Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mafuriko ya HanangIvi alisema kifo cha marehumu ni ajali au mvua ya risasi?
Ila pia nini ?By that time, tulikuwa na pathologist wawili tuu!. Sisi tuliosoma Tambaza tulikuwa tunamuona sana mitaa ya around Muhimbili, alikuwa ni kichwa sana!, ila pia...
RIP Prof. James Shaba.
P
....afisa kipenyo😁By that time, tulikuwa na pathologist wawili tuu!. Sisi tuliosoma Tambaza tulikuwa tunamuona sana mitaa ya around Muhimbili, alikuwa ni kichwa sana!, ila pia...
RIP Prof. James Shaba.
P
Mkongwe Pascal Mayalla toa jibuPostmortem report inasemaje?
Tulikuwa tunapata naye kinywaji pale IFM canteen, alipapenda sanaBy that time, tulikuwa na pathologist wawili tuu!. Sisi tuliosoma Tambaza tulikuwa tunamuona sana mitaa ya around Muhimbili, alikuwa ni kichwa sana!, ila pia...
RIP Prof. James Shaba.
P
Nimekumbuka kuna mtu alisema geshi la nchi fulani ni la 6 kwa ubora duniani.RIP Prof James Shaba. Alikuwa mzalendo wa kweli na mwanataaluma makini.
Prof wa Kwanza wa Pathology katika East and Central Africa.
Punguza kunywa MbegeKumbe huyu mwamba alikuwa hai mimi nilijua alishavuta kitambo
Malizia ila pia......By that time, tulikuwa na pathologist wawili tuu!. Sisi tuliosoma Tambaza tulikuwa tunamuona sana mitaa ya around Muhimbili, alikuwa ni kichwa sana!, ila pia...
RIP Prof. James Shaba.
P
😀😀😀Postmortem report inasemaje?
Sinywi mipombe michafu,wala sina asili ya pombe hiyo.Punguza kunywa Mbege
Kumbe kudoea pombe umeanza kitambo na hadi uzeeni unadoea tu si uache kwani lazima kunywa?Tulikuwa tunapata naye kinywaji pale IFM canteen, alipapenda sana
RIP Shaba
Wakati huo Mwenyekiti wako anakagua wageni botKumbe kudoea pombe umeanza kitambo
Speak only the good of the dead!, hakuna mhenga yoyote wa enzi hizo ambaye hamjui Prof. Shaba!.Malizia ila pia......
Nje ya mada. Ukishakosa hoja unahamisha magoli. Hadi uzee huu bado unadoea pombe , vijana watakuinamisha bwege wewe.Wakati huo Mwenyekiti wako anakagua wageni bot