Profesa Tibaijuka alipeleka Sakata la Bandari duniani

Profesa Tibaijuka alipeleka Sakata la Bandari duniani

Duu Sikudhani km samia yupo na mambo ya ajabu km hivi
Wewe jinsi ulivyoandikwa unaonesha wazi hata kilichoongewa kimekupiga chenga. Soma kijana, lugha za watu hizo.

Tibaijukwa mwenyewe bomu kwenye Kingereza anazichanganya R na L vibaya sana.
 
Huyo toka alipofinywa na Kikwete sakata la Ruge na Singa na Benki ya Kanisa, basi imekuwa nongwa, naona hajapata usingizi mnono siku nyingi sana.


Na sakata la bandari ndiyo limemuumiza kabisa, alikuwa na pesa zake nyingi kawekeza kwa mhaya mwenzake, Karamagi, aliyekuwa na shares TICTS.

Tunamfahamu huyo, hatupi shida.
Jihadist kwann usijibu hoja? Halaf achana na mamb ya kanisa!! Yaan wee kokoo ni mdini san.
 
Kakisema nini zaidi ya utumbo tu? Anaongelea mkataba wa uwekezaji, kuna mkataba wa uwekezaji tayari? Uko wapi?

Amekaa anadanganya tu. Jiulize kwanini adanganye? Huyo mama mmesahau uongo wake? Alitiliwa mamilioni kwenye akaunti yake na habinder singh, akadanganya haya ya shule. Shule haina akaunti?

Kikwete akamfinya kiduchu, akamwambia mama usijiaibishe zaidi ni heri ukae kimya. Mwamba alivyokuwepo alikuwa kimya kaufyata, sasa anaona kapata pa kupumulia anaanza tena kuongea utumbo.
Pesa zilizotolewa pale STANBIC zikiwa ndani ya sandarusi watanzania wanajifanya kuzisahau.
 
Huyo toka alipofinywa na Kikwete sakata la Ruge na Singa na Benki ya Kanisa, basi imekuwa nongwa, naona hajapata usingizi mnono siku nyingi sana.


Na sakata la bandari ndiyo limemuumiza kabisa, alikuwa na pesa zake nyingi kawekeza kwa mhaya mwenzake, Karamagi, aliyekuwa na shares TICTS.

Tunamfahamu huyo, hatupi shida.
Ya kweli haya?
Kulikuwa na haja gani ya kutaja kabila lake
 
Jibu hoja za Prof Tibaijuka, wacha makelele yako yasiyo na maana yaliyochanganyika na hasira.

Kabila lake wala pesa zake havimzuii Prof. Tibaijuka kutoa maoni yake, kama dada yako alijidai kuziba masikio hataki kusikia, mwambie sasa dunia yote itasikilizishwa ule ujinga aliotufanyia.

Mambo ya hajapata usingizi muda mrefu sana, kwani wewe ni HG wake?
Faizafoxyutakuwa unamwonea. Kwanza siamini kama atakuwa ameelewa hata alichokisema. Kama hoja tu za akina Mwambukusi wanazozitoa kwa Kiswahili huwa haelewi, ataelewa hizo zilizotolewa kwa Kiingereza?
 
Huyo toka alipofinywa na Kikwete sakata la Ruge na Singa na Benki ya Kanisa, basi imekuwa nongwa, naona hajapata usingizi mnono siku nyingi sana.


Na sakata la bandari ndiyo limemuumiza kabisa, alikuwa na pesa zake nyingi kawekeza kwa mhaya mwenzake, Karamagi, aliyekuwa na shares TICTS.

Tunamfahamu huyo, hatupi shida.

Jibu hoja ,acha ku-attack mtu..........Kama ana hisa TICTS mbona Karamagi alikuja ku-support mkataba mbovu wa bandari?
 
Jibu hoja za Prof Tibaijuka, wacha makelele yako yasiyo na maana yaliyochanganyika na hasira.

Kabila lake wala pesa zake havimzuii Prof. Tibaijuka kutoa maoni yake, kama dada yako alijidai kuziba masikio hataki kusikia, mwambie sasa dunia yote itasikilizishwa ule ujinga aliotufanyia.

Mambo ya hajapata usingizi muda mrefu sana, kwani wewe ni HG wake?
We hauko sawa.
Bandari yakuuma sana ati!
Yakuhusu nini wewe!!
 
Mkuu hivi huwa huna kazi ya kufanya? Kila muda lazima ukomment tena negative comments?
Kumbe na wewe umekaona hako kajamaa mkuu,

Haka kajamaa bila shaka ni kapigaji kule maji chumvi,kanaona DPW wakija katakosa kupiga,kanahangaika na vicomment vyake,hakajui kua vicomment vyake havina impact yeyote kwenye issue ya DPW.
 
Back
Top Bottom