Profesa Tibaijuka: Trump kusitisha misaada ARVs zitaadimika Afrika. African Union iitishe kikao maalum kuweka mkakati

Its not easy like you think mkuu.
Nina miaka 3 nasoma hiki kirusi till now nashangaa kwanini kuna watu wana potosha uma kwa kusema kuna dawa
Upo sahihi mkuu.
Je, inawezekana ni kwasababu ya sifa yake ya kujibadili umbo lake?

Kama kukiua imeshindikana, hivi hakuna namna ya kufanya kwa CD4 ili kukipumbaza hiki kirusi kisizishambulie?

Tumekichoka.
 
Ukiwa kwenye ma NGOs ni maisha ya mguu nje mguu ndani muda wowote hakutabiriki
Niliwah omba kazi MDH Yule HR akaniita akasema sikuwa na sifa za ile kazi Ila ameona CV yangu imemvutia. Akiwa na kazi za uzoefu wangu ataniita. Had kesho hajawah niita
Bt naikubali Sana MDH ni moja ya sehemu ambazo natamani siku moja nifanye kazi
 
Wamarekani walishamuona Trump wakat wa uongozi wake wa nyuma namna alivyokuwa lakini bado wamemchagua tena.
Sasa wote tunakinywea kikombe. Akina aunty John na akina anko maria wote tutaguswa
 
Oya umeongea kimasihara ila ndo ukweli uo saiv ni vzr utumie condom.
 
Hapo ndio ninapomshukuru Trump, yaani misaada imesimamishwa kwa miezi mitatu ili nchiyake ifanye tathmini kuona kama inanufaika na matokeo ya misaada hiyo. Kwa maana kwamba America hatoi msaada wa bure, Hata kama akikupa ARV ujue kuna anachonufaika nacho, akiona hakimlipi anakata msaada huo.
Shida ni nchi zetu hizi zilizolemazwa na kuombaomba kwa wazungu na kuna nchi za kiafrika zinaamini bila wazungu hazinauwezo wa kujiendesha.
Uwezo tunao ila hatutaki kuchukuliana hatua: wananchi wanajua hatua za kuwachukulia viongozi wazembe na wabadhilifu ila hawachukui wakiamini viongozi hao wanarudisha hisani kwa wananchi na viongozi nao hawawajibiki kwa wananchi wakijua hata wasipowajibika hakuna cha kuwawajibisha.
Jamani tuamkeni wazungu wanatuambia hakuna cha bure.
 
Ni sahihi kabisa.
Tuna dawa za miti shamba za kutosha, mapori ya kutosha bila kuwasahau Botanists wetu, wapo wa kutosha.

Inabidi sasa waanze kufanya trials mdogo mdogo kwa haya magonjwa nyemelezi kabla ya kukiangamiza kirusi.
Kweli ni wakati sasa na wao watumikishe mayele yao
 
Naunga mkono hoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…