Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wa kwanza wa TANZANIA ni yupi?Sokoine siyo waziri mkuu wa kwanza wa Tanzania.
Alikua ila sio wa Tanzania it was Tanganyika by that timeHivi nyerere hakuwahi kuwa waziri mkuu?
Aisifuye mvuaNje ya mada. Ukishakosa hoja unahamisha magoli. Hadi uzee huu bado unadoea pombe , vijana watakuinamisha bwege wewe.
Wacha kudoea pombe .Aisifuye mvua
We Mchagga bado una Ushamba kumbe Dunia ya Leo Viongozi wako kila siku wako " Jela" si ajabu Ndio wanaokufu disha!
Rashid Mfaume KawawaWa kwanza wa TANZANIA ni yupi?
Aliwahi kuwa waziri mkuu wa kwanza wa Tanganyika huruHivi nyerere hakuwahi kuwa waziri mkuu?
Kwa kazi yake ya kucheza na maiti ilibidi anywe!!....Alikuwa "mnywaji" mzuri! RIP Prof.
😂😂😂😂Rashid Mfaume Kawawa
Kweli wahenga walisema, muda unaongea, na wenzetu walisema, Time Heals!By that time, tulikuwa na pathologist wawili tuu!. Sisi tuliosoma Tambaza tulikuwa tunamuona sana mitaa ya around Muhimbili, alikuwa ni kichwa sana!, ila pia...
RIP Prof. James Shaba.
P
Labda ,aligoma kuhama nyumba ya serikali akipiga mkwara wakijichanganya atasema jambo kuhusu pengine kifo cha ajali cha uchumi wa kijamaa kilichotokea dakawaHebu endeleza story hapa
Waziri mku wa nchi gani? Umekurupuka. Tatizo la pombe ya kudoea unafakamaia tu bila kipimo halafu asubuhi huna hata hela ya supu. Una uzee wa shida sana.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani Bavicha hamnaga Akili kabisa, yaani hata Waziri mkuu wa kwanza humjui
Bure kabisa!
...(kapuni)...By that time, tulikuwa na pathologist wawili tuu!. Sisi tuliosoma Tambaza tulikuwa tunamuona sana mitaa ya around Muhimbili, alikuwa ni kichwa sana!, ila pia...
RIP Prof. James Shaba.
P
Mkuu please. Acha kusema mbege ni pombe chafu. Dah!Sinywi mipombe michafu,wala sina asili ya pombe hiyo.
Mkuu Lole, Lole Gwakisa, thanks for this, umenikumbusha mbali, Capt. Mazula tulikuwa tunaishi jirani yetu pale Drive In flats, Mafletini!.Kweli wahenga walisema, muda unaongea, na wenzetu walisema, Time Heals!
Ni mwaka 1984, ndiyo kwanza kijana mtanashati, msomi na nimepata kazi nzuri shika la umma.l
Ndo kwanza nimehamishiwa Dar toka mkoani, sasa niko makao makuu ya shirika langu.
Kwa sheria za kazi miaka hiyo nilikuwa -entirled" kupatiwa nyumba.
Kwa vile nilikuwa sijapatiwa nyumba, mwajiri wangu aliniweka hotel kubwa ya kisasa, New Africa Hotel,
Siku hiyo ilikuwa week end mimi niko Bandari Grill, na girlfriend wangu, ambaye atskuja kuwa mke wangu.
Pembeni yangu kama meza ya tatu ,nikamwona mzee mmoja yuko peke yake, akinywa Konyagi, kavu na huku yuko kimya.
Mara wakaingia vijana, kaka zangu, mmoja namfahamu ni Kapteni wa Air Tanzania, lakini yeye hanifahamu.
Nilimfahamu Kapteni George Mazula kwa vile nilikuwa na safari nyingi Mwanza na Musoma miaka hiyo na ndege aina ya Fokker Friendship 50.
Sasa wale vijana kaka zangu wakaingia wakaanza kumzonga yule mzee.
Wakaanza kumcheka wanamwambia "Profesa uko njwii, uko njwii....acha Konyagi Profesa Shaba"
Nikageuka kumtazama huyo mzee, na nikajiuliza, kumbe huyu ndiye Profesa Shaba?
Jina lilikuwa linajulikana sana, lakini mtu mwenyewe mfupi na mwembamba na ndevu za kutosha usoni.
Proffessor akameza fundo la Konyagi akawajibu wale vijana,
"Ninyi vijana, ninyi vijana" na huku akionyesha wazi kuwa kinyaji kimekolea.
"Ninyi vijana mtakuja tu mortuary, mtakuja tu. Nimemwona Sokoine nanyi mtakuja tu"
Wale vijana na Capt Mazula, walitoweka pale kama wamefukuzwa, wote wakaogopa na kutokomea haraka haraka.
Nami nilipigwa butwaa ,lakini nikamsalimia kwa adabu, "shikamoo Proffessor Shaba"
Tukaanza maongeze lakini kwa jinsi nilivyo mchulia kiheshima nikagundua kuwa amekulia Tukuyo na alikuwa anaifahamu familia yangu toka babu yangu.
RIP Proffessor James Shaba, Mungu akuweke mahali pema peponi.
Mhmmmmmm, kwa "wanzuki" alikuwa hakamatiki.....Alikuwa "mnywaji" mzuri! RIP Prof.
Bure kabisaWaziri mku wa nchi gani? Umekurupuka. Tatizo la pombe ya kudoea unafakamaia tu bila kipimo halafu asubuhi huna hata hela ya supu. Una uzee wa shida sana.