nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,624
Hapoungemalizia kama lipumba NA ccmLazima tukubali kuwa kuna proportional arrangements
Lipumba amekuja kwa mission ya kuwagawa....hapa simple tu...CHADEMA wasimame wao kama wao na CUF wao kama wao...na CCM pia...ili watu waweze ku realize Lipumba ametumwa na nani?
halafu anataka apewe ofa hiyo na UKAWA ambayo bado Lowasa yupo na yeye hamtaki lowasa....ujinga mtupu
Huu ni wakati wa kutokucheka na mtu
Thin line beetwen hell and paradise.Thin line between madness and conciousness. [emoji124] Nawasikitikia wanaomuona Pro Pesa ni timamu.Hata kama ni brainwashed lakini huyu sasa kazidi! Naamini kitu alichopost Mtatiro hapo awali kilikua sahihi na huenda watu wanamsikiliza mwenyekiti wakati kumbe tukisahau kuwa kuna mstari mwembemba sana kati ya utimamu wa akili na ukichaa!
Usiseme Rwanda sema kwa bibi na babu[emoji4]hawezi kufanikiwa hilo kwa sababu hao madiwani anaosema hawako upande wake maana hakushiriki kuwafanyia kampeni. labda kama kuna madiwani amekuja nao kutoka Rwanda!
UKAWA MTAKOMA JAMAA KAAMSHWA USINGIZINI AFU KAPEWA RUNGU. ...HAHAHAMwenyekiti wa Chama cha CUF Pr. Lipumba kasema ni lazima CUF na CHADEMA wagawane umeya wa Kinondoni na Ubungo kwa kila chama kuchukua halmashauri moja moja na sio madiwani wa CUF kuwa manaibu meya.
Mwenyekiti huyo kasema kuanzia sasa usawa katika kugawana viti lazima uwepo kama kweli umoja huo ni manufaa kwa vyama vyote. Na sio kuburuzwa na chama kimoja
Kama alithubutu kumpigania Baba Riziki kipindi kile cha maji ya shingo 2010 atashindwa leo wakati ameahidiwa cheo?Haa haa nikikumbuka safari ya lipumba nchini rwanda katikati ya uchaguzi na kukiacha chama chake sina hamu na huyu baba kamwe. poleni sana wana cuf, lengo kuu la lipumba ni kwamba halmashauri hizo zirudi ccm. wajinga waliwao...
Mh!Sibure
Punguza hasira zisije zikakuingiza mkononi mwa TISIARAEI.Sibure
Eeeh Prof maana hiki ndicho umetumwa na CCM.Wapinzani wavurugane ili wakose wote. Ama kweli mzigo mzito mpe mnyamwezi!!!Mwenyekiti wa Chama cha CUF Pr. Lipumba kasema ni lazima CUF na CHADEMA wagawane umeya wa Kinondoni na Ubungo kwa kila chama kuchukua halmashauri moja moja na sio madiwani wa CUF kuwa manaibu meya.
Mwenyekiti huyo kasema kuanzia sasa usawa katika kugawana viti lazima uwepo kama kweli umoja huo ni manufaa kwa vyama vyote. Na sio kuburuzwa na chama kimoja
Hivi huyu msajili wa vyama vya siasa anahusika pia na usajili wa makabila? Nikimkumbuka James Mapalala na sasa Lipumba, naona kuna kabila Tanzania linastahili kufutiwa usajili.Profesa mbobezi wa uchumi, yuko bize na siasa, dah Hii inapatikana tanzania tu..
Mwenyekiti wa CUF???? Nijuavyo kavamia ofisi ya watu. Kiungwana hawawezi kuanza kunyang'anyiana ofisi. Wanamwaacha tu watamtoa kisheria. Isitoshe kila mtu anajua CUF chini ya mwamvuli ukawa wamefanya vizuri sana. Nje ya ukawa CUF itarudi kulekule ilikokuwa. Umoja siku zote ni nguvu. Na ukawa nguvu kubwa inatoka CDM. CUF+CDM watafika mbali. Wakitengana tu ni furaha ya chama fulani.Mwenyekiti wa Chama cha CUF Pr. Lipumba kasema ni lazima CUF na CHADEMA wagawane umeya wa Kinondoni na Ubungo kwa kila chama kuchukua halmashauri moja moja na sio madiwani wa CUF kuwa manaibu meya.
Mwenyekiti huyo kasema kuanzia sasa usawa katika kugawana viti lazima uwepo kama kweli umoja huo ni manufaa kwa vyama vyote. Na sio kuburuzwa na chama kimoja
Lipumba anatumika na ccm ili kuangusha msimamo Wa umeya Wa kinondoni uliokuwa mwiba kwa MAFISADI Wa cocobeach na deal zingine zilizokuwa zimeibuliwa na Ukawa. Ccm wameona wamshitue kuwa tulikupa PESA kufanikisha adhima za fisiem sasa prof usilale rudi kundini ili tuirudishe nyumbani Kinondoni potelea mbali Ubungo. Na le prof kaanza na utengano ndani ya Ukawa ili watengane wakose umeya. Kweli usaliti ni sumu mbaya sana.