Kikwete akasema siyo hela za serikaliLeo unalikana kanisa? Anna Tibaijuka hakuwekewa mamilioni kwenye benki ya kanisa? Akasema vihela vya mboga tu hivyo, wamepewa shule? Umesahau au ulikuwa bado unajinyea kwenye nepi?
cc Mama Amon
Lakini wewe unashobokea WaarabuFukara ni wewe unayemshobokea tajiri ,tena jielewe mpumbavu mkubwa njaa zako kama anakulisha ni wewe .
Huyo Tibaijuka kaisaidia nn nchi yake? zaidi ya kuzunguka na kuajiriwa na wazungu hakuna cha maana hapo kapewa maagizo ya kanisa apinge na ana maslahai yake huko TICTS.
Mikataba mingapi hakupinga? Si kaiba pesa za kibao ..kama anakufadhili wew na familia yako kwa umaskini wenu ni nyie kaaa kando sipendi shobo na washamba.
Sipendi shobo na upinde kabisa .!!
Bandari sio mali yako wewe kama unakilalu cha kuuza kauze chako uza utumbo wako upate hela achana na bandari.We hauko sawa.
Bandari yakuuma sana ati!
Yakuhusu nini wewe!!
Hata mimi naamini siyo za serikali bali wahanja walizipiga kupitia serikali.Kikwete akasema siyo hela za serikali
Kila anayedai haki ya kujitawala wenyewe ana masilahi na ninyi mnaouza nchi hamna masilahi binafsiHuyo toka alipofinywa na Kikwete sakata la Ruge na Singa na Benki ya Kanisa, basi imekuwa nongwa, naona hajapata usingizi mnono siku nyingi sana.
Na sakata la bandari ndiyo limemuumiza kabisa, alikuwa na pesa zake nyingi kawekeza kwa mhaya mwenzake, Karamagi, aliyekuwa na shares TICTS.
Tunamfahamu huyo, hatupi shida.
Subiri ioa udikimbie humu nakuservdVumilia tu mpk 2030 labda Mungu mwenyewe atake
watanzania mna maudhi sana! badala ya kujibu hoja alizozisema, mnakimbilia kwenye "personal attack!"Huyo toka alipofinywa na Kikwete sakata la Ruge na Singa na Benki ya Kanisa, basi imekuwa nongwa, naona hajapata usingizi mnono siku nyingi sana.
Na sakata la bandari ndiyo limemuumiza kabisa, alikuwa na pesa zake nyingi kawekeza kwa mhaya mwenzake, Karamagi, aliyekuwa na shares TICTS.
Tunamfahamu huyo, hatupi shida.
sasa nakuita rasmi mpuuziNamna "hii" ipi? Usiongee kijuha.
Isaya: 35:8Amen ubarikiwe pia, Mishale ya adui isikupate,
Mungu akutunze kama mboni ya jicho lake, usimame Kila palipo na HAKI.
Beba silaha hizi hutoshindwa popote: Jifunge KWELI kiunoni, Dirii/ngao ya HAKI kifuani, miguu Yako ipewa utayari, , Pia beba NGAO ya IMANI Ili kuizima Mishale ya adui, Wokovu,Ubebe pia Upanga Roho ambao ni Neno la Mungu moyoni, maombi na Sala pia.
Ukiwa na silaha hizi hutamhitaji sangoma kukulinda dhidi ya makombora yasoonekana dhidi ya Roho na NAFSI Yako.
Amen
Ila umesikia material ya MBA aliyoyatoa, ni Elimu kubwa, hatupingi investment, mkataba ni mbovu, unaleta monopoly na kuondoa competition, na popote pale ambapo hakuna competition hakuna motivation, na kutakuwa hakuna creation na innovation. Halafu kaongelea sovereign, huwezi kumpa investor kila kitu kwenye nchi yako afanye control. Limitless contract, afuatwe yeye kwanza kama kuna kuna mradi mwingine badala ya kumpa investor mwingine.Huyo toka alipofinywa na Kikwete sakata la Ruge na Singa na Benki ya Kanisa, basi imekuwa nongwa, naona hajapata usingizi mnono siku nyingi sana.
Na sakata la bandari ndiyo limemuumiza kabisa, alikuwa na pesa zake nyingi kawekeza kwa mhaya mwenzake, Karamagi, aliyekuwa na shares TICTS.
Tunamfahamu huyo, hatupi shida.
Elewa pia kuwa kuna wasomi wachumia tumbo. Tatizo la Tanzania ni Uongozi wenye uzalendo uliokomaa bila kujali elimu zao. Kawawa hakuwa na elimu kubwa lakini alikuwa kiongozi mzalendo aliyekomaa. Hata Mzee Karume hakuwa na elimu lakini alikuwa mzalendo aliyekomaa.Huyu samia ajitathimini.haiwezekani wasomi wazuri kama tibaijuka kuukataa mkataba huu wa kihuni lakini yeye mwenye vyeti vya kuungaunga na siyo profesa ndiyo aone mkataba ni mzuri.Taifa kuongozwa na form four failure ni hasara kubwa sana
makuwad ya warabu koko yamegongwa za uso.hana hoja huyo mwizi bali ana vioja km wewe zuzuz
Wapo watu wa kuongea ila sio huyo aliyeiba na kujinasibu wazi wazi.Lakini wewe unashobokea Waarabu
Ni mtu wa hovyo kabisaDuu Sikudhani km Samia yupo na mambo ya ajabu km hivi
Jamaa wanagawana mali za ummaHii nchi ukipata upenyo penyua...wote ni walewale
Kwanza huu muungano fake uvunjwe harakaKatiba mpya iandike wazi mtu ambaye ana vinasaba na taifa lingine asiruhusiwe kugombea au kurithi cheo cha urais wa Tanganyika peoples society. Wajomba na mashangazi siyo watu wazuri