wewe unafanya nini hapa? nyani hilo halioni kunduleMkuu hivi huwa huna kazi ya kufanya? Kila muda lazima ukomment tena negative comments?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe unafanya nini hapa? nyani hilo halioni kunduleMkuu hivi huwa huna kazi ya kufanya? Kila muda lazima ukomment tena negative comments?
Mtumishi hauna neno la faraja babaNa Dunia ijue Mali ya ukoo haiuzwi au kubinafsishwa na mtu mmoja bila ridhaa ya Wana ukoo wote.
Shujaa faraja ya nini!!!Mtumishi hauna neno la faraja baba
Positive cement weka wewe,yeye kazi take ni kuandika negative comments, unamfundisha namna ya kufikiri!?Mkuu hivi huwa huna kazi ya kufanya? Kila muda lazima ukomment tena negative comments?
umeongopa hapa mzee........huu ni uongo huyu muhaya ana hoja mpinge kwa hoja sio kumshushua anza na hapo timeles contract na piah kwanini watake kucontrol bandar zote za bahar na maziwa🤣😅😇....Ukisikiliza mahojiano utaona kabisa ni kama mwandishi anadhani Tibaijuka hajui anachopinga? Anampiga maswali kama anashangaa kwa nini mnakataa huyu mwekezaji maana hata mambo anayoongea Tibaijuka yanaonekana kama hayana logic?
Sasa yeye kaongea hoja gani zaidi ya ujinga tu?Hii siyo hoja Bali ni umbeya
Jikite kwenye hoja [emoji41]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Maslahi yake yameguswa lazima apambane,afrika wanasiasa wote wanapambania nafsi zao si wa upinzani wala wanaongoza nchihuyo mwizi naye haoni aibu kunyanyua kinywa chake, anfikir tumesahau walivyobeba pesa kwa magunia kutoka Mkombozi bank. Akae kimya huyo fisadi
Huo ndio uandishiUkisikiliza mahojiano utaona kabisa ni kama mwandishi anadhani Tibaijuka hajui anachopinga? Anampiga maswali kama anashangaa kwa nini mnakataa huyu mwekezaji maana hata mambo anayoongea Tibaijuka yanaonekana kama hayana logic?
Deal na content ya alichokisema!Huyo toka alipofinywa na Kikwete sakata la Ruge na Singa na Beni ya Kanisa, basi imekuwa nongwa, naona hajapata usingizi mnono siku nyingi sana.
Na sakata la bandari ndiyo limemuumiza kabisa, alikuwa na pesa zake nyingi kawekea kwa mhaya mwenzake, Karamagi, aliyekuwa na shares TICTS.
Tunamfahamu huyo, hatupi shida.
Tunapopita Mungu ameamuru tupite au huoni au unataka kuziba masikio mtumwa wa kristo ndimi CIA mgumuShujaa faraja ya nini!!!
Kakisema nini zaidi ya utumbo tu? Anaongelea mkataba wa uwekezaji, kuna mkataba wa uwekezaji tayari? Uko wapi?Deal na content ya alichokisema!
Sasa kwa wenye akili wanamshangaa. Iga imesema kutakuwa na HGA kuhusu huo uwekezaji alafu unasema IGA iwe na timeliness?? Huo ni uzuzuumeongopa hapa mzee........huu ni uongo huyu muhaya ana hoja mpinge kwa hoja sio kumshushua anza na hapo timeles contract na piah kwanini watake kucontrol bandar zote za bahar na maziwa🤣😅😇....
kwann wanataka kucontrol bandar zote za sehemu za pwani ya bahari na maziwa ??Sasa kwa wenye akili wanamshangaa. Iga imesema kutakuwa na HGA kuhusu huo uwekezaji alafu unasema IGA iwe na timeliness?? Huo ni uzuzu
Noted🙏🙏Tunapopita Mungu ameamuru tupite au huoni au unataka kuziba masikio mtumwa wa kristo ndimi CIA mgumu
Hizo ni assumptions na hofu zako tukwann wanataka kucontrol bandar zote za sehemu za pwani ya bahari na maziwa ??