TANZIA Professor James Shaba afariki dunia. Alifanyia postmortem mwili wa Hayati Sokoine

TANZIA Professor James Shaba afariki dunia. Alifanyia postmortem mwili wa Hayati Sokoine

Yes they are brothers, na wana Dada yao kifaa kweli kweli!, Mzee Mayalla akiwa RSO wa Mtwara, (Wazee wa Kisukuma hawazeekagi), si macho ya Dingi yakaispot, kufunga kufungua kabinti kakajiriwa Idara, mara paap!, kidume hicho!, kikapewa jina la ..., Dingi akahamishiwa Mwanza, huko ikamkuta ile soo ya 1976!, baada ya soo kuisha 1980 si dingi akatia timu kumdai mwanae!, ndipo akaambiwa hao ni wa Makua, ni matrilinier, watoto ni mali ya Mama na wanatumia jina ubini wa kikeni!. Hata che Nkapa ni ubini wa kikeni!. Katika vitu vingumu Msukuma kuelewa ni damu yake kuibiwa na Mwanamke!. Hivyo mimi tuna undugu na kina Shaba, huyo dogo wetu tutamsaka kumkomboa tumrudishe Usukumani!.
P
Soo ipi ilimkuta mzee miaka ya 1976?
Just in brief
 
By that time, tulikuwa na pathologist wawili tuu!. Sisi tuliosoma Tambaza tulikuwa tunamuona sana mitaa ya around Muhimbili, alikuwa ni kichwa sana!,
Taarifa ya Familia
Wanajumuia,

Familia ya Professa James Shaba inasikitika kuwatangazia kuwa Mzee wetu Professa James Shaba amemaliza safari yake hapa duniani. Mzee wetu ametutoka jioni ya leo siku ya Jumanne tarehe 5 December 2023, muda wa saa 2:30 usiku saa za Marekani (Central Eastern Time) Chicago. Habari zaidi za maandalizi ya mazishi zitatumwa baadaye. Mzee alikuwa akiuguzwa na watoto wake Stella na Anale Shaba kwa muda mrefu. Mungu aipumzishe roho ya mzee wetu mahali pema peponi.

Kwa mtakawatoweza kuawasiliana au kwenda kuwaona Stella na Anale Shaba (Watoto wa Marehemu) na Wana Chicago wenzetu mnaweza kusailiana nao kwa kupitia namba ya simu hapo chini au kwenda kuwaona nyumbani kwao:

Anale Shaba: (847) 525-9224
4151 N. Richmond
Chicago, IL 60618

“Bwana ametoa na Bwana ametwaa, Jina lake lihimidiwe.”

NB: Uongozi wa TCA tutaendelea kutoa updates.

ila pia...

RIP Prof. James Shaba.
P
Siyo Prof Shaba tuu, Mercedes Benz co waliotengeneza ile gari walisema kwa impact ile na jinsi gari ilivyotengenezwa ni jambo nadra sana kupata majeruhi aliye mahututi, acha kifo.
 
Waziri mkuu wa kwanza ni nani? tupate elimu mkuu
Rashid Mfaume Kawawa alikuwa waziri mkuu wa mwisho wa Tanganyika January 1962 mpk 9 December 1962.

Kuanzia 10 December 1962 mpk February 1972 nafasi ya waziri mkuu ilifutwa.

Mwaka 1972 February nafasi ya waziri mkuu ilirejeshwa na Rashid Mfaume Kawawa akawa waziri mkuu wa kwanza wa Tanzania mpk mwaka 1977.

Kawawa alifuatiwa na Sokoine
 
Duh!

Sasa unasubiri hadi hayo mafisadi yaondoke ndipo kitabu kichapishwe?
Kuna njia nyingi za kuwasilisha kitabu bila kujitambulisha mwenyewe waziwazi; na hasa siku hizi ndiyo imekuwa rahisi zaidi.
Na hata hivyo, kwa nini uyape heshima na hadhi kubwa hayo mafisadi yaliyovuruga matumaini ya waTanzania?
Vijana hamuelewi!
Mnafikiri mafisadi ni kina Manji au Lugumi unaoweza kuwarushia madongo na unasepa!
Mafisadi wabaya wako ndani ya serikali na wameshikilia state power. Wanaweza fanya chote na lolote na usifurukute.
Mimi karibu niingizwe kesi ya kughushi, isingekuwa mzee mmoja juu kabisa kupata fununu ya mipango ningeozea lupango.

Mafisadi are powerful, pengine tuwe na serikali kama ya China, risasi kwa fisadi yeyote isijalishe cheo.
 
Vijana hamuelewi!
Mnafikiri mafisadi ni kina Manji au Lugumi unaoweza kuwarushia madongo na unasepa!
Mafisadi wabaya wako ndani ya serikali na wameshikilia state power. Wanaweza fanya chote na lolote na usifurukute.
Mimi karibu niingizwe kesi ya kughushi, isingekuwa mzee mmoja juu kabisa kupata fununu ya mipango ningeozea lupango.

