TANZIA Professor James Shaba afariki dunia. Alifanyia postmortem mwili wa Hayati Sokoine

Hivi umenisoma vizuri au umekurupuka tu. Ndiyo maana mnafeli mitihani kiboya.
Sawa mtoaa taarifa kwenye Hilo bichwa lako umejaza ujuaji mwingi by the way pita ivi na Mimi nipite vile.....

NB:
Mods nikijibishana na Huyu mjamaa nipigwe BAN ya LIFE hapa Jukwaani

Kalagabao

✌️✌️✌️✌️
 
Sawa mtoaa taarifa kwenye Hilo bichwa lako umejaza ujuaji mwingi by the way pita ivi na Mimi nipite vile.....

NB:
Mods nikijibishana na Huyu mjamaa nipigwe BAN ya LIFE hapa Jukwaani

Kalagabao

[emoji3577][emoji3577][emoji3577][emoji3577]
Kiherehere chako tu. Ndiyo maana una makalio makubwaaaa na ndiyo unayotumia kufikiri bwege wewe.
 
10 years kwa tabia hiyo ya ugonjwa ya mtu kuhara na kitapika Hadi kufa,watu pwani wangeisha wote...nasikia maji ya dafu yaliokoa jahazi
 
By that time mimi nilikuwa Standard Four. Nilikuwa bado mvulana mbichi. Sasa nimekuwa babu nashinda na wajukuu zangu hapa nyumbani.

Itakuwa kweli alikuwa kichwa. Wamerekani hawawezi kumchukua daktari wa kiwango cha chini.

RIP Prof Shaba.
 
Na mimi nimejiuliza swali hili.

Inawezekana alipunguza au kuacha.

Kwa kasi ile ya miaka ya 1980s asingeweza kuishi miaka yote hii.

Mimi nilikuwa nafikiri alishafariki siku nyingi.

Sisi tuko wadogo miaka ya 1980s Professor Shaba alikuwa mzee tayari.
 
Asante mzee wangu , kuna kitu umenipa katika research yangu na ripoti yangu kuhusu jambo fulani huku Afya .

May God bless you

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu nilisha andika kitabu toka 2005, ila sijakitangaza sana kwa vile kinagusa maisha ya watu ambao bado wako hai.

Watu wanafikiri ufisadi umeanza sasa, ulikuwepo kitambo.
Duh!

Sasa unasubiri hadi hayo mafisadi yaondoke ndipo kitabu kichapishwe?
Kuna njia nyingi za kuwasilisha kitabu bila kujitambulisha mwenyewe waziwazi; na hasa siku hizi ndiyo imekuwa rahisi zaidi.
Na hata hivyo, kwa nini uyape heshima na hadhi kubwa hayo mafisadi yaliyovuruga matumaini ya waTanzania?
 
Asante.
Umelimaliza hili vizuri, na hao Habari Leo walipashwa kujua hivyo.
 
Aisee!
Watu type yako ni wachache hii Tanzania.

Truth never offend
 
Sisi tuko wadogo miaka ya 1980s Professor Shaba alikuwa mzee tayari.
No, actually he wasn't. Hardly 50 years by the time!

Atakuwa baadae alipunguza, la sivyo lile ini lisingehimiri muda wote huo. Kwenye ile picha inaonekana hata alikuwa kaongezeka uzito, tofauti na alivyokuwa Muhimbili.
 
No, actually he wasn't. Hardly 50 years by the time!

Atakuwa baadae alipunguza, la sivyo lile ini lisingehimiri muda wote huo. Kwenye ile picha inaonekana hata alikuwa kaongezeka uzito, tofauti na alivyokuwa Muhimbili.
50 years by 1984 kwa life expectancy ya Tanzania ni mzee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…