jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,329
- 25,263
Tuishie hapa maana ukiendelea nakuweka ignore listNa sina haja ya kukujua kabisa dogo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuishie hapa maana ukiendelea nakuweka ignore listNa sina haja ya kukujua kabisa dogo.
Sokoine alikuwa ndiye Waziri mkuu wa kwanza wa Tanzania, Nyerere alikuwa Waziri mkuu wa TanganyikaSokoine siyo waziri mkuu wa kwanza wa Tanzania.
Hata ukiniweka kwenye ignore list unafikiri najali dogo?Tuishie hapa maana ukiendelea nakuweka ignore list
RIP ProfessorKumbe huyu mwamba alikuwa hai mimi nilijua alishavuta kitambo
Ripoti ya Uchunguzi wa kifo cha Sokoine ilibaini nini ?
👍👍RIP Prof James Shaba. Alikuwa mzalendo wa kweli na mwanataaluma makini.
Prof wa Kwanza wa Pathology katika East and Central Africa.
Rashid Mfaume Kawawa alikuwa waziri mkuu wa mwisho wa Tanganyika January 1962 mpk 9 December 1962.Sokoine alikuwa ndiye Waziri mkuu wa kwanza wa Tanzania, Nyerere alikuwa Waziri mkuu wa Tanganyika
Mdogo George.Kuna Captains Mazula wawili. Yupi alikuwa jirani yenu?
Speak only the good of the dead!, hakuna mhenga yoyote wa enzi hizo ambaye hamjui Prof. Shaba!.
He was a genius!.
RIP Prof. Shaba.
P
Wa kwanza wa TANZANIA ni yupi?
Kwanini apewe likizo kwa sababu ya clear PM?!Profesa alikuwa na kautaratibu alikojiwekea kando kwamba kabla hajafanya upasuaji ni lazima apige ile whisky yake matata sana ama Teachers au Johnnie Walker.
Hayati Mwalimu alipoambiwa Prof ametoa PM ikiwa clear bila uchakachuaji ikabidi kwanza apewe likizo aende nchi fulani hivi.
Hakuwa tayari kwenda kinyume na taaluma yake.
Pole nyingi ziende kwa familia ya mwamba huyu wa taaluma ya upasuaji.
RIP Profesa Shaba.
wapi?Yumo kwenye orodha ya watanzania maarufu waliokufa bila kujenga
Unsung Hero
Ligi yenu inaendelea naonaHata ukiniweka kwenye ignore list unafikiri najali dogo?