TANZIA Professor James Shaba afariki dunia. Alifanyia postmortem mwili wa Hayati Sokoine

Aisee Kuna Raha kupata stories kama hizi
 
Duuh Doctor 40 yrs ago
 
Pamoja na yote postmortem ya Edward Moringe Sokoine hakuandikwa au kuwekwa wazi.

Na ndiyo maana wanae walipoamua kuhamisha mwili pale ulipozikwa ulisimamiwa na wabeba mtutu.

All in all asingewezza kupingana na Mwalimu
Mwalimu Kwa Nini alipenda kuhifadhi mambo mabaya ,ambayo yanaleta picha mbaya Sana Kwa nchi
 
Tunawasoma tu

Ehe

Ova
 
Mazingira ya kufanya Kazi ni magumi jamani hacheni kuwasema madakitari kuwa ni walevi,

Kama wakiamua kuyasema yanayo wasibu kazin, basi watu wangekata tamaa kusoma mambo ya AFYA
 
"kufunga kufungua kabinti kakajiriwa Idara, mara papa!, kadunga!, kikazaliwa kidume kilapewa jina la Eric".
Gone too far young bro.
 
Kwa hiyo Nyerere alikubali Dr Stirling ajiuzulu, Huku akijua kasema ukweli, basi Haya 👆 mambo ya hovyo , yeye ndio mwanzilishi, hawa wa ss wanaiga Tu
 
Waziri mkuu wa Kwanza Nyerere Des.1961 Hadi Feb.1962 alipomwachia Kawawa na kurejea Kama Rais Mtendaji Des.1962 chini ya Katiba ya Jamhuri.Alijiuzulu kwa kufarakana na Wana TANU wenzake juu ya Africanisation kwa spidi ya kutisha wakati Taifa lilikuwa halijajitosheleza ki-manpower akiliita pia zoezi Hilo Ukaburu sawa na wa Afrika Kusini wa chama chake.Na kwa kuwa alikuwa ndiye Rais wa Chama akarejea kijijini kukijenga Chama nje ya Ukaburu huo tayari kwa uchaguzi mkuu wa Oktoba 1962,akapeta dhidi ya Mtemvu aliyedai Tanganyika no kwa Waafrika wenye ngozi nyeusi tu.
 
Duh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…