Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Profesa Tibaijuka alipeleka sakata la bandari kidunia
Shomile kama shomile with Big Brains
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Profesa Tibaijuka alipeleka sakata la bandari kidunia
Hii ni vita kati ya wasomi na wasiosomaDunia ipi, hii hii ya Wasaka tonge [emoji848]
Profesa Tibaijuka alipeleka sakata la bandari kidunia
Kati ya Wahaya, Wakatoliki/ Wakristo na Wanyakyusa, ni nani unawachukia zaidi?Huyo toka alipofinywa na Kikwete sakata la Ruge na Singa na Beni ya Kanisa, basi imekuwa nongwa, naona hajapata usingizi mnono siku nyingi sana.
Na sakata la bandari ndiyo limemuumiza kabisa, alikuwa na pesa zake nyingi kawekea kwa mhaya mwenzake, Karamagi, aliyekuwa na shares TICTS.
Tunamfahamu huyo, hatupi shida.
Profesa Tibaijuka alipeleka sakata la bandari kidunia
Wenye akili hawana mamlakaProfesa Tibaijuka alipeleka sakata la bandari kidunia
News zimeenda viral.. Hii itasaidia sana wote waliokamatwa na watakaokamatwa wasidhuriweSamia lazima atambue watanganyika wamegoma kugeuzwa watumwa ndani ya nchi yao, hata kama wakitumia jeshi la polisi kutulazimisha, the fact is very simple and clear, tumegoma.
Karne hii ya sasa kitendo chochote cha kuwafunga watu midomo kinakuonesha vile ulivyo mjinga, utafanikiwa vipi?
Tuna wasomi wa kila aina, tena wanaokuuliza maswali ya ujinga wako mpaka unashindwa kuwajibu, heshima tuliyonayo sharti tuilinde siku zote, tukiichezea tukaipoteza asilaumiwe mtu kwa ujinga wa mwingine, imeandikwa kila mmoja ataubeba msalaba wake.
Hii siyo hoja Bali ni umbeyaHuyo toka alipofinywa na Kikwete sakata la Ruge na Singa na Beni ya Kanisa, basi imekuwa nongwa, naona hajapata usingizi mnono siku nyingi sana.
Na sakata la bandari ndiyo limemuumiza kabisa, alikuwa na pesa zake nyingi kawekea kwa mhaya mwenzake, Karamagi, aliyekuwa na shares TICTS.
Tunamfahamu huyo, hatupi shida.
Waislam wameanza tena kuuwa watu kule KibitiHuyo toka alipofinywa na Kikwete sakata la Ruge na Singa na Beni ya Kanisa, basi imekuwa nongwa, naona hajapata usingizi mnono siku nyingi sana.
Na sakata la bandari ndiyo limemuumiza kabisa, alikuwa na pesa zake nyingi kawekea kwa mhaya mwenzake, Karamagi, aliyekuwa na shares TICTS.
Tunamfahamu huyo, hatupi shida.
Hahhaa hataki wapumue kabisaTibaijuka kaamua kukomaa na Waarabu wa Dubei!
Ndio imeshafika huko sasa. Mtajua wenyewe.Ukisikiliza mahijiano utaona kabisa ni kama mwandishi anadhani Tibaijuka hajui anachopinga? Anampiga maswali kama anashangaa kwa nini mnakataa huyu mwekezaji maana hata mambo anayoongea Tibaijuka yanaonekana kama hayana logic?
Profesa Tibaijuka alipeleka sakata la bandari kidunia
nadhani watanganyika walio je ya tanzania particulaly wester world ndio wa ku take lead katika mapambano haya maana hapa kila mmoja atakamatwa/kuuawa/kutekwa/kupoteza and the like!Samia lazima atambue watanganyika wamegoma kugeuzwa watumwa ndani ya nchi yao, hata kama wakitumia jeshi la polisi kutulazimisha, the fact is very simple and clear, tumegoma.
Karne hii ya sasa kitendo chochote cha kuwafunga watu midomo kinakuonesha vile ulivyo mjinga, utafanikiwa vipi?
Tuna wasomi wa kila aina, tena wanaokuuliza maswali ya ujinga wako mpaka unashindwa kuwajibu, heshima tuliyonayo sharti tuilinde siku zote, tukiichezea tukaipoteza asilaumiwe mtu kwa ujinga wa mwingine, imeandikwa kila mmoja ataubeba msalaba wake.
Profesa Tibaijuka alipeleka sakata la bandari kidunia