la Bandari duniani

Jadila hoja, siyo mtu
 
Dada tulikumiss kipindi cha Mwamba!
 
Alaaaah, kumbe nae alikuwa shareholder, sio!
 
Kumbe na wewe umekaona hako kajamaa mkuu,

Haka kajamaa bila shaka ni kapigaji kule maji chumvi,kanaona DPW wakija katakosa kupiga,kanahangaika na vicomment vyake,hakajui kua vicomment vyake havina impact yeyote kwenye issue ya DPW.

Halafu unaweza kukuta ni mtu mzima tena na anafamillia inayomtegemea,unatarajia hapo watoto wake wako na tabia gani.
 
Umefanya vizuri kuweka picha, ila siku nyingine ongezea maandishi
 
Ebo,kumbe Tena!

Duu Sikudhani km Samia yupo na mambo ya ajabu km hivi

Na Dunia ijue Mali ya ukoo haiuzwi au kubinafsishwa na mtu mmoja bila ridhaa ya Wana ukoo wote.

Kununua Mali ya ukoo, ni kuokota pesa ya majini ilotegwa njia panda.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…