Trump ni very strong supporter wa Israel maadui wa Israel na hasa Iran watapigika sana miaka minne ya Trump.Anachokifanya Netanyahu lipo kwenye mfumo. Yeye sio mwanzilishi bali muendelezaji. Unayakumbuka mauaji ya Sabra na Shatira? Yaliongozwa na Mwamba Ariel Sharon. Waarabu walimlaani vizazi na vizazi. Je, unamkumbuka Golder Mier? Ana tofauti na Netanyahu? Kwa taarifa yako, Trump anaweza kujifanya jeuri dhidi ya Israel kwa miaka minne tu, lakini Israel inatarajiwa kuwepo miaka zaidi ya milioni ijayo! Ushanfahamu!?
Huo ndo ukweli mchungu sana kwa Palestine na Supporter wao hasa Iran wanaenda pata hasara.Trump ni pro-Israel kuliko Biden. Natarajia support kubwa ya Trump kwa Israel na hasara kwa maadui wa mazayuni.
Hawa jamaa wanajiokotea articles za Wakomunisti wenzao, ambao wamejaa chuki dhidi ya Israel ndo wanataka kutuaminishia hapa. Against all odds, Islamists wao ambao wamepata free ride mgongoni mwa Wakomunisti wote wakiichukia Israel, hawatashinda.Kwa kifupi sana Utawala wa Trump unaenda kuiparalyse Iran vibaya sana.
Trump anaenda kuhuisha agano kati ya Israel na US ambalo limelegalega sana kipindi cha Biden. US na Israel wanaenda kushikamana kuliko kipindi cha Biden. Migaidi ya M.E itapokea kipigo kibaya sana toka US ya Trump.
Kwa kifupi ile heshima ya US kijeshi itarudi vizuri sana chini ya utawala wa Trump.
Kuhusu Ukraine sijui.
Wayahudi walifukuzwa nchi 109 kabla ya ujerumani... actually hata Hitler alikuwa rafiki yao..mkubwa na insemekana wanafanya propaganda kuwa Hitler alikuwa mtu mbaya...wakati inasemekana walikuwa na Makubaliano na Hitler kuwa watoe support Kwa Nazi Germany watapewa Taifa lao..Mi nilishasema na nina amini kuna uwezekano mkubwa Hitler hakuwa mtu mbaya kama tunavyoaminishwa.
Hitler hakuwa mwehu akaamka asubuhi na kuanza kuwapiga vita jews, alikuwa na akili nyingi , huwezi kusema mtu aliyeongoza vichwa vyote vile Germany kuanzia wanasayansi, engineers na wasomi nguli kwamba alikuwa mtu wa kawaida.
Tujaribu kuchimba vitu ukweli wa ambo tutaufahamu.
Huu ujinga wanaoufanya sasa jews kwa US state, inawezekana walianza kufanya hivyo hivyo kwa serikali za EU...
Unasoma habari kimhemko sanaHawa jamaa wanajiokotea articles za Wakomunisti wenzao, ambao wamejaa chuki dhidi ya Israel ndo wanataka kutuaminishia hapa. Against all odds, Islamists wao ambao wamepata free ride mgongoni mwa Wakomunisti wote wakiichukia Israel, hawatashinda.
Sasa hivi kuna limjamaa jingine linajichanganya ktk hii chuki dhidi ya Israel, linaitwa Racep Edogan. Linga ya kuwa na Jeshi kubwa, ajue ataaibika kama alivyoaibika Iran. Urusi naye his days are numbered
Aisee..Wayahudi walifukuzwa nchi 109 kabla ya ujerumani... actually hata Hitler alikuwa rafiki yao..mkubwa na insemekana wanafanya propaganda kuwa Hitler alikuwa mtu mbaya...wakati inasemekana walikuwa na Makubaliano na Hitler kuwa watoe support Kwa Nazi Germany watapewa Taifa lao..
Imasemekana hata zile zinazoitwa concentrations camps ilikuwa Hitler aliwakusanya awatafutie nchi ...na kila nchi ikawa inawakataa... including USA...Rossevelt alikataa kabisa wasipelekwe USA ndo wakaenda Palestine kama wakimbizi the rest is history..