Mafisadi are powerful, pengine tuwe na serikali kama ya China, risasi kwa fisadi yeyote isijalishe cheo.
Baada ya kukusoma katika mada hii nikakuchukulia kuwa mtu makini kuliko haya ulio andika hapa. Hili ndilo tatizo la wasomi wetu hapa, akina Kabuti Kalamganda wakiwa mifano sahihi; akina Lipumba na wengi wengine.
Uliyo eleza hapa katika bandiko hili, imenifanya nikumbuke kuwa kuna wakati huko siku za nyuma humu humu JF tilishakuwa pande mbili tofauti. Sijaiangalia mifano hiyo; lakini hilo jina limo kwenye kumbukumbu zangu kichwani.

Ndiyo, kwa hali ilivyo hapa Tanzania sasa hivi, tunahitaji kabisa hayo ya China yawepo hapa wakati huu kwenda mbele. Hili sina aibu hata mara moja kulihimiza. Vinginevyo, tutabaki tu tukiyumbishwa na hawa wapumbavu.
Naomba sana apatikane mtu anayesukumwa na uzalendo wa nchi hii, anayeweza kusimamia zoezi la kuwasafishia mbali hawa mafisadi na kuweka mipango imara ya kulisukuma mbele taifa letu.
Hizi lelemama za demokrasia hazina maana yoyote katika hali tuyomo sasa.

Sasa umenifanya niwe na mashaka, kama kweli hicho kitabu kipo kweli, au ni maneno matupu.
 
50 years by 1984 kwa life expectancy ya Tanzania ni mzee.
Interesting.
Hicho kipimo cha 'life-expectancy' hakitofautishi mtu mwenye 'access'yote kwenye huduma zote mhimu na yule aliyeko kule kijijini ambaye hana hata choo cha shimo, na takataka anazopeleka porini zinaishia kwenye maji anayo tumia katika mahitaji yake!
Hicho ndicho kipimo cha uzee?
 
Baada ya kukusoma katika mada hii nikakuchukulia kuwa mtu makini kuliko haya ulio andika hapa. Hili ndilo tatizo la wasomi wetu hapa, akina Kabuti Kalamganda wakiwa mifano sahihi; akina Lipumba na wengi wengine.
Uliyo eleza hapa katika bandiko hili, imenifanya nikumbuke kuwa kuna wakati huko siku za nyuma humu humu JF tilishakuwa pande mbili tofauti. Sijaiangalia mifano hiyo; lakini hilo jina limo kwenye kumbukumbu zangu kichwani.

Ndiyo, kwa hali ilivyo hapa Tanzania sasa hivi, tunahitaji kabisa hayo ya China yawepo hapa wakati huu kwenda mbele. Hili sina aibu hata mara moja kulihimiza. Vinginevyo, tutabaki tu tukiyumbishwa na hawa wapumbavu.
Naomba sana apatikane mtu anayesukumwa na uzalendo wa nchi hii, anayeweza kusimamia zoezi la kuwasafishia mbali hawa mafisadi na kuweka mipango imara ya kulisukuma mbele taifa letu.
Hizi lelemama za demokrasia hazina maana yoyote katika hali tuyomo sasa.

Sasa umenifanya niwe na mashaka, kama kweli hicho kitabu kipo kweli, au ni maneno matupu.
Itoshe kusema niliyoandika yanatosha, maana ninyi vijana hamkumbuki kuwa hata mkuu wa Idara , alipojaribu kuwa smart, alishia kula shaba ili kulinda the status quo.

Mwisho wa siku unatambua kuwa huna spare life, you have only one life to live, make the best of it.
 
Interesting.
Hicho kipimo cha 'life-expectancy' hakitofautishi mtu mwenye 'access'yote kwenye huduma zote mhimu na yule aliyeko kule kijijini ambaye hana hata choo cha shimo, na takataka anazopeleka porini zinaishia kwenye maji anayo tumia katika mahitaji yake!
Hicho ndicho kipimo cha uzee?
Watanzania wote tuligawana umasikini tu. Wewe si umesikia Profesa wa Muhimbiki aliambiwa aamrishwe na mfagizi kwa sababu mfagizi kada wa CCM Muhimbiki, akahamaki.

ENzi za Nyerere wote tumepitia rumba, wachache sana walikuwa matawi na hata hayo matawi yenyewe wote tumekula ugali wa njano kwa kukimbiza malori ya ugawaji.

Yani maisha chini ya Julius Kaizari Nyerete ilikuwa hata huyo mwenye access akipata Colgate ya kutoka Nairobi anajiona kashinda mchezo. Leo ndiyo tunakuja kujua kuwa yale hayakuwa maisha kumbe. Tulikuwa tunaishi kama North Korea.

