Professor Nabi na Morrison hali ni tete CAF CL

Professor Nabi na Morrison hali ni tete CAF CL

vibertz

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2022
Posts
2,474
Reaction score
4,726
Ikiwa mechi ya pili ya marudiano kati ya Far Rabat na Etoil du Sahel, kocha wa zamani wa Yanga prof Nabi pamoja na mchezaji wa zamani mtukutu Morrison wana kibarua kigumu leo kufuzu michuano ya klabu bingwa hatua ya makundi.
Mechi ya awali iliisha kwa Far Rabat kufungwa goli moja na leo wakiwa nyumbani tayari wameshatanguliwa goli moja na wapo pungufu.

Kama mpira utaisha hivyo, maanake Nabi atakuwa amefundisha misimu zaidi ya mitatu na timu tofauti pasipo kuifikisha timu makundi katika mashindano ya klabu bingwa. Kila la kheri liwe juu yake siku ya leo.

Update
Far rabat wametolewa kwa aggregate ya magoli 3 kwa 1
Pole kwa Nabi na Morrison, huku Yanga imesonga mbele.
 
Ikiwa mechi ya pili ya marudiano kati ya Far Rabat na Etoil du Sahel, kocha wa zamani wa Yanga prof Nabi pamoja na mchezaji wa zamani mtukutu Morrison wana kibarua kigumu leo kufuzu michuano ya klabu bingwa hatua ya makundi.
Mechi ya awali iliisha kwa Far Rabat kufungwa goli moja na leo wakiwa nyumbani tayari wameshatanguliwa goli moja na wapo pungufu.

Kama mpira utaisha hivyo, maanake Nabi atakuwa amefundisha misimu zaidi ya mitatu na timu tofauti pasipo kuifikisha timu makundi katika mashindano ya klabu bingwa. Kila la kheri liwe juu yake siku ya leo.
Nabi angelijua, asingeondoka Yanga. manake hata gamond ukimwangalia hajavivaa vizuri viatu vyake. wamtimue tu huyu muajentia wamrudishe Nabi.
 
Nabi angelijua, asingeondoka Yanga. manake hata gamond ukimwangalia hajavivaa vizuri viatu vyake. wamtimue tu huyu muajentia wamrudishe Nabi.
Sijui kama umeongea kwa utani au unamaanisha. Yaani unataka kumlinganisha mtu aliyekaa na timu kwa misimu miwili dhidi ya mtu aliyekaa na timu kwa miezi tu mitatu kisha unafanya hitimisho la kutovaa viatu vya Nabi.

Pamoja na kukaa kwake muda mfupi kaishawapa furaha Jangwani kwa kuifanya iingie makundi
 
Sijui kama umeongea kwa utani au unamaanisha. Yaani unataka kumlinganisha mtu aliyekaa na timu kwa misimu miwili dhidi ya mtu aliyekaa na timu kwa miezi tu mitatu kisha unafanya hitimisho la kutovaa viatu vya Nabi.
huyo gamond anatembelea nyota ya Nabi, ni sawa sa100 anavyotembelea nyota ya jiwe, kila kitu NABI alishaweka yeye anatumia tu.
 
Kwa mama Samia mbali Sana, aanze kwanza kwa mbulula za kolowizadi zilizomdanganya kwa ushauri na baadae zikaanza kumpigania mitandaoni. Hizi ng'ombe ndio zimemlostisha huyu chalii asilimia Mia

Mama tutamlaumu bure tu
feizatoto ndio napenda kweli moyo umuume namna anavyoangalia kwenye luninga wenzake wanapiga boli yeye analamba ice cream na kuimba taarabu. aende kwa sa100 tena akamwambie amsaidie kiwango chake cha mpi
 
Back
Top Bottom