Mimi binafsi napenda Kimaro. Ni Mtumishi anayeipenda kazi yake. Hakuwahi kulala kwenye Huduma ya Kichungaji. Hizi morning na evening Glory ni ubunifu wake Kazini. Wengine hawana kwenye Sharika zao. Seminar za kujifunza Neno na stadi za Maisha ni Ubunifu wake zimewainua Wengi Kiroho, Kimwili na Kiakili.. Amejenga Mahusiano na Watu, Sharika, nje, dini, madhehebu mengineyo Kwa Amani na Furaha kabisa. Leo hii umamsimamisha Kazi Kihuni watakubali Wafuasi watoa Sadaka zinazolipa Mishahara Yao? Wanadahau % wanazopokea huko juu zinakotoka. Ngoja Waumini wasuse ndio Watajua hekima inatakiwa kwenye Maamuzi.