Tetesi: Professor Lipumba: Lazima tugawane Umeya wa Kinondoni na Ubungo

Tetesi: Professor Lipumba: Lazima tugawane Umeya wa Kinondoni na Ubungo

Haa haa nikikumbuka safari ya lipumba nchini rwanda katikati ya uchaguzi na kukiacha chama chake sina hamu na huyu baba kamwe. poleni sana wana cuf, lengo kuu la lipumba ni kwamba halmashauri hizo zirudi ccm. wajinga waliwao...
 
Lazima tukubali kuwa kuna proportional arrangements

Lipumba amekuja kwa mission ya kuwagawa....hapa simple tu...CHADEMA wasimame wao kama wao na CUF wao kama wao...na CCM pia...ili watu waweze ku realize Lipumba ametumwa na nani?

halafu anataka apewe ofa hiyo na UKAWA ambayo bado Lowasa yupo na yeye hamtaki lowasa....ujinga mtupu

Huu ni wakati wa kutokucheka na mtu
Hapoungemalizia kama lipumba NA ccm
 
Kwani ana madiwani? Mnajihashua tu..huyu lipumbabu timu yake ya wahuni wa vijiweni tangu lini wakachagua
 
wito endapo lipumba atakuwa mwenyekiti
tafadhali naomba UKAWA ivunjike maana huyo katumwa kuja kuiharibu kama hapo awali?!!!!!
 
Profesa mbobezi wa uchumi, yuko bize na siasa, dah Hii inapatikana tanzania tu..
 
Sibure
 

Attachments

  • 1474947097001.jpg
    1474947097001.jpg
    42.8 KB · Views: 22
Hata kama ni brainwashed lakini huyu sasa kazidi! Naamini kitu alichopost Mtatiro hapo awali kilikua sahihi na huenda watu wanamsikiliza mwenyekiti wakati kumbe tukisahau kuwa kuna mstari mwembemba sana kati ya utimamu wa akili na ukichaa!
Thin line beetwen hell and paradise.Thin line between madness and conciousness. [emoji124] Nawasikitikia wanaomuona Pro Pesa ni timamu.
 
Mwenyekiti wa Chama cha CUF Pr. Lipumba kasema ni lazima CUF na CHADEMA wagawane umeya wa Kinondoni na Ubungo kwa kila chama kuchukua halmashauri moja moja na sio madiwani wa CUF kuwa manaibu meya.

Mwenyekiti huyo kasema kuanzia sasa usawa katika kugawana viti lazima uwepo kama kweli umoja huo ni manufaa kwa vyama vyote. Na sio kuburuzwa na chama kimoja
UKAWA MTAKOMA JAMAA KAAMSHWA USINGIZINI AFU KAPEWA RUNGU. ...HAHAHA
 
Haa haa nikikumbuka safari ya lipumba nchini rwanda katikati ya uchaguzi na kukiacha chama chake sina hamu na huyu baba kamwe. poleni sana wana cuf, lengo kuu la lipumba ni kwamba halmashauri hizo zirudi ccm. wajinga waliwao...
Kama alithubutu kumpigania Baba Riziki kipindi kile cha maji ya shingo 2010 atashindwa leo wakati ameahidiwa cheo?
 
Mwenyekiti wa Chama cha CUF Pr. Lipumba kasema ni lazima CUF na CHADEMA wagawane umeya wa Kinondoni na Ubungo kwa kila chama kuchukua halmashauri moja moja na sio madiwani wa CUF kuwa manaibu meya.

Mwenyekiti huyo kasema kuanzia sasa usawa katika kugawana viti lazima uwepo kama kweli umoja huo ni manufaa kwa vyama vyote. Na sio kuburuzwa na chama kimoja
Eeeh Prof maana hiki ndicho umetumwa na CCM.Wapinzani wavurugane ili wakose wote. Ama kweli mzigo mzito mpe mnyamwezi!!!
 
Huyu atakuwa amefundisha watu wakafaulu kweli,waliofundishwa na huyu watakuwa nusu wataalam.
 
Alikuwa wapi wakati wa uchaguzi mwambien Lowassa bado yupo Ukawa kwahyo yeye hastaili kuingilia mambo ya Ukawa kwasababu wakati anaondoka alisema nafsi inamsuta sasa imeacha au anakula matapishi yake
 
Profesa mbobezi wa uchumi, yuko bize na siasa, dah Hii inapatikana tanzania tu..
Hivi huyu msajili wa vyama vya siasa anahusika pia na usajili wa makabila? Nikimkumbuka James Mapalala na sasa Lipumba, naona kuna kabila Tanzania linastahili kufutiwa usajili.
 
Mwenyekiti wa Chama cha CUF Pr. Lipumba kasema ni lazima CUF na CHADEMA wagawane umeya wa Kinondoni na Ubungo kwa kila chama kuchukua halmashauri moja moja na sio madiwani wa CUF kuwa manaibu meya.

Mwenyekiti huyo kasema kuanzia sasa usawa katika kugawana viti lazima uwepo kama kweli umoja huo ni manufaa kwa vyama vyote. Na sio kuburuzwa na chama kimoja
Mwenyekiti wa CUF???? Nijuavyo kavamia ofisi ya watu. Kiungwana hawawezi kuanza kunyang'anyiana ofisi. Wanamwaacha tu watamtoa kisheria. Isitoshe kila mtu anajua CUF chini ya mwamvuli ukawa wamefanya vizuri sana. Nje ya ukawa CUF itarudi kulekule ilikokuwa. Umoja siku zote ni nguvu. Na ukawa nguvu kubwa inatoka CDM. CUF+CDM watafika mbali. Wakitengana tu ni furaha ya chama fulani.
 
Lipumba anatumika na ccm ili kuangusha msimamo Wa umeya Wa kinondoni uliokuwa mwiba kwa MAFISADI Wa cocobeach na deal zingine zilizokuwa zimeibuliwa na Ukawa. Ccm wameona wamshitue kuwa tulikupa PESA kufanikisha adhima za fisiem sasa prof usilale rudi kundini ili tuirudishe nyumbani Kinondoni potelea mbali Ubungo. Na le prof kaanza na utengano ndani ya Ukawa ili watengane wakose umeya. Kweli usaliti ni sumu mbaya sana.

Hapo ni madiwani wenyewe kama hawako makini.Nasikia anataka Meya wa Kinondoni atoke CUF,sasa na UKAWA amevunja anategemea CCM watampigia KURA Diwani wa CUF,a real Professor sijawahi kuona.

Na mbaya zaidi akishafanikisha hilo,hawatamtetea siku CUF wakimfikisha mahakamani na kumuondoa ndipo atajutia sana.Ila kw auhakika kabisa najua anaenda kupotea
 
Back
Top Bottom