Projects za Mchungaji Kimaro akiwa KKKT Kijitonyama

Embu niambie ni Imani gani ya kidini ambayo huwa haiwasihii wafuasi wake Uaminifu. Achilia mbali zile imani zako za kichawi ulizostahafu kuzifuata.
Uaminifu ni tabia njema inafundishwa.. Mafundisho yakiwa mazuri waumini wataacha matendo yao yasiyo ya uaminifu na kuwa waaminifu
 

Sio wasuse wahame kabisa, wasilete chachu kanisani.
 

Moto gani utaliopuka. Mnajiita Wana uhamsho kumbe wapenda fujo. Amepewa likizo lakini kelele ni nyingi mno.
 
Natabiri 22/1/2023 patachimbika

Utachimbika mwenyewe acha vitisho. Mfuate huyo motivational speaker wako huko. Msituchafulie kanisa wana wapenda fujo na mafarakano. Kapewa likizo halfu wewe unadai patachimbika, utachimbika wewe. Mnajifanya uhamsho wakati maadili zero.
 
Unapenda roho ya mafarakano. Unapenda kuona fujo. Hilo halitatokea na Kijitonyama itasimama imara daima. Kama mnahama hameni Mungua ana watu wengi Sana, nyie sio wa kwanza. Acheni roho ya fujo muondoke na huyo mchungaji wenu mliyemfuata.
Na nyinyi vijana muwe waaminifu, sio mnakemewa tabia zenu mbovu mbovu mnaanza kuvuta midomo.
 
Ni unabii umetimia.. Kila litokalo mdomoni ni zao la rohoni... Amejitambulisha uhalisia wake
Mkuu Mshana Jr salam.
Ulichoandika hapa kimenipa tashwishwi ya kukuuliza kama umebadilisha msimamo wa kuwa mfuasi wa mungu (god) na sasa kuwa mfuasi wa Mungu (God)? Ulichoandika hapa ni wachache watakuelewa. Hongera kwa kumkubali Yesu kama bwana na Mwokozi wa maisha yako.

Ahsante​
 
Kwenye kila baraka kuna laana
Kila penye mafanikio pana mapungufu
Kufanya mambo fulani hakukufanyi kuwa mkubwa kuliko taasisi
Hii ni kweli, pia usitoe matamshi makali yanayowafanya watu wahoji uadilifu wako, unaponda watu wako mbele ya madhabahu??!!! hii hapana, ajiri Baniani, ajiri mabuda ht waislamu, kuna haja gani ya kutolea mifano tena mdhabahuni?, hiyo ni haki yako kufanya kazi na mtu yeyote..., uko chini ya taasisi heshimu mamlaka iliyokuteua....
 
Hakuna alichokosea?. Kuwaita KKKT kanisa la madalali na Katoliki kanisa la kweli?. Ukweli ndio Nini? Kesi za ufiraji zipo kanisa gani? Tuache kutetea mambo kisa kasema Fulani. Huyo alitakiwa kufukuzwa kabisa aende huko Katoliki.
Unahamishia vita yako kwa Kanisa Katoliki? Hebu malizaneni huko huko na uslihusishe Kanisa Katoliki katika vurugu zenu
 
Kwani baraza la wazee si lilikuwepo kabla yake ,mbona hawakuyafanya kwa wachungaji waliotangulia. Tuwe na roho ya shukrani kama waenda mbinguni, unless ni wasindikizaji

Nikuulize swali jengo la kitega uchumi pale KKKT limejengwa lini?. Ukinijibu hapa ndio tutaelewana. Kituo Cha watoto yatima kimenza lini?. TV ya kwanza pale imeanza lini?. Nijibu kwanza hayo maswali.
 
Hapana hapa tuko kwenye mjadala twende hoja kwa hoja achana na hivyo visingizio
Sasa mlezi/mzazi wako akikuambia wewe sio mwaminifu kama kijana wa fulani utamchukia na kumsusa??? Au utakaa chini na kujitafakari??
 
Wee ndio unajicontradict. Umeshasema uaminifu ni suala la mtu binafsi then hapo hapo unasema hauwezi kuwa mkristo bila kuwa mwaminifu. Sasa mkristo ni n'gombe au mtu?!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Watu wanasusa kusali..hawataki kufanya ibada kisa Kimara kaenda likizoo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ilaa watu wanautani na Mungu.
 
Unahamishia vita yako kwa Kanisa Katoliki? Hebu malizaneni huko huko na uslihusishe Kanisa Katoliki katika vurugu zenu

Umenielewa nilichosema au umekurupuka kunijibu. Punguza hasira.
 
Si ahame?!! aende kwa -MTORO...
 
Watu wanasusa kusali..hawataki kufanya ibada kisa Kimara kaenda likizoo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ilaa watu wanautani na Mungu.

Hao sio washirika ni mapindikiza angalia walivyovaa.
 
Makanisa yako mengi si lazima KKKT...
 
Ungekua usharika mkubwa mbona jengo lenu la KITEGA UCHUMI linakosa wapangaji? Kwanzamlishamaliza deni la benki?

Umehamia kwa wapangaji. Kweli una visa. Hilo jengo huyo Kimaro kalikuta ungewasifia waliotangulia.
 
Alijisahau Sana Hadi kuanza kuwasifu Wakatoliki na Waisalmu hadharani eti ,roma Catholic wako vizuri aende uko sasa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…