Profesa Tibaijuka alipeleka Sakata la Bandari duniani

Profesa Tibaijuka alipeleka Sakata la Bandari duniani

Huyo toka alipofinywa na Kikwete sakata la Ruge na Singa na Beni ya Kanisa, basi imekuwa nongwa, naona hajapata usingizi mnono siku nyingi sana.


Na sakata la bandari ndiyo limemuumiza kabisa, alikuwa na pesa zake nyingi kawekea kwa mhaya mwenzake, Karamagi, aliyekuwa na shares TICTS.

Tunamfahamu huyo, hatupi shida.
Toa umavi wenu wakise....nge... Mnafikiri watu wajinga kama nyie.... Huyo kikwete unaysema hapa ni tapeli na fisadi papa.
 
Noted🙏🙏

Bt tukinyamaa kabisa nani ujumbe wa may 2024 utawafukiaje watu Ili wajinasue na kadhia ijayo?

Ni vizuri kusema bila kujali watachukua hatua au kunyamaa!!

Bt Asante Kwa ujumbe murua, nautunza CIA🙏🙏🙏
Libarikiwe jina la yule Mungu wangu pamoja na Ibrahimu,Isaka na Yakobo
 
Samia lazima atambue watanganyika wamegoma kugeuzwa watumwa ndani ya nchi yao, hata kama wakitumia jeshi la polisi kutulazimisha, the fact is very simple and clear, tumegoma.

Karne hii ya sasa kitendo chochote cha kuwafunga watu midomo kinakuonesha vile ulivyo mjinga, utafanikiwa vipi?

Tuna wasomi wa kila aina, tena wanaokuuliza maswali ya ujinga wako mpaka unashindwa kuwajibu, heshima tuliyonayo sharti tuilinde siku zote, tukiichezea tukaipoteza asilaumiwe mtu kwa ujinga wa mwingine, imeandikwa kila mmoja ataubeba msalaba wake.
Basi jeshi la polisi limekuwa halijui wajibu wake
 
Kakisema nini zaidi ya utumbo tu? Anaongelea mkataba wa uwekezaji, kuna mkataba wa uwekezaji tayari? Uko wapi?

Amekaa anadanganya tu. Jiulize kwanini adanganye? Huyo mama mmesahau uongo wake? Alitiliwa mamilioni kwenye akaunti yake na habinder singh, akadanganya haya ya shule. Shule haina akaunti?

Kikwete akamfinya kiduchu, akamwambia mama usijiaibishe zaidi ni heri ukae kimya. Mwamba alivyokuwepo alikuwa kimya kaufyata, sasa anaona kapata pa kupumulia anaanza tena kuongea utumbo.
Sasa kama walipiga mpunga kwanini hawako jela?Nakumbuka kikwete aliwatetea kwamba pesa sio za serikali!Magu ndio alikuja kuwashughulikia!
Magu(Mwamba kama ulivyomuita) pia alivyokuwepo,huu ujinga aliufutilia mbali!Mpiga deal wa msoga ndio dalali kwenye hii issue!
 
Sasa kama walipiga mpunga kwanini hawako jela?Nakumbuka kikwete aliwatetea kwamba pesa sio za serikali!Magu ndio alikuja kuwashughulikia!
Magu(Mwamba kama ulivyomuita) pia alivyokuwepo,huu ujinga aliufutilia mbali!Mpiga deal wa msoga ndio dalali kwenye hii issue!
Eeh bwana wewe, yeye alipewa cha juu tu.

Lakini point, hapo anaongea utumbo tu.
 
Huyo toka alipofinywa na Kikwete sakata la Ruge na Singa na Beni ya Kanisa, basi imekuwa nongwa, naona hajapata usingizi mnono siku nyingi sana.


Na sakata la bandari ndiyo limemuumiza kabisa, alikuwa na pesa zake nyingi kawekea kwa mhaya mwenzake, Karamagi, aliyekuwa na shares TICTS.

Tunamfahamu huyo, hatupi shida.
Bibi buwaana
 
Libarikiwe jina la yule Mungu wangu pamoja na Ibrahimu,Isaka na Yakobo
Amen ubarikiwe pia, Mishale ya adui isikupate,

Mungu akutunze kama mboni ya jicho lake, usimame Kila palipo na HAKI.

Beba silaha hizi hutoshindwa popote: Jifunge KWELI kiunoni, Dirii/ngao ya HAKI kifuani, miguu Yako ipewa utayari, , Pia beba NGAO ya IMANI Ili kuizima Mishale ya adui, Wokovu,Ubebe pia Upanga Roho ambao ni Neno la Mungu moyoni, maombi na Sala pia.

Ukiwa na silaha hizi hutamhitaji sangoma kukulinda dhidi ya makombora yasoonekana dhidi ya Roho na NAFSI Yako.

Amen
 
Huo utumbo ndio muujibu kwa hoja na sio kuleta mambo mengine yasiyohusiana kabisa!
No wonder remote(Dalali) anataka 2025 huyu mama apite bila kupingwa!
Sasa kijana, anna hapo anaongelea kataba wa uwekezaji, wewe umewahi kuuona u kuusikia mkataba huo?
 
Huyo toka alipofinywa na Kikwete sakata la Ruge na Singa na Beni ya Kanisa, basi imekuwa nongwa, naona hajapata usingizi mnono siku nyingi sana.


Na sakata la bandari ndiyo limemuumiza kabisa, alikuwa na pesa zake nyingi kawekea kwa mhaya mwenzake, Karamagi, aliyekuwa na shares TICTS.

Tunamfahamu huyo, hatupi shida.
Kina nani nyie Bibie? Warembo wengine au? Profesa wa kimataifa sio jalalani, na mzamivu haswaa 🤩. Sasa wewe ungepangua hoja badala ya insinuations na character thrashing. Uwezo unao mrembo!
 
Huyo toka alipofinywa na Kikwete sakata la Ruge na Singa na Beni ya Kanisa, basi imekuwa nongwa, naona hajapata usingizi mnono siku nyingi sana.


Na sakata la bandari ndiyo limemuumiza kabisa, alikuwa na pesa zake nyingi kawekea kwa mhaya mwenzake, Karamagi, aliyekuwa na shares TICTS.

Tunamfahamu huyo, hatupi shida.
Naona majizi ya Bandari zetu mmejipanga kwa uzushi. Hamuoni aibu kumtetea huyo mwaaeabu wenu DPw ambaye watanganyika wamemkataa?
 
Back
Top Bottom