Uzee una vipimo vingi, Profesa Shaba kwa mipombe yake mikali aliyokunywa kwa miaka mingi alizeeka mapema. Yani hata sura inaonekana ya kizee lakini yumkini hakuwa mzee sana.

Unaweza kuwa mtoto wa miaka 19 mwenye moyo mzee kama wa mtu wa kawaida mwenye miaka 70, na mtu mwenye miaka 70 akawa na moyo kama wa kijana wa kawaida wa miaka 19.

Profesa Shaba alikuwa na minywele mingi yenye mvi, midevu yenye mvi, tabia za wazee wazee wale wanaokutana Center kila jioni na kujimwambafy kizee zee.

Alikuwa Mzee tangu tunamuona wadogo. Probably alikuwa age ya wazazi wetu lakini alionekana Mzee zaidi. Nafikiri stress za kazi za ku deal na maiti kila siku na kunywa pombe kali sana nazo zilimfanya aonekane mzee kuzidi umri wake.
 
Baada ya kukusoma katika mada hii nikakuchukulia kuwa mtu makini kuliko haya ulio andika hapa. Hili ndilo tatizo la wasomi wetu hapa, akina Kabuti Kalamganda wakiwa mifano sahihi; akina Lipumba na wengi wengine.
Uliyo eleza hapa katika bandiko hili, imenifanya nikumbuke kuwa kuna wakati huko siku za nyuma humu humu JF tilishakuwa pande mbili tofauti. Sijaiangalia mifano hiyo; lakini hilo jina limo kwenye kumbukumbu zangu kichwani.

Ndiyo, kwa hali ilivyo hapa Tanzania sasa hivi, tunahitaji kabisa hayo ya China yawepo hapa wakati huu kwenda mbele. Hili sina aibu hata mara moja kulihimiza. Vinginevyo, tutabaki tu tukiyumbishwa na hawa wapumbavu.
Naomba sana apatikane mtu anayesukumwa na uzalendo wa nchi hii, anayeweza kusimamia zoezi la kuwasafishia mbali hawa mafisadi na kuweka mipango imara ya kulisukuma mbele taifa letu.
Hizi lelemama za demokrasia hazina maana yoyote katika hali tuyomo sasa.

Sasa umenifanya niwe na mashaka, kama kweli hicho kitabu kipo kweli, au ni maneno matupu.
Mkuu naona unachukulia rahisi tuu kucheza na Hawa watu. Mwenyewe huwezi la sivyo kesho tuu unapotea tunakusahau.

Wanasema siyo kila vita ya kupigana. Vita nyingine unakimbia ...
 
Itoshe kusema niliyoandika yanatosha, maana ninyi vijana hamkumbuki kuwa hata mkuu wa Idara , alipojaribu kuwa smart, alishia kula shaba ili kulinda the status quo.

Mwisho wa siku unatambua kuwa huna spare life, you have only one life to live, make the best of it.
Mkuu, pole yako.
Nimekuelewa, hata kama sikubaliani nawe kamwe juu ya hivyo visingizio unavyo vitaja hapa.

Niseme wewe ni 'ndege mjanja anaye epusha bawa', au siyo? Taifa letu sasa hivi limejaa tele ndege wa aina hii, ndio maana tupo hapa tulio fikia.
1. kuna hao ndege wa aina yako
2. kuna wenye maslahi binafsi wasioona kingine chochote nje ya hayo maslahi
3. kuna wasiojali chochote, mradi tu mkono unaipeleka kitu kinywani
5. kuna wachache sana, wanaoyakataa yote haya lakini hawajui wapi pa kuanzia, kwa sababu hakuna uongozi wa kuendesha juhudi zao
Hili ndilo taifa tulilo nalo sasa hivi.
 
Mkuu naona unachukulia rahisi tuu kucheza na Hawa watu. Mwenyewe huwezi la sivyo kesho tuu unapotea tunakusahau.

Wanasema siyo kila vita ya kupigana. Vita nyingine unakimbia ...
EEeeeHeeeee!
Ingekuwa hivyo, dunia hii ingekuwa ni tofauti kabisa na ilivyo sasa. Hata hao wakoloni wangekuwa bado wapo hapa wakitutia vidole mahala, kwa kuogopa hayo unayoyasema wewe.
Watu wa aina yako wapo sana katika dunia ya leo; na ndio sasa wanaotamba ndani ya taifa hili wakidhani watadumu daima.
Sijazungumzia popote kuhusu "urahisi" wa jambo lolote.
 
u. Wewe si umesikia Profesa wa Muhimbiki aliambiwa aamrishwe na mfagizi kwa sababu mfagizi kada wa CCM Muhimbiki, akahamaki.

