Profesa Tibaijuka: Trump kusitisha misaada ARVs zitaadimika Afrika. African Union iitishe kikao maalum kuweka mkakati

Wanaopenda kuloweka mbichi waione hii,siku zinakuja dozi ya siku thelathini itauzwa laki na ukute uliuokota Kimboka Buguruni kwa wale malaya wachafu wa buku tatu tatu na wewe mwenyewe kipato chako kwa siku hakizidi 10K.

Hapo utakutana na mlango wa kaburi mapema sana yaani hata miezi minne wewe hutoboi.
 
Nilivyoelewa; Trump kupitia Depertment husika ametoa siku 90 kuhuisha programs anazofadhili ktk nchi za nje kuhakikisha zinaendana na sera zake. Ndio maana kasema wafanyakazi wataendelea kulipwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…