Wayahudi walirudi Israel kwa kuwa ni kwao hivyo huwezi sema eti walirudi kama wakimbizi. Najua hii ni historia ya uwongo ambayo watu wa mrengo ule mmekariri.Wayahudi walifukuzwa nchi 109 kabla ya ujerumani... actually hata Hitler alikuwa rafiki yao..mkubwa na insemekana wanafanya propaganda kuwa Hitler alikuwa mtu mbaya...wakati inasemekana walikuwa na Makubaliano na Hitler kuwa watoe support Kwa Nazi Germany watapewa Taifa lao..
Imasemekana hata zile zinazoitwa concentrations camps ilikuwa Hitler aliwakusanya awatafutie nchi ...na kila nchi ikawa inawakataa... including USA...Rossevelt alikataa kabisa wasipelekwe USA ndo wakaenda Palestine kama wakimbizi the rest is history..
Muwe mnajielimisha sikikiliza hii interview...ya Piers Morgan na Dan Bilzerian...itafute YouTube...Hawa jamaa wanajiokotea articles za Wakomunisti wenzao, ambao wamejaa chuki dhidi ya Israel ndo wanataka kutuaminishia hapa. Against all odds, Islamists wao ambao wamepata free ride mgongoni mwa Wakomunisti wote wakiichukia Israel, hawatashinda.
Sasa hivi kuna limjamaa jingine linajichanganya ktk hii chuki dhidi ya Israel, linaitwa Racep Edogan. Linga ya kuwa na Jeshi kubwa, ajue ataaibika kama alivyoaibika Iran. Urusi naye his days are numbered
Wayahudi walirudi Israel kwa kuwa ni kwao hivyo huwezi sema eti walirudi kama wakimbizi. Najua hii ni historia ya uwongo ambayo watu wa mrengo ule mmekariri.
Tatizo lako umehadithiwa na kusoma vijarida na viarticle feki vilivyojaa mtandaoni basi unaona umeelimika na tena kwa uelewa wako duni si ajabu unaijua Israel hii ya zion movement ya juzjuz pole sana kwa uelewa wako duni kama unataka kuujua ukweli jifunze why Irsael ilianzishwa na na nini yatakayotokea siku zijazo.Jielimishe...halafu usifikiri wayahudi ni wakristo...au wanamuamini Yesu...
Wayahudi picha zao wakienda Palestine kama wakimbizi zipo go search hata passport zao za kwanza zilikuwa Passport za Palestine. ...
Benki Yao ya kiyahudi ilikuwa inaitwa Anglo -Palestine Bank...nenda Google uka search ilikuwaje benki ya kiyahudi iitwe Anglo -Palestine Bank
Wewe ndiyo haujui kilichojificha nyuma ya islamists na washirika wao soshalists.Unasoma habari kimhemko sana
Erdogan kashirikiana na israel Syria...na ni mshirika WA NATO na USA na uturuki wanafanya mazoezi na Israel daily...hakuna kitu kama communists... jielimishe kwanza...
Sera za wanaotaka free health care Kwa kila mtu Marekani zinatekelezwa Israel... Israel ni free health care Kwa kila mtu...wakati wanao demand hizo policy USA wanaitwa communists...jielimishe bila kuwa na mihemko... Jeffery Sachs ni pro capitalism...pro businesses worldwide
Hawa ni Wakomunisti; na hatima yao na putin wao, huko west wanaongozwa na Labour ya UK, wakifuatiwa na Democrat ya US
Trump ni very strong supporter wa Israel maadui wa Israel na hasa Iran watapigika sana miaka minne ya Trump.
Jipeni moyo, Trump ni kama kitenesi, mtu yoyote anaye sema anaweza ku mpredict anadanganya.Trump ni pro-Israel kuliko Biden. Natarajia support kubwa ya Trump kwa Israel na hasara kwa maadui wa mazayuni.
Usa hii iliyoparanganyika .. atafanya kipi ambacho biden hajakifanya .. na akiaenda kichwa kichwa ataiumiza hiyo israel na na usa tenyewe kila mtu anamzoom tu . Kwa sasa kuna brics watu wanafanya biashara kama kawaida hii sio miaka 2000 amanYo usa alikuwaa so powerfulKwa kifupi sana Utawala wa Trump unaenda kuiparalyse Iran vibaya sana.
Trump anaenda kuhuisha agano kati ya Israel na US ambalo limelegalega sana kipindi cha Biden. US na Israel wanaenda kushikamana kuliko kipindi cha Biden. Migaidi ya M.E itapokea kipigo kibaya sana toka US ya Trump.
Kwa kifupi ile heshima ya US kijeshi itarudi vizuri sana chini ya utawala wa Trump.
Kuhusu Ukraine sijui.