Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini zile pesa si Kikwete alihalalisha akasema siyo za Umma, na yeye akagawiwa?Sasa benki ile inaendeshwa na nani kama siyo kanisa?
Huyu naye wa vijisenti vya mbogaProfesa Tibaijuka alipeleka sakata la bandari kidunia
View attachment 2717356
Jadila hoja, siyo mtuHuyo toka alipofinywa na Kikwete sakata la Ruge na Singa na Benki ya Kanisa, basi imekuwa nongwa, naona hajapata usingizi mnono siku nyingi sana.
Na sakata la bandari ndiyo limemuumiza kabisa, alikuwa na pesa zake nyingi kawekeza kwa mhaya mwenzake, Karamagi, aliyekuwa na shares TICTS.
Tunamfahamu huyo, hatupi shida.
Nimeliona, linaongea mpaka meno ya kubandika yanacheza cheza.
Nahisi sasa umechanganyikiwa!Watu kama kina Anna Tibaijuka, mpaka nashangaa, ikiwa huyo ndiye "profesa" wa chuo kikuu, hata English inamshinda kisawasawa, hao wanafunzi wakoje? Utumbo tu.
"If such are priests, God bless the congregation."
cc Mama Amon
Dada tulikumiss kipindi cha Mwamba!Huyo toka alipofinywa na Kikwete sakata la Ruge na Singa na Benki ya Kanisa, basi imekuwa nongwa, naona hajapata usingizi mnono siku nyingi sana.
Na sakata la bandari ndiyo limemuumiza kabisa, alikuwa na pesa zake nyingi kawekeza kwa mhaya mwenzake, Karamagi, aliyekuwa na shares TICTS.
Tunamfahamu huyo, hatupi shida.
Alaaaah, kumbe nae alikuwa shareholder, sio!Huyo toka alipofinywa na Kikwete sakata la Ruge na Singa na Benki ya Kanisa, basi imekuwa nongwa, naona hajapata usingizi mnono siku nyingi sana.
Na sakata la bandari ndiyo limemuumiza kabisa, alikuwa na pesa zake nyingi kawekeza kwa mhaya mwenzake, Karamagi, aliyekuwa na shares TICTS.
Tunamfahamu huyo, hatupi shida.
Huyo kama kachanganyikiwa.
Wewe comment positive, ok?
Au nimekuzuia?!
wewe unafanya nini hapa? nyani hilo halioni kundule
Kumbe na wewe umekaona hako kajamaa mkuu,
Haka kajamaa bila shaka ni kapigaji kule maji chumvi,kanaona DPW wakija katakosa kupiga,kanahangaika na vicomment vyake,hakajui kua vicomment vyake havina impact yeyote kwenye issue ya DPW.
Huyo bibi sijamsahau kwenye wizi, naona ana share pale TICTS ndo maana anapinga.Profesa Tibaijuka alipeleka sakata la bandari kidunia
View attachment 2717356
CProfesa Tibaijuka alipeleka sakata la bandari kidunia
View attachment 2717356
Ebo,kumbe Tena!
Duu Sikudhani km Samia yupo na mambo ya ajabu km hivi
Na Dunia ijue Mali ya ukoo haiuzwi au kubinafsishwa na mtu mmoja bila ridhaa ya Wana ukoo wote.
Kununua Mali ya ukoo, ni kuokota pesa ya majini ilotegwa njia panda.
Samia lazima atambue watanganyika wamegoma kugeuzwa watumwa ndani ya nchi yao, hata kama wakitumia jeshi la polisi kutulazimisha, the fact is very simple and clear, tumegoma.
Karne hii ya sasa kitendo chochote cha kuwafunga watu midomo kinakuonesha vile ulivyo mjinga, utafanikiwa vipi?
Tuna wasomi wa kila aina, tena wanaokuuliza maswali ya ujinga wako mpaka unashindwa kuwajibu, heshima tuliyonayo sharti tuilinde siku zote, tukiichezea tukaipoteza asilaumiwe mtu kwa ujinga wa mwingine, imeandikwa kila mmoja ataubeba msalaba wake.