ENzi za Nyerere wote tumepitia rumba, wachache sana walikuwa matawi na hata hayo matawi yenyewe wote tumekula ugali wa njano kwa kukimbiza malori ya ugawaji.

Yani maisha chini ya Julius Kaizari Nyerete ilikuwa hata huyo mwenye access akipata Colgate ya kutoka Nairobi anajiona kashinda mchezo. Leo ndiyo tunakuja kujua kuwa yale hayakuwa maisha kumbe. Tulikuwa tunaishi kama North Korea
Tusidanganye watu, hata Kenya chini ya Moi walikula Yanga; and BTW, sioni sababu ya kuitofautisha Yanga na Simba (nyeupe).
Watu hupenda kuhusisha siasa za nyakati hizo na matatizo hayo, wakisahau hali iliyotokea duniani wakati huo, ukichanganya na changamoto za vita yetu na Amin Dada.
Colgate, sisi hatukuwa na akina Lonro hapa na kampuni zao kama ilivyo kuwa kwa hao Kenya.
Huwa tunapenda sana kutumia Korea Kaskazini, kwa matatizo yetu mengi, huku tukisahau kwamba hali ya Korea Kaskazini wengi hatuijui vizuri. Inakuwa tu mfano wa kutishia wengine, tukitumia pripaganda zile zile tunazozipata toka kwa hao wanaoshindana na Korea Kaskazini. Korea Kaskazini kuna baadhi ya mambo wanayoyafanya vizuri zaidi kuliko kwingine kokote ukichukulia hali yao ya kimazingira ilivyo. Lakini sisi huku tunanga'ng'ana tu kuiangalia picha tunayopewa tuione na hao mahasimu wa Korea.

Kuhusu hilo la "uzee" wa Prof. Shaba, sasa umeuhamishia kwenye mwonekano. Sawa. Hili tuliache hivyo hivyo.
 
Mkuu, pole yako.
Nimekuelewa, hata kama sikubaliani nawe kamwe juu ya hivyo visingizio unavyo vitaja hapa.

Niseme wewe ni 'ndege mjanja anaye epusha bawa', au siyo? Taifa letu sasa hivi limejaa tele ndege wa aina hii, ndio maana tupo hapa tulio fikia.
1. kuna hao ndege wa aina yako
2. kuna wenye maslahi binafsi wasioona kingine chochote nje ya hayo maslahi
3. kuna wasiojali chochote, mradi tu mkono unaipeleka kitu kinywani
5. kuna wachache sana, wanaoyakataa yote haya lakini hawajui wapi pa kuanzia, kwa sababu hakuna uongozi wa kuendesha juhudi zao
Hili ndilo taifa tulilo nalo sasa hivi.
Usisukumie uzalendo kwa wenzio, nawe unakula popcorn ukitazama show!

Tuonyeshe nawe uzalendo wako,
Umefanya nini so far ku advocate kile unachoongea humu!
Inaelekea wewe "mzalendo" wa JF tu!, zaidi ya hapo huna kitu cha kuonyesha kama mfano.
 
Tusidanganye watu, hata Kenya chini ya Moi walikula Yanga; and BTW, sioni sababu ya kuitofautisha Yanga na Simba (nyeupe).
Watu hupenda kuhusisha siasa za nyakati hizo na matatizo hayo, wakisahau hali iliyotokea duniani wakati huo, ukichanganya na changamoto za vita yetu na Amin Dada.
Colgate, sisi hatukuwa na akina Lonro hapa na kampuni zao kama ilivyo kuwa kwa hao Kenya.
Huwa tunapenda sana kutumia Korea Kaskazini, kwa matatizo yetu mengi, huku tukisahau kwamba hali ya Korea Kaskazini wengi hatuijui vizuri. Inakuwa tu mfano wa kutishia wengine, tukitumia pripaganda zile zile tunazozipata toka kwa hao wanaoshindana na Korea Kaskazini. Korea Kaskazini kuna baadhi ya mambo wanayoyafanya vizuri zaidi kuliko kwingine kokote ukichukulia hali yao ya kimazingira ilivyo. Lakini sisi huku tunanga'ng'ana tu kuiangalia picha tunayopewa tuione na hao mahasimu wa Korea.

Kuhusu hilo la "uzee" wa Prof. Shaba, sasa umeuhamishia kwenye mwonekano. Sawa. Hili tuliache hivyo hivyo.
Hata sielewi point yako nini hapa. I just see you pitter pattering all over the place. With logical non sequitur over frivolous pointless bitching about Yanga.

You are just boring me by nitpicking at everything in a shoddy and shambolic, pedantic and pugilistic way.

If there is a point you are making, I don't see it.

Prof Shaba alikuwa in his fifties wakati sisi tuko early teens, katika nchi ambayo life expectancy ilikuwa inacheza miaka 50, huyo ni mzee.
 
Back
Top Bottom