Pyaar
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 16,078
- 77,186
Upo sahihi mkuu.Its not easy like you think mkuu.
Nina miaka 3 nasoma hiki kirusi till now nashangaa kwanini kuna watu wana potosha uma kwa kusema kuna dawa
Je, inawezekana ni kwasababu ya sifa yake ya kujibadili umbo lake?
Kama kukiua imeshindikana, hivi hakuna namna ya kufanya kwa CD4 ili kukipumbaza hiki kirusi kisizishambulie?
Tumekichoka.