Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 19,484
- 38,416
Sasa China ni duniani? Au haujui kama China na ccm ni mtu na binamu yake? Mwagito unakwama wapi?Profesa Tibaijuka alipeleka sakata la bandari kidunia
View attachment 2717356
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa China ni duniani? Au haujui kama China na ccm ni mtu na binamu yake? Mwagito unakwama wapi?Profesa Tibaijuka alipeleka sakata la bandari kidunia
View attachment 2717356
Wewe jinsi ulivyoandikwa unaonesha wazi hata kilichoongewa kimekupiga chenga. Soma kijana, lugha za watu hizo.Duu Sikudhani km samia yupo na mambo ya ajabu km hivi
Huyu nae zamu yake yajaProfesa Tibaijuka alipeleka sakata la bandari kidunia
View attachment 2717356
Jihadist kwann usijibu hoja? Halaf achana na mamb ya kanisa!! Yaan wee kokoo ni mdini san.Huyo toka alipofinywa na Kikwete sakata la Ruge na Singa na Benki ya Kanisa, basi imekuwa nongwa, naona hajapata usingizi mnono siku nyingi sana.
Na sakata la bandari ndiyo limemuumiza kabisa, alikuwa na pesa zake nyingi kawekeza kwa mhaya mwenzake, Karamagi, aliyekuwa na shares TICTS.
Tunamfahamu huyo, hatupi shida.
Tena huyo ndiye ala huna haja ya kunikumbusha.Muogope Allah dadangu!!!
Leo unalikana kanisa? Anna Tibaijuka hakuwekewa mamilioni kwenye benki ya kanisa? Akasema vihela vya mboga tu hivyo, wamepewa shule? Umesahau au ulikuwa bado unajinyea kwenye nepi?Jihadist kwann usijibu hoja? Halaf achana na mamb ya kanisa!! Yaan wee kokoo ni mdini san.
Pesa zilizotolewa pale STANBIC zikiwa ndani ya sandarusi watanzania wanajifanya kuzisahau.Kakisema nini zaidi ya utumbo tu? Anaongelea mkataba wa uwekezaji, kuna mkataba wa uwekezaji tayari? Uko wapi?
Amekaa anadanganya tu. Jiulize kwanini adanganye? Huyo mama mmesahau uongo wake? Alitiliwa mamilioni kwenye akaunti yake na habinder singh, akadanganya haya ya shule. Shule haina akaunti?
Kikwete akamfinya kiduchu, akamwambia mama usijiaibishe zaidi ni heri ukae kimya. Mwamba alivyokuwepo alikuwa kimya kaufyata, sasa anaona kapata pa kupumulia anaanza tena kuongea utumbo.
Huyo bora angekuwa afghanistan huko ambako kazi ya mwanamke ni kuzaa tu hata sokoni,shule haendi na kujibizana na wanaume hasa ukiwa bibi marufuku.Jihadist kwann usijibu hoja? Halaf achana na mamb ya kanisa!! Yaan wee kokoo ni mdini san.
Shehe Ponda: Kamwe hatutakubali Watoto wetu wafundishwe Somo la Dini ya Kiislamu na Serikali!Hivi mnaelewa kilichoongewa hapo au mnakurupuka tu?
Swa kabisa, serikali si haina dini, sasa vipi itafundisha Waislam?Shehe Ponda: Kamwe hatutakubali Watoto wetu wafundishwe Somo la Dini ya Kiislamu na Serikali!
Ya kweli haya?Huyo toka alipofinywa na Kikwete sakata la Ruge na Singa na Benki ya Kanisa, basi imekuwa nongwa, naona hajapata usingizi mnono siku nyingi sana.
Na sakata la bandari ndiyo limemuumiza kabisa, alikuwa na pesa zake nyingi kawekeza kwa mhaya mwenzake, Karamagi, aliyekuwa na shares TICTS.
Tunamfahamu huyo, hatupi shida.
[emoji1787]Huyu Profesa Anne Tibaijuka ndiye angefaa kuwa Rais wetu! She has vision .
Watu ambao wangekuwa waimba taarabu na akina Hadija Kopa ndio wanatuongoza!
Life is not fair.
Faizafoxyutakuwa unamwonea. Kwanza siamini kama atakuwa ameelewa hata alichokisema. Kama hoja tu za akina Mwambukusi wanazozitoa kwa Kiswahili huwa haelewi, ataelewa hizo zilizotolewa kwa Kiingereza?Jibu hoja za Prof Tibaijuka, wacha makelele yako yasiyo na maana yaliyochanganyika na hasira.
Kabila lake wala pesa zake havimzuii Prof. Tibaijuka kutoa maoni yake, kama dada yako alijidai kuziba masikio hataki kusikia, mwambie sasa dunia yote itasikilizishwa ule ujinga aliotufanyia.
Mambo ya hajapata usingizi muda mrefu sana, kwani wewe ni HG wake?
Nchi hii nani siyo mwiZihana hoja huyo mwizi bali ana vioja km wewe zuzuz
Huyo toka alipofinywa na Kikwete sakata la Ruge na Singa na Benki ya Kanisa, basi imekuwa nongwa, naona hajapata usingizi mnono siku nyingi sana.
Na sakata la bandari ndiyo limemuumiza kabisa, alikuwa na pesa zake nyingi kawekeza kwa mhaya mwenzake, Karamagi, aliyekuwa na shares TICTS.
Tunamfahamu huyo, hatupi shida.
Haswaa..Tunamfahamu huyo, hatupi shida.
We hauko sawa.Jibu hoja za Prof Tibaijuka, wacha makelele yako yasiyo na maana yaliyochanganyika na hasira.
Kabila lake wala pesa zake havimzuii Prof. Tibaijuka kutoa maoni yake, kama dada yako alijidai kuziba masikio hataki kusikia, mwambie sasa dunia yote itasikilizishwa ule ujinga aliotufanyia.
Mambo ya hajapata usingizi muda mrefu sana, kwani wewe ni HG wake?
Nazid kukupenda WallahSwa kabisa, serikali si haina dini, sasa vipi itafundisha Waislam?
Kumbe na wewe umekaona hako kajamaa mkuu,Mkuu hivi huwa huna kazi ya kufanya? Kila muda lazima ukomment tena negative comments?
Mjibu weweMjibuni Kwa hoja kama yy anavyowachallange Kwa